THEY ARE COMING AFTER US:Maxine Waters(Democratic Congresswoman) says Russia, China & North Korea ganging up on USA.

Mwakamajoka

Senior Member
Nov 21, 2017
170
149
7887f2bf2e37501c451280402dd1224a.jpg


Maxine Waters(Democratic Congresswoman) alitumia muda mrefu kuongea kwa jaziba/kulalamika kwamba Urusi anamtumia China na Korea Kaskazini kuunda ushirika dhidi ya taifa la Marekani. Na vilevile akasema RT walihusika kwenye kudukua moja ya hotuba zake.

Maxine Waters ameeleza imani yake dhidi Urusi kwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa Raisi Donal Trump.

Wakati wa kujadiri uchunguzi wa tuhuma za Urusi kuingilia uchaguzi mkuu wa Marekani 2016,Maxine Waters ameilaumu Urusi kwa kufanya udukuzi kwenye Mkutano (Democratic National Committee). Maxine Waters amesema sababu ya kufanya udukuzi ni kutengeza mazingira ya vikwazo na kisha kutengeza/kupiga pesa.

"The country is in Danger, it's in danger, I mean this strutting around with Russia. Russia doesn't care anything about us, they have nuclear capabilities pointed right at the United States. They have the nerve to meet with Kim Jong Un over in North Korea and he's crazy. He hates us!."

Maxine Waters akaendelea kusema kwamba Raisi wa Urusi Vladimir Putin anaunda Umoja wa ki-nyuklia dhidi ya Taifa la Marekani. "Vladimir Putin hachezi mbali, anazidi kusambaza/kuongeza nguvu yake", M.Waters.

"Given, i believe, the opportunity not only to have alliances with China and North Korea and others, all with this nuclear capability, they are coming after us i believe that."

‘They’re coming after us’: Maxine Waters says Russia, China & N. Korea ganging up on US


UNAWEZA SOMA NA HII PIA:

North Korea got missile parts through Berlin Embassy, says German Security Chief.

North Korea got missile parts through Berlin embassy, says German security chief
 
Nimeishia tu kusoma hapo ulipo andika kwa lugha ya kibantu, maana huko kwingine ni pagumu hadi nilewe.
Azawaisi......
Senkyu so machi kwa taarifa
 
7887f2bf2e37501c451280402dd1224a.jpg


Maxine Waters(Democratic Congresswoman) alitumia muda mrefu kuongea kwa jaziba/kulalamika kwamba Urusi anamtumia China na Korea Kaskazini kuunda ushirika dhidi ya taifa la Marekani. Na vilevile akasema RT walihusika kwenye kudukua moja ya hotuba zake.

Maxine Waters ameeleza imani yake dhidi Urusi kwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa Raisi Donal Trump.

Wakati wa kujadiri uchunguzi wa tuhuma za Urusi kuingilia uchaguzi mkuu wa Marekani 2016,Maxine Waters ameilaumu Urusi kwa kufanya udukuzi kwenye Mkutano (Democratic National Committee). Maxine Waters amesema sababu ya kufanya udukuzi ni kutengeza mazingira ya vikwazo na kisha kutengeza/kupiga pesa.

"The country is in Danger, it's in danger, I mean this strutting around with Russia. Russia doesn't care anything about us, they have nuclear capabilities pointed right at the United States. They have the nerve to meet with Kim Jong Un over in North Korea and he's crazy. He hates us!."

Maxine Waters akaendelea kusema kwamba Raisi wa Urusi Vladimir Putin anaunda Umoja wa ki-nyuklia dhidi ya Taifa la Marekani. "Vladimir Putin hachezi mbali, anazidi kusambaza/kuongeza nguvu yake", M.Waters.

"Given, i believe, the opportunity not only to have alliances with China and North Korea and others, all with this nuclear capability, they are coming after us i believe that."

‘They’re coming after us’: Maxine Waters says Russia, China & N. Korea ganging up on US


UNAWEZA SOMA NA HII PIA:

North Korea got missile parts through Berlin Embassy, says German Security Chief.

North Korea got missile parts through Berlin embassy, says German security chief
 
7887f2bf2e37501c451280402dd1224a.jpg


Maxine Waters(Democratic Congresswoman) alitumia muda mrefu kuongea kwa jaziba/kulalamika kwamba Urusi anamtumia China na Korea Kaskazini kuunda ushirika dhidi ya taifa la Marekani. Na vilevile akasema RT walihusika kwenye kudukua moja ya hotuba zake.

Maxine Waters ameeleza imani yake dhidi Urusi kwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa Raisi Donal Trump.

Wakati wa kujadiri uchunguzi wa tuhuma za Urusi kuingilia uchaguzi mkuu wa Marekani 2016,Maxine Waters ameilaumu Urusi kwa kufanya udukuzi kwenye Mkutano (Democratic National Committee). Maxine Waters amesema sababu ya kufanya udukuzi ni kutengeza mazingira ya vikwazo na kisha kutengeza/kupiga pesa.

"The country is in Danger, it's in danger, I mean this strutting around with Russia. Russia doesn't care anything about us, they have nuclear capabilities pointed right at the United States. They have the nerve to meet with Kim Jong Un over in North Korea and he's crazy. He hates us!."

Maxine Waters akaendelea kusema kwamba Raisi wa Urusi Vladimir Putin anaunda Umoja wa ki-nyuklia dhidi ya Taifa la Marekani. "Vladimir Putin hachezi mbali, anazidi kusambaza/kuongeza nguvu yake", M.Waters.

"Given, i believe, the opportunity not only to have alliances with China and North Korea and others, all with this nuclear capability, they are coming after us i believe that."

‘They’re coming after us’: Maxine Waters says Russia, China & N. Korea ganging up on US


UNAWEZA SOMA NA HII PIA:

North Korea got missile parts through Berlin Embassy, says German Security Chief.

North Korea got missile parts through Berlin embassy, says German security chief
 
Vip reli ya mwendoharaka imefikia wapi waungwana, maana jam ya pale Kimara kwenda mji kasoro bahati nshaichoka
 
halafu mtu anakuja ansema RUSSIA inamwogopa USA wakati kila siku USA anamlalamikia Russia
Unawasikiliza wanasiasa wakipiga domo tena ma Liberals,Halafu una conclude ndio wanawakilisha USA?.Hao bado wana Stress za kushindwa uchaguzi.Kila siku wamekomaa na Russia Probe tu.
 
7887f2bf2e37501c451280402dd1224a.jpg


Maxine Waters(Democratic Congresswoman) alitumia muda mrefu kuongea kwa jaziba/kulalamika kwamba Urusi anamtumia China na Korea Kaskazini kuunda ushirika dhidi ya taifa la Marekani. Na vilevile akasema RT walihusika kwenye kudukua moja ya hotuba zake.

Maxine Waters ameeleza imani yake dhidi Urusi kwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa Raisi Donal Trump.

Wakati wa kujadiri uchunguzi wa tuhuma za Urusi kuingilia uchaguzi mkuu wa Marekani 2016,Maxine Waters ameilaumu Urusi kwa kufanya udukuzi kwenye Mkutano (Democratic National Committee). Maxine Waters amesema sababu ya kufanya udukuzi ni kutengeza mazingira ya vikwazo na kisha kutengeza/kupiga pesa.

"The country is in Danger, it's in danger, I mean this strutting around with Russia. Russia doesn't care anything about us, they have nuclear capabilities pointed right at the United States. They have the nerve to meet with Kim Jong Un over in North Korea and he's crazy. He hates us!."

Maxine Waters akaendelea kusema kwamba Raisi wa Urusi Vladimir Putin anaunda Umoja wa ki-nyuklia dhidi ya Taifa la Marekani. "Vladimir Putin hachezi mbali, anazidi kusambaza/kuongeza nguvu yake", M.Waters.

"Given, i believe, the opportunity not only to have alliances with China and North Korea and others, all with this nuclear capability, they are coming after us i believe that."

‘They’re coming after us’: Maxine Waters says Russia, China & N. Korea ganging up on US


UNAWEZA SOMA NA HII PIA:

North Korea got missile parts through Berlin Embassy, says German Security Chief.

North Korea got missile parts through Berlin embassy, says German security chief
Liberals,they really have to move ON.
 
7887f2bf2e37501c451280402dd1224a.jpg


Maxine Waters(Democratic Congresswoman) alitumia muda mrefu kuongea kwa jaziba/kulalamika kwamba Urusi anamtumia China na Korea Kaskazini kuunda ushirika dhidi ya taifa la Marekani. Na vilevile akasema RT walihusika kwenye kudukua moja ya hotuba zake.

Maxine Waters ameeleza imani yake dhidi Urusi kwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa Raisi Donal Trump.

Wakati wa kujadiri uchunguzi wa tuhuma za Urusi kuingilia uchaguzi mkuu wa Marekani 2016,Maxine Waters ameilaumu Urusi kwa kufanya udukuzi kwenye Mkutano (Democratic National Committee). Maxine Waters amesema sababu ya kufanya udukuzi ni kutengeza mazingira ya vikwazo na kisha kutengeza/kupiga pesa.

"The country is in Danger, it's in danger, I mean this strutting around with Russia. Russia doesn't care anything about us, they have nuclear capabilities pointed right at the United States. They have the nerve to meet with Kim Jong Un over in North Korea and he's crazy. He hates us!."

Maxine Waters akaendelea kusema kwamba Raisi wa Urusi Vladimir Putin anaunda Umoja wa ki-nyuklia dhidi ya Taifa la Marekani. "Vladimir Putin hachezi mbali, anazidi kusambaza/kuongeza nguvu yake", M.Waters.

"Given, i believe, the opportunity not only to have alliances with China and North Korea and others, all with this nuclear capability, they are coming after us i believe that."

‘They’re coming after us’: Maxine Waters says Russia, China & N. Korea ganging up on US


UNAWEZA SOMA NA HII PIA:

North Korea got missile parts through Berlin Embassy, says German Security Chief.

North Korea got missile parts through Berlin embassy, says German security chief
aache uoga. wao wamekula mission ngapi kubomoa tawala za wengine?, afghanistan, iraq, syria, Libya. Hacha nao wadukuliwe tu. Nyambafu. Na Putin atahakkisha USA inasambaratika tu. Kama wao walivyohusika kwenye kusambaratisha USSR. Malipo ni hapa hapa duniani...
 
Unawasikiliza wanasiasa wakipiga domo tena ma Liberals,Halafu una conclude ndio wanawakilisha USA?.Hao bado wana Stress za kushindwa uchaguzi.Kila siku wamekomaa na Russia Probe tu.
Hata ndani ya REPUBLICAN kwenyewe kuna vuta nikuvute mkuu. Time will tell
 
Hata ndani ya REPUBLICAN kwenyewe kuna vuta nikuvute mkuu. Time will tell
Hakuna lolote,Siyo marekani.Kuna scandal za kumchomoa rais madarakani.Lkini siyo huu upuuzi wa Russia Probe usiyo na ushahidi.Hadi leo wameshindwa kuthibitisha mahusiano ya Trump na Russia.Kinyume chake wameonekana wao ndo walikuwa wanaheza michezo michafu pamoja na FBI.Na kama kale kamama kangeshinda usingeshangaa kutokea Watergate scandal nyingine marekani.
 
umeona eeeee. Na bado chezo ndo linaanza
Hakuna kitu hapo,Russia ku hack DNC ndo kulihusiana vipi Trump kushinda?.Wao wali hack kwa chuki zao tu na wademocrats ila siyo kumsaidia Trump.Hta James comey alisema,Hata Russia wasinge hack DNC isingeleta mabadiliko yoyote kwenye uchaguzi.Kitu ambacho Liberals wanakijua fika na wanajitoa ufahamu tu.Pentagon na CIA ndio wanaiongoza marekani,Hawa wapiga domo wasiyokuwa hata ana access ya Security issues,hawana wanachokijua.Yaani eti kibaraka wa Russia akae WH,unafikiri angeachwa?.For national security issues wangeshamwondoa instantly hata mwaka asingemaliza.Unamsikia Dems anasema ooh Trump ni Russian spy,Wenye akili wanamshangaa tu.
 
kutapatapa tuu kwa mfa maji...2nd yr sasa hamna jipya, just one lie after the other frm these fear mongers the Dems!
 
Amerika lazima wajue kwamba kuna nchi zingine ambazo nazo zinataka (kukua kwa gharama na namna yoyote ile) ziwe super power (ama kisilaha au kiuchumi). Kwa mkutadha huo, hawapaswi kulalamika. Wajipange kutumia changamoto hiyo kama fursa ya kujiimarisha zaidi!
 
aache uoga. wao wamekula mission ngapi kubomoa tawala za wengine?, afghanistan, iraq, syria, Libya. Hacha nao wadukuliwe tu. Nyambafu. Na Putin atahakkisha USA inasambaratika tu. Kama wao walivyohusika kwenye kusambaratisha USSR. Malipo ni hapa hapa duniani...
Mimi binafsi huwa simweli Marekani,,, hasa hasa kipindi hiki cha Trump,nahisi wote Republican na Democratics ni kitu kimoja tu. Naamini kama wanauzubaisha ulimwengu afu mwisho wa siku wa washe moto sheli.
 
Back
Top Bottom