Thinkpad l440 vs HP spectre

afkombo

Member
Feb 9, 2008
93
11
Wakubwa naomba msaada juu ya Experience hapa. Nachanganyikiwa kwenye kufanya maamuzi which one to buy Kati ya HP Spectre na Lenovo ThinkPad L440. Nafaham durability ya Thinkpad. Lkn cna experience ya HP especially kwa slim machine km hii Spectre. Mwenye experience anisaidie tafadhali.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
kwa knowledge ya kawaida spectre inakuwa ni laptop ya fashion wakati thinkpad ni ya kazi zaidi. ili kucompare kwa usahihi itabidi tujue aina za processor, hio thinkpad kutokana na jina lake tayari inajulikana ina kioo inch 14 na processor ya 4th generation japo huwezi jua ni processor ipi. hio spectre ndio haijulikani kabisa.

angalia vizuri kama una link ya hizo laptop mahala fulani online au specs zake zieke hapa nitakwambia ipi nzuri.
 
Wakubwa naomba msaada juu ya Experience hapa. Nachanganyikiwa kwenye kufanya maamuzi which one to buy Kati ya HP Spectre na Lenovo ThinkPad L440. Nafaham durability ya Thinkpad. Lkn cna experience ya HP especially kwa slim machine km hii Spectre. Mwenye experience anisaidie tafadhali.
Unataka kufanyia kazi gani kwani? Hela ya spectre mkuu sio ndogo af pia ni spectre ipi mana kuna model tofaut za spectre zaid ya tatu
 
Kazi za kawaida Tu. Sana Sana ni issue za kusoma Tu. Co m2 game. ThinkPad L440 Ni dolls 750 plus VAT kwa Wakala WA Lenovo Dar. Na Spectre Nimeiona Mbeya wanauza 1.8M. Kwa hiyo bei zinafanana.
 
Nashukuru Chie
kwa knowledge ya kawaida spectre inakuwa ni laptop ya fashion wakati thinkpad ni ya kazi zaidi. ili kucompare kwa usahihi itabidi tujue aina za processor, hio thinkpad kutokana na jina lake tayari inajulikana ina kioo inch 14 na processor ya 4th generation japo huwezi jua ni processor ipi. hio spectre ndio haijulikani kabisa.

angalia vizuri kama una link ya hizo laptop mahala fulani online au specs zake zieke hapa nitakwambia ipi nzuri.
Nashukuru Sana Cheif. ThinkPad L440. 4th Gen Intel i3 4100U. 4GB RAM,500GB HDD,14Inch IPS Display. Spectre: 6th Gen Intel i7 6500. 256GB SSD. 8GB RAM
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Nashukuru Chie
Nashukuru Sana Cheif. ThinkPad L440. 4th Gen Intel i3 4100U. 4GB RAM,500GB HDD,14Inch IPS Display. Spectre: 6th Gen Intel i7 6500. 256GB SSD. 8GB RAM

mkuu hapo hio spectre kila idara ipo vyema kama ningekua na choice mbili tu ningenunua hio spectre.

ila ushauri wangu tafuta thinkpad ya 6th generation nayo, kama utapata itakuwa bora zaidi. thinkpad hazina muonekano mzuri lakini ni imara na warranty za biashara za miaka 3. pia zinakuwa na extended battery ambazo zinakaa na chaji zaidi ya masaa 15 hivyo kwa matumizi ya kawaida na safari itakaa muda sana bila kuchaji.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
mkuu hapo hio spectre kila idara ipo vyema kama ningekua na choice mbili tu ningenunua hio spectre.

ila ushauri wangu tafuta thinkpad ya 6th generation nayo, kama utapata itakuwa bora zaidi. thinkpad hazina muonekano mzuri lakini ni imara na warranty za biashara za miaka 3. pia zinakuwa na extended battery ambazo zinakaa na chaji zaidi ya masaa 15 hivyo kwa matumizi ya kawaida na safari itakaa muda sana bila kuchaji.
Nashukuru sana Kaka. Processor ya Spectre ndiyo ilonivutia plus hiyo SSD. Ina muonekano mzuri sana na ni nyepesi lkn tatizo sijajua uimara wake. Pia sina uzoefu sana na HP hasa katika suala la Overheating.
 
Nashukuru sana Kaka. Processor ya Spectre ndiyo ilonivutia plus hiyo SSD. Ina muonekano mzuri sana na ni nyepesi lkn tatizo sijajua uimara wake. Pia sina uzoefu sana na HP hasa katika suala la Overheating.
skylake hio 6th generation wamejitahidi sana kuzifanya zisitumie umeme mwingi, hivyo sidhani kama itaheat na ni busara kuwa na laptop yenye ssd.

ila kama unaogopa mashine kupata joto achana na i series tafuta core m mashine kama dell xps 13 ya core m na asus ux305 ya core m ila nazo ziwe 6th generation. nazo pia zinakuwa nyepesi zina ssd na ram 8gb
 
Nashukuru sana Kaka. Processor ya Spectre ndiyo ilonivutia plus hiyo SSD. Ina muonekano mzuri sana na ni nyepesi lkn tatizo sijajua uimara wake. Pia sina uzoefu sana na HP hasa katika suala la Overheating.

Spectre zipo njema mkuu, na pia hizo ni premium laptop kwa hiyo, usiwe na shaka juu ya uimara, nimeshawai miliki hp envy spectre xt, build quality ilikuwa safi, portable na nyingi ziko na aluminium case.

ilikua safi sana, ipo hivi.
maxresdefault (1).jpg
 
skylake hio 6th generation wamejitahidi sana kuzifanya zisitumie umeme mwingi, hivyo sidhani kama itaheat na ni busara kuwa na laptop yenye ssd.

ila kama unaogopa mashine kupata joto achana na i series tafuta core m mashine kama dell xps 13 ya core m na asus ux305 ya core m ila nazo ziwe 6th generation. nazo pia zinakuwa nyepesi zina ssd na ram 8gb
Nashukuru bro, Nimeshavuta Spectre 13 Pro. Its very nice
machine.
 
Spectre zipo njema mkuu, na pia hizo ni premium laptop kwa hiyo, usiwe na shaka juu ya uimara, nimeshawai miliki hp envy spectre xt, build quality ilikuwa safi, portable na nyingi ziko na aluminium case.

ilikua safi sana, ipo hivi.
View attachment 362996
Nashukuru Kaka. Nimeamua kuchukua Spectre 13 Pro.
 
Kazi za kawaida Tu. Sana Sana ni issue za kusoma Tu. Co m2 game. ThinkPad L440 Ni dolls 750 plus VAT kwa Wakala WA Lenovo Dar. Na Spectre Nimeiona Mbeya wanauza 1.8M. Kwa hiyo bei zinafanana.
Spectre ip mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom