technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,958
- 48,755
Je, ni kubana matumizi?
Je, nikutorizishwa na mwenendo wa kuwepo mwenge ?
Kama ni kubana matumizi kwanini shein atoke Zanzibar kwenda simuyu hapo atakuwa ametumia kiasi gani kulinganisha na kutoka dar?
Au kuna mtu wa pili anayerazimisha mwenge tuendelee kuukimbiza kila mwaka na si matakwa ya Rais?
Au kwa vile hakwenda Bukoba ndio kimemfanya na simiyu asiende?
Au ameogopa kuchafua hali ya hewa tena kwa matamushi?
Bado sijaelewa ni kwanini Rais ameshindwa kwenda simuyu kuzima mwenge.
Je, nikutorizishwa na mwenendo wa kuwepo mwenge ?
Kama ni kubana matumizi kwanini shein atoke Zanzibar kwenda simuyu hapo atakuwa ametumia kiasi gani kulinganisha na kutoka dar?
Au kuna mtu wa pili anayerazimisha mwenge tuendelee kuukimbiza kila mwaka na si matakwa ya Rais?
Au kwa vile hakwenda Bukoba ndio kimemfanya na simiyu asiende?
Au ameogopa kuchafua hali ya hewa tena kwa matamushi?
Bado sijaelewa ni kwanini Rais ameshindwa kwenda simuyu kuzima mwenge.