Heshima yenu wakuu....
Jamani mimi nakuja kwenu nikiomba ushauri wa namna ya kuishi na watoto wadogo hasa hawa wanaojifunza mambo mbalimbali. Kuna wakati watoto wanaweza kukuaibisha mbele ya wageni kwa kuongea mambo yanayoweza kukuaibisha. Kuna kipindi nilienda kumtembelea rafiki yangu, katika TV kukawa na tangazo la pedi mtoto akapiga kelele kumwambia baba yake, "baba, baba, sabuni anayotumia dada ile inatangazwa". Jana nimeenda kumtembelea kaka yangu, sasa mwanae akamuuliza mama yake huyu ni nani, akajibiwa ni baba yako mdogo. Swali lililofuata liliniacha hoi alishangaa....."BABA MDOGO GANI HANA HATA NDEVU". Tuliishia tu kucheka na mama kuwa mkali na kumtoa mtoto nje.
Jamani mimi nakuja kwenu nikiomba ushauri wa namna ya kuishi na watoto wadogo hasa hawa wanaojifunza mambo mbalimbali. Kuna wakati watoto wanaweza kukuaibisha mbele ya wageni kwa kuongea mambo yanayoweza kukuaibisha. Kuna kipindi nilienda kumtembelea rafiki yangu, katika TV kukawa na tangazo la pedi mtoto akapiga kelele kumwambia baba yake, "baba, baba, sabuni anayotumia dada ile inatangazwa". Jana nimeenda kumtembelea kaka yangu, sasa mwanae akamuuliza mama yake huyu ni nani, akajibiwa ni baba yako mdogo. Swali lililofuata liliniacha hoi alishangaa....."BABA MDOGO GANI HANA HATA NDEVU". Tuliishia tu kucheka na mama kuwa mkali na kumtoa mtoto nje.