Thika Highway ($360mln) vs Kibaha Highway ($65 mln)

mimi ni mtanzania, najua nini kinafanyika na nini hakijaanza kuwa implimented........


sgr ndio tayar inajengwa, ubungo interchange inajengwa, hilo bwawa la umeme (stiers g mikataba wamesaini juzi tu), bagamoyo hata haieleweki, salender bridge wamesaini juzi mkataba.........


so, what i'm saying is, project pekee ambayo contractors wanaendelea na kazi ni hio sgr na ubungo interchange, the rest zipo kwenye mikataba tu..........


kama mtanzania nazijua tabia za viongozi wetu kuahidi vitu na kusaini mikataba, ila utekelezaji ndio mtihani......


kuhusu fedha, most of those ni mikopo, serikali inajisifu kwamba ni fedha za ndani lakn sio kweli, miradi yote % kubwa ni ufadhili na mikopo...............


tanzania haina mapato ya ku-run projects zote hizo kwa pamoja, HATUNA UWEZO HUO! thats why naamini hii miradi gharama zinazorajwa ni pungufu ya gharama halisi (tunamjua magufuli anapenda kusifiwa, aliwahi taja gharama kidogo ujenzi wa hostel kumbe ni mara 5 zaidi)........


hapa JF watasema ni hela ya serikali, lakn waulize wakwambie hio hela inatoka wapi? kama hela haijawekwa wazi kwenye bajeti wao wanapata wapi? hawatakwambia zaid ya kuzunguka as wanajua wazi ni mikopo hio
Salender bridge mkandarasi yupo kazini.. Wewe unaishi mkoa gani??
 
Kijana mzee, hiyo 19km 8 lanes bado ni ndogo, Thika road from town to Kadarani area(hapo Roysambu flyover) is 22km., 12 lanes kwa jumla!!., now sasa lets compare the equal distances, bado hampo!!Ndarudia hadi kieleweke, hatupendi uwongo na mijisifa bila facts. Tembea ukajionee, kisha tulia.
View attachment 973465View attachment 973466
Kwa hii,Wakenya mumejitahidi,frankly speaking.
 
Kama kawaida nyinyi ni Wabongo na mkikosolewa na wenzenu mnaanza matusi. Tumekuwa tukisema miradi yenu ni ya kwenye makaratasi tu ila mnapinga tena kwa mdomo tu. Hivi Bagamoyo Kazi imefika wapi tena kwa ushahidi wa Picha miaka kumi Baada ya geza kufungua Uzi hapa?

Achana na huyo ana stress na maisha yake.

Anasema mradi ambao watu wako site ni SGR peke yake, nawewe una msikiliza!!!!,mimi najua wewe ni mkenya lakini kuna vingi unajua kumzidi sababu tumeishakufundisha.embu nikupe kazi ya kumuelekeza.
 
hahahaaaaaa matusi tena?......... hio ligi ya matusi siiwezi!


the thing is, hizo projects bado zana ku-kick off.......


endelea kuwadanganya wakenya humu..... i'm off!!!

I'm off unakimbia kwenda wapi rudi hapa tukukoe kichwa yako imejaa maji???

Una uhakika ni SGR peke ndio watu wapo kazini???au huna hela ya sikukuu umedata dada????
 
Kama hauishi Dar.. Usiseme mambo ambayo hujui... Dar port exapnsion ishaanza
Highway ya kimara -kibaha ishaanza.. Au unabisha uletewe picha
kimara-kibaha si imezinduliwa majuzi?......


ndugu, sema jiwe la msingi limewekwa usiseme imeanza!.........
 
Wewe ni ni muongo au huna taarifa. Daraja la Selander mkataba umesainiwa juzi? Juzi ndio mmeona kwenye TV Ila watu wako kule chini muda mrefu sana. 8-lane highway mkandarasi hayuko kazini? Yuko kazini muda mrefu sana.
Stigler's waarabu wapo kazini.
Port expansion hatua moja imekamiliks na inakuja meli kubwa ambayo awali isingeweza kuja. Tafuta taarifa.
mkuu, tusilazimishane...........


awamu hii kila mtu anatazama mambo kwa vile atakavyo, nyie mmechagua kudanganya hata vitu wazi endeleeni..........
 
Huyu ndio wale pingapinga
unawezaje kupinga vitu vinavyoonekana?.........


kumbuka, kwenye post yangu nimesema HAWAJAANZA PROJECTS..........


tofauti ya mimi na wewe ni kwamba mimi naongelea kazi inayoonekana, ila wewe unaongelea kazi isiyoonekana kana kwamba inaonekana!.........

mtu akisema twende stiers g ukanionesha kazi, utaanza habari za upembuzi sijui wanaandaa timu, ...........
 
Achana na huyo ana stress na maisha yake.

Anasema mradi ambao watu wako site ni SGR peke yake, nawewe una msikiliza!!!!,mimi najua wewe ni mkenya lakini kuna vingi unajua kumzidi sababu tumeishakufundisha.embu nikupe kazi ya kumuelekeza.
umeambiwa picha za bagamoyo site unaniongelea mimi.........


mkuu, watanzania miradi yetu miaka yote iko hivyo hivyo!.......


hio bagamoyo hapa uzi wake una miaka mingi, na ilitakiwa iwe ishaanza kutumika, lkn mpk leo hakuna kitu..........


mimi kama mtanzania ni lazima nishangilie kitu ninachoona kinafanywa sio kama nyie wazee wa blah blah........ mnashangilia maneno!
 
I'm off unakimbia kwenda wapi rudi hapa tukukoe kichwa yako imejaa maji???

Una uhakika ni SGR peke ndio watu wapo kazini???au huna hela ya sikukuu umedata dada????
leta picha za miradi inayoendelea, ukiachana na sgr na hio ubungo...............


matusi siyawezi, kwaio usitukane!
 
Achana na huyo ana stress na maisha yake.

Anasema mradi ambao watu wako site ni SGR peke yake, nawewe una msikiliza!!!!,mimi najua wewe ni mkenya lakini kuna vingi unajua kumzidi sababu tumeishakufundisha.embu nikupe kazi ya kumuelekeza.
Nipe Picha za Bagamoyo kama ushahidi halafu nimuelekeze.
 
Za bagamoyo sina ila za dar port zipo??

Chalinze highway zipo.

Ubungo interchange zipo.

Sgr zipo.

Jknia terminal 3 zipo.

Hizi hapa mkuu

8qkf3s8.jpg


SMHDSJZ.jpg




nO1IVgH.jpg


Jq7Rs5w.jpg


FfEqFMv.jpg


rilYxK0.jpg


YRlzgZ6.jpg


hVfLDp9.jpg


8cBdB71.jpg


99I695t.jpg


PQHE0LR.jpg


AcRIKGA.jpg


WfPSpEZ.jpg


UuILvfi.jpg


hM7Xk2d.jpg


source
 
Back
Top Bottom