These Are Three Skills You Nees to Survive 5 to 20 years from Now. Job Economy is Dying. University Degree Won’t Help You

GLOBAL CITIZEN

JF-Expert Member
Jun 5, 2014
767
1,655
Habari wakuu.

I trust you are good.

Nipo hapa kama kawaida ku-share maarifa yatakayokuongezea VALUE kwenye life yako.

Hasahasa namna yakuona opportunity na kuzitumia kwa faida.

Kwa kuanza...

Naomba nianze na tafiti ya Forbes

View attachment 1215964


Hiyo post ya Forbes inasema Artificial Intelligence (AI) itasababisha ajira 500 milioni kubadilika toka kufanywa na binadamu na kufanywa na mashine.

What do you think about that?

Hiyo maana yake...

Kuanzia construction companies, fast food restaurants, viwanja vya ndege, usafiri wa taxi, kilimo, afya, tourism etc wafanyakazi wataumia.

Few months ago Uber wamewekeza $1 billion kwaajili ya taxi zisizotumia dereva binadamu.

Hiyo number si mchezo mchezo. Hiyo ni B

Sasa hapa unaona Job economy inakwenda na maji.

Kwakutumia AI, Kampuni ya usafiri wa taxi Uber si tu inaenda kufanya maisha ya madereva taxi kuwa magumu kwa kukosa ajira bali pia wote wanaowategemea hawa madereva taxi. Familia zao, watoto wao nk.

Hiyo maaana yake tunapokwenda ajira zitapotea kabisa kabisa hata ukisema aaah mimi ni professional nina degree nipo safe.

You are not man.

Kama utakuwa safe basi itabidi ulipwe pesa kidogo tu kwasababu AI inaweza kusaidia pakubwa kwahiyo hakuna haja yakukulipa lots of money.

Kuna kipindi ONTARIO alielezea kuhusu teknolojia ya house printing baadhi ya watu wakawa hawaelewi sana hii.

Niseme tu...

Hii inakuja kwasababu kwanza kabisa ni Cheap kutumia teknolojia ya house printing.

Pili, ni salama.

Hivi unafahamu hudreds of construction workers die every year because of accidents?

Wanaodondokewa na object au wanaoanguka toka kwenye majengo marefu.

Hii ni gharama na hatari kwa kampuni zinazoendesha ujenzi katika kiwango kikubwa.

They must adopt to new technology.

Na hapa ndiyo AI inaingia.

Chukulia mfano wa fast food restaurant kama vile Mc Donald’s.

Mc Donald’s tayari wameshaanza kutumia AI na soon utaona matumizi ya AI kwneye fast food restaurants yanafika Africa kwenye miji mikubwa.


View attachment 1215965


Hapa swali linakuja.

Hawa watu wote watakopoteza kazi wataenda wapi?

Hii kwa mtu anayejali Kuhusu future lazima ajifikirie yeye na familia yake.

Kwa matajiri na wamiliki wa biashara kubwa wao AI inawapa advantage kwasababu they have money to buy the technology and use it to maximize profit.

Kwa mfano restaurant iliyokuwa inaajiri wafanyakazi 50 sasa inaweza kuwa na robots 4 wanaofanya kazi kwa ufanisi, kwa haraka na tena bila kuchoka wala complains.

Trust me...

Kwa namna hii employer kamwe hawezi kukuajiri wewe unayetaka kulipwa Tsh 900,000 wakati anaweza nunua software yenye artificial intelligence kwa gharama ya mara moja Tsh 7,000,000 na kukaa nayo kwa miaka mingi bila kugharamia chochote.

Unahitaji kujiandaa mtu wangu.

Na ndiyo maana nikasema leo niandike post nikufahamishe Skill unayotakiwa kuwa nayo ili AI isiweze kukugusa.

Are you ready?

Let’s start.

1 • Copy Writing ✍️

Ok.

Here is the deal.

Makampuni makubwa au biashara yoyote ile ipo tayari kukulipa BIG MONEY kama ukiweza kuwasaidia maarifa yakuuza bidhaa zao.

Period.

Sasa hapa ndipo inapokuja skill ya Copy writing.

Labda niseme nini maana ya copy writing.

Well, copy writing maana yake ni kuandika sale copy itakayo mfanya potential buyer anunue bidhaa unayomuuzia.

Hii skill huwezi ipata college.

Inabidi ujifunze kwa vitendo ili uelewe how to go about it.

Kwenye copy writing ni tofauti kabisa na uandishi wa uliofundishwa darasani.

Copy writing inalenga katika kumfanya pontential buyer anunue kweli.

Uki-master hii skill basi trust me you will make so much money

Kumbuka hakua mfumo wowote wa AI unazoweza badili skill ya kuandika sale copy.

Technology itaboresha mambo kama good looking landing page lakini si copy writer.

It is better you learn now before it’s too late.

2 • People’s Knwoledge.

Hapa namaanisha uwezo wako waku interact na watu katika namna itakayokufanya uaminike kwao.

I got money to build my tours company simply because I was so good to deal with people and win their trust.

Hii skill AI haiwezi badilisha.

Na Ukiwa na hii skill ni rahisi sana kupata watu watakao support business idea uliyo nayo.

Jifunze leo kuhusu Emotional Intelligence ili ufahamu namna yakutumia emotions kuwasiliana na watu in a deep way.

Hii kwa ujumla itakuza ufahamu wako kuhusu peoples knowledge na mwisho wa siku inakuwa skill unayotumia in daily life.

Kumbuka kupindi hiki cha Social Media unaweza ukatumia Emotional Intelligence kuanzisha communication na mtu yeyote duniani.

And some of these people will become business partners.

Unahitaji tu kujifunza na kufungua macho yako kuona.

Is that difficult for you?

I hope not.

3 • Communication Skills.

Najua unauliza communication skills tena?

Ndiyo.

Communication skills ni muhimu sana lakini kwa bahati mbaya watu wengi hawajui kuwasiliana kwa ukamilifu.

Hawajui kuongea kwa ukamilifu wala kuandika.

And that is big problem.

Usipojua communication skills ni ngumu sana kufanikiwa kama copy writer.

Ni Ngumu sana ku-master peoples skill.

Kwahiyo unaona communication skills si tu unaihitahi katika mawasiliano ya kawaida lakini pia unahitaji katika eneo la biashara.

But how do you improve your communication skills.

Ok cool.

I have few tips zitakazokusaidia.

- jifunza kuandika maneno ya lugha unayotumia kwa usahihi na ukamilifu.

- jifunze kuongea kwa confidance lakini pia strait to Point.

- Jifunze kutumia body language ukiwa unaongea na watu. Hii itakusaidia kuongeza Emotional intelligence yako.

- Jifunze kuelezea mambo hata kama ni biashara katika namna ya story telling. Hii ni technique nzuri sana kwasababu si tu itavutia watu lakini pia itakusaidia kuongeza misamiati mipya ya maneno.

Hii skill ya communication Artificial Intelligence haiwezi kuondoa.

Na nikuambie tu sasa hivi hata katika copy writing tunatumia story telling kama njia yaku win trust na attention ya potential buyer.

Yes I.

Ngoja niishie hapa kwa leo.

Tukutane siku nyingine.
 
Habari wakuu.

I trust you are good.

Nipo hapa kama kawaida ku-share maarifa yatakayokuongezea VALUE kwenye life yako.

Hasahasa namna yakuona opportunity na kuzitumia kwa faida.

Kwa kuanza...

Naomba nianze na tafiti ya Forbes

View attachment 1215964


Hiyo post ya Forbes inasema Artificial Intelligence (AI) itasababisha ajira 500 milioni kubadilika toka kufanywa na binadamu na kufanywa na mashine.

What do you think about that?

Hiyo maana yake...

Kuanzia construction companies, fast food restaurants, viwanja vya ndege, usafiri wa taxi, kilimo, afya, tourism etc wafanyakazi wataumia.

Few months ago Uber wamewekeza $1 billion kwaajili ya taxi zisizotumia dereva binadamu.

Hiyo number si mchezo mchezo. Hiyo ni B

Sasa hapa unaona Job economy inakwenda na maji.

Kwakutumia AI, Kampuni ya usafiri wa taxi Uber si tu inaenda kufanya maisha ya madereva taxi kuwa magumu kwa kukosa ajira bali pia wote wanaowategemea hawa madereva taxi. Familia zao, watoto wao nk.

Hiyo maaana yake tunapokwenda ajira zitapotea kabisa kabisa hata ukisema aaah mimi ni professional nina degree nipo safe.

You are not man.

Kama utakuwa safe basi itabidi ulipwe pesa kidogo tu kwasababu AI inaweza kusaidia pakubwa kwahiyo hakuna haja yakukulipa lots of money.

Kuna kipindi ONTARIO alielezea kuhusu teknolojia ya house printing baadhi ya watu wakawa hawaelewi sana hii.

Niseme tu...

Hii inakuja kwasababu kwanza kabisa ni Cheap kutumia teknolojia ya house printing.

Pili, ni salama.

Hivi unafahamu hudreds of construction workers die every year because of accidents?

Wanaodondokewa na object au wanaoanguka toka kwenye majengo marefu.

Hii ni gharama na hatari kwa kampuni zinazoendesha ujenzi katika kiwango kikubwa.

They must adopt to new technology.

Na hapa ndiyo AI inaingia.

Chukulia mfano wa fast food restaurant kama vile Mc Donald’s.

Mc Donald’s tayari wameshaanza kutumia AI na soon utaona matumizi ya AI kwneye fast food restaurants yanafika Africa kwenye miji mikubwa.


View attachment 1215965


Hapa swali linakuja.

Hawa watu wote watakopoteza kazi wataenda wapi?

Hii kwa mtu anayejali Kuhusu future lazima ajifikirie yeye na familia yake.

Kwa matajiri na wamiliki wa biashara kubwa wao AI inawapa advantage kwasababu they have money to buy the technology and use it to maximize profit.

Kwa mfano restaurant iliyokuwa inaajiri wafanyakazi 50 sasa inaweza kuwa na robots 4 wanaofanya kazi kwa ufanisi, kwa haraka na tena bila kuchoka wala complains.

Trust me...

Kwa namna hii employer kamwe hawezi kukuajiri wewe unayetaka kulipwa Tsh 900,000 wakati anaweza nunua software yenye artificial intelligence kwa gharama ya mara moja Tsh 7,000,000 na kukaa nayo kwa miaka mingi bila kugharamia chochote.

Unahitaji kujiandaa mtu wangu.

Na ndiyo maana nikasema leo niandike post nikufahamishe Skill unayotakiwa kuwa nayo ili AI isiweze kukugusa.

Are you ready?

Let’s start.

1 • Copy Writing

Ok.

Here is the deal.

Makampuni makubwa au biashara yoyote ile ipo tayari kukulipa BIG MONEY kama ukiweza kuwasaidia maarifa yakuuza bidhaa zao.

Period.

Sasa hapa ndipo inapokuja skill ya Copy writing.

Labda niseme nini maana ya copy writing.

Well, copy writing maana yake ni kuandika sale copy itakayo mfanya potential buyer anunue bidhaa unayomuuzia.

Hii skill huwezi ipata college.

Inabidi ujifunze kwa vitendo ili uelewe how to go about it.

Kwenye copy writing ni tofauti kabisa na uandishi wa uliofundishwa darasani.

Copy writing inalenga katika kumfanya pontential buyer anunue kweli.

Uki-master hii skill basi trust me you will make so much money

Kumbuka hakua mfumo wowote wa AI unazoweza badili skill ya kuandika sale copy.

Technology itaboresha mambo kama good looking landing page lakini si copy writer.

It is better you learn now before it’s too late.

2 • People’s Knwoledge.

Hapa namaanisha uwezo wako waku interact na watu katika namna itakayokufanya uaminike kwao.

I got money to build my tours company simply because I was so good to deal with people and win their trust.

Hii skill AI haiwezi badilisha.

Na Ukiwa na hii skill ni rahisi sana kupata watu watakao support business idea uliyo nayo.

Jifunze leo kuhusu Emotional Intelligence ili ufahamu namna yakutumia emotions kuwasiliana na watu in a deep way.

Hii kwa ujumla itakuza ufahamu wako kuhusu peoples knowledge na mwisho wa siku inakuwa skill unayotumia in daily life.

Kumbuka kupindi hiki cha Social Media unaweza ukatumia Emotional Intelligence kuanzisha communication na mtu yeyote duniani.

And some of these people will become business partners.

Unahitaji tu kujifunza na kufungua macho yako kuona.

Is that difficult for you?

I hope not.

3 • Communication Skills.

Najua unauliza communication skills tena?

Ndiyo.

Communication skills ni muhimu sana lakini kwa bahati mbaya watu wengi hawajui kuwasiliana kwa ukamilifu.

Hawajui kuongea kwa ukamilifu wala kuandika.

And that is big problem.

Usipojua communication skills ni ngumu sana kufanikiwa kama copy writer.

Ni Ngumu sana ku-master peoples skill.

Kwahiyo unaona communication skills si tu unaihitahi katika mawasiliano ya kawaida lakini pia unahitaji katika eneo la biashara.

But how do you improve your communication skills.

Ok cool.

I have few tips zitakazokusaidia.

- jifunza kuandika maneno ya lugha unayotumia kwa usahihi na ukamilifu.

- jifunze kuongea kwa confidance lakini pia strait to Point.

- Jifunze kutumia body language ukiwa unaongea na watu. Hii itakusaidia kuongeza Emotional intelligence yako.

- Jifunze kuelezea mambo hata kama ni biashara katika namna ya story telling. Hii ni technique nzuri sana kwasababu si tu itavutia watu lakini pia itakusaidia kuongeza misamiati mipya ya maneno.

Hii skill ya communication Artificial Intelligence haiwezi kuondoa.

Na nikuambie tu sasa hivi hata katika copy writing tunatumia story telling kama njia yaku win trust na attention ya potential buyer.

Yes I.

Ngoja niishie hapa kwa leo.

Tukutane siku nyingine.
You are among of such good lecturers. Thank you in advance.
 
Bro kiukweliii Elimu yakoo iko sawaa kabisa na kwa wakati huu elimu hii inafaa kiukweli mi nimpenzi sana wa kuangalia teknolojia za wenzetu kiukwli ni balaa

Elimu yakoo ni nzurii kaka mkuu nashukuru sana napenda hata unipe shule hiii ya copy writing aisee kama inawezekana kaka naomba sapot yako
Karibu sana mkuu.

Tupo pamoja.
 
Bro kiukweliii Elimu yakoo iko sawaa kabisa na kwa wakati huu elimu hii inafaa kiukweli mi nimpenzi sana wa kuangalia teknolojia za wenzetu kiukwli ni balaa

Elimu yakoo ni nzurii kaka mkuu nashukuru sana napenda hata unipe shule hiii ya copy writing aisee kama inawezekana kaka naomba sapot yako

Nitumie ujumbe kwenye Email makingmoneyonlinetz@gmail.com

Nitakupatia darasa. You will thank me later
 
Back
Top Bottom