Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,525
- 1,523
1. Mkataba uko Mtandanoni
2. Vitisho dhidi ya Demokrasia
3. Vitisho kutumia vipengele vya katiba ambavyo vimebadilishwa
4. Kutishiana kupelekana mahakamani
5. Madai kuwa kila kinachosemwa ni uongo na uzushi
6. Mabalozi wa kigeni, Benki ya duunia na Shirika la Fedha likidai uchunguzi
7. Madiwani kukacha mikutano na Makamba
8. Mawaziri kuzomewa
9. Zitto kuhoji matumizi ya fedha kwa ziara za kutangaza bajeti huku wawakilishi wa majimbo wapo
10. Karamagi akiri kubadili mkataba
11. Kikwete yuko matibabuni Ufaransa: Yasadikika anawaita mawaziri mmoja mmoja
Na bado, mchezo haujaisha! Viva vijiwe, Viva Slaa, Viva wananchi kukataa kuburuzwa tena!
Revolution will not be televised!
2. Vitisho dhidi ya Demokrasia
3. Vitisho kutumia vipengele vya katiba ambavyo vimebadilishwa
4. Kutishiana kupelekana mahakamani
5. Madai kuwa kila kinachosemwa ni uongo na uzushi
6. Mabalozi wa kigeni, Benki ya duunia na Shirika la Fedha likidai uchunguzi
7. Madiwani kukacha mikutano na Makamba
8. Mawaziri kuzomewa
9. Zitto kuhoji matumizi ya fedha kwa ziara za kutangaza bajeti huku wawakilishi wa majimbo wapo
10. Karamagi akiri kubadili mkataba
11. Kikwete yuko matibabuni Ufaransa: Yasadikika anawaita mawaziri mmoja mmoja
Na bado, mchezo haujaisha! Viva vijiwe, Viva Slaa, Viva wananchi kukataa kuburuzwa tena!
Revolution will not be televised!