Ailars David
Senior Member
- Jul 6, 2017
- 128
- 35
Maisha yana nyanja nyingi Sana za kutokea japo wako wanaona kuwa ukifeli shule umefeli maisha kitu ambacho si kwel! Kama hili lingekuwa kweli basi walimwengu wote wangekuwa wasomi
Unalotakiwa kujuwa wewe Kama mtu uliyepata elimu ni namna ya kuitumia elimu yako Kwa manufaa ya yako na jamii kwa ujumla
Okoa taaluma yako kwa kuwaza mbali itoe kwenye makaratasi ipeleke kwenye uhalisia ikusaidie
Usimdharau yeyote kwa elimu yake! aliyonayo ila uwe chachu ya mafanikio kwa wote!
Kaa ukijuwa
Kuna elimu ya shule na elimu ya maisha mwerevu huzichanganua elimu zote hiz kwa hekima na maarifa
Unalotakiwa kujuwa wewe Kama mtu uliyepata elimu ni namna ya kuitumia elimu yako Kwa manufaa ya yako na jamii kwa ujumla
Okoa taaluma yako kwa kuwaza mbali itoe kwenye makaratasi ipeleke kwenye uhalisia ikusaidie
Usimdharau yeyote kwa elimu yake! aliyonayo ila uwe chachu ya mafanikio kwa wote!
Kaa ukijuwa
Kuna elimu ya shule na elimu ya maisha mwerevu huzichanganua elimu zote hiz kwa hekima na maarifa