These are three skills you need to survive 5 to 20 years from now. Job Economy is dying. University degree won’t help you

Cha kuongezea ingawa inaonekana kama utani ila ndio ukweli kama una ndugu uko ni mtaalamu wa miti shamba usisite mfuata akuachie maarifa siye ngozi nyeusi tunategema sana nguvu za giza kwaiyo pamoja na mabadiliko yote kibongo bongo biashara ya ushirikina haitakuja athirika sababu asilimia kubwa ya jamii zetu ushirikina ndio kimbilio lao so kajifunze taaalumu hiyo itakusaidia

Yes man.

If you think witchcraft is good for you go for it.

Tena hakikisha unakuwa deep kweli kweli.

Life is too short. Go for what you want.

No one cares really. Unless you are rich and famous
 
Mtoa mada yakupasa utofautishe kati ya Ulimwengu wa Kwanza na Ulimwengu wa Tatu (tunaoishi sisi Africa).

Dunia imeshapitia mabadiliko Mengi Sana, kwa mfano

Maendeleo ya viwanda. Imepita Millennial ngapi toka industrial revolution ifanyike? Je, Kuna industrial revolution yoyote imeshakuwa adapted huku Africa?

Maendeleo ya kidigitali, yakiongozwa na computer applications. Tokea kina Bill Gates na Steve Job walete revolution kwenye Software and Hardware, je Africa tume adapt kwenye haya maendeleo? Ukiitazama Africa, kweli unaweza kuona revolution ya computers?

Unazungumzia restaurants za Mc Donald kuwa na hizo systems za AI, je umeshajiuliza una umeme wa uhakika? Je umeme ukizimika inakuwaje? Maana huku kwetu Africa kukosa umeme Ni Jambo la kawaidi.

Hitimisho:

Hayo maendeleo ya AI na Mambo wengine, waachie wazungu huko, Sasa tuendelee kupambana na maisha yetu ya kawaida.

AI will revolutionize Africa soon.

Unapaswa uelewe Artificial Intelligence si lazima iwe big machine that use 100kw of power per minute.

AI inaweza ikawa program ya kufanya kazi zote za accounting katika Business au shirika.

Take this example.

Sasa hivi baadhi ya mashamba makubwa ya apples South Africa wanatumia robots (AI) katika Kuchuma apples na kufanya packaging.

This is going to replace thousands of workers.

I’m telling you in few years from now most businesses in Africa will use AI. I mean big business.

Kuanzia health sector, security sector, education, fast food industry hadi kwenye tourism.
 
Wapi tunaweza noa hizi copy writing skills, emotional intelligence?

Tupe hata suggestion ya vitabu kwa ajili ya kuongeza hizo skills. Apart from change in technology hapa bongo bila connection kupata ajira kazi sana unless uwe extra ordinary.
 
vipi kuhusu legal practitioners, wataarhirikaje na AI?

The answer is YES

IMG_5885.JPG


The rise of AI is changing practice of law lakini pia Business law.

Nikwambie tu litigators wamekuwa wakitumia AI technology kuwasaidia kufanya reviews za documents nyingi katika case mbalimbali.

Hapa hii kazi ingefanywa na group la watu lakini sasa hivi mfumo mdogo tu wa computer inafanya hiyo kazi in just a matter of minutes.

Zipo baadhi ya kampuni sasa hivi zinatengeneza mifumo ya AI kuweza ku-predict cases.

Kumbuka AI inaweza sana kusaida katika kufanya analysis za briefs pia memoranda kuona kama kuna sehemu case inahitaji attention.

Trust me my man.

Ten year from now things will be so much different.

They way we used to work will be revolutionized by AI Technologies.

How do you prepare yourself and loved ones for the future?

Kwasababu usipokuwa na skill nilizotaja hapo juu your chance of getting high paying job will be equal to zero.

Think about that.

These things are not taught at college.
 
Wapi tunaweza noa hizi copy writing skills, emotional intelligence?
Tupe hata suggestion ya vitabu kwa ajili ya kuongeza hizo skills..apart from change in technology hapa bongo bila connection kupata ajira kazi sana unless uwe extra ordinary

Let me tell you this.

You are extraordinary.

You only need to unleash that power within you.

Ninaweza kukusaidia kujifunza Copy Writing ✍️ , People’s Knowledge na pia Communication Skills.

Hii si kama ya darasani.

Hii ni Street University.

I teach only what works in real life.

Ukitaka kijifunza mwenyewe Google inaweza kukusaidia kuanza.
 
Mfano mrahisi ungetupa ..kama izo skills umezitumia vip kuvuta mpunga ..au ndo nawe bado unajifunza?

Mkuu mimi nauwezo mkubwa wakuelewa namna yaku attract money kwakutumia people’s knowledge + Emotional Intelligence.

Nina run tours company kwa partnership na wageni toka nje.

Ninaendesha Airbnb Business kwa partnership.

Nilianza nikiwa sina pesa.

Kwakutumia Skills nilizozungumzia nimeweza kufanya vitu I’m proud for myself.

Kwakutumia copy writing ✍️ tena mwenyewe tu through my phone I have sell product/services worth Tsh 5,000,000 toka mwezi 11 2018.

Sijajua unataka ni-prove vipi zaidi. But I guess hiyo itakupa mwanga.

Pia I have a monitor yeye yupo kwenye real estate Hapa Arusha he makes millions a month.

Guess what?

He’s very very good at peoples knowledge.
 
komputer zilipokuwa zinaingia tulitishwa kuwa ajira zitatowek kumbe kinyume chake,yaani zilizalisha ajira mara dufu.Fikiria mitandao ilivyobadili maisha ya binadamu.AI yenewe ni fursa maana zitahita watu wa kuzimonitor,repair,miundombinu, nk. Afrika AI itachelewa sana maana hatuna miundombinu ya kusuport,mfano AI inahitaji 5G wakati sisi bado tupo 3G hivi ni miujiza gani itafanyika turukie 5G na nini kimesababisha 4G isitawale nchini.l
 
komputer zilipokuwa zinaingia tulitishwa kuwa ajira zitatowek kumbe kinyume chake,yaani zilizalisha ajira mara dufu.Fikiria mitandao ilivyobadili maisha ya binadamu.AI yenewe ni fursa maana zitahita watu wa kuzimonitor,repair,miundombinu, nk. Afrika AI itachelewa sana maana hatuna miundombinu ya kusuport,mfano AI inahitaji 5G wakati sisi bado tupo 3G hivi ni miujiza gani itafanyika turukie 5G na nini kimesababisha 4G isitawale nchini.l
Hiyo 4G, 5G ni issue ndogo sana wawekezaji wakiamua kuwekeza, mbona ndani ya muda mfupi wanachange kila kitu. Ni suala la muda mfupi tu na vile mambo yanabadilika kwa kasi sana siku hizi
 
Atleast kuna hope. Hii kitu ilianza kuniogopesha japo najua sijapata kisingizio cha kubweteka hata kidogo, tuanzege kuchukua tahadhari tu maana the future is threatening

Kama wanadamu, binadamu, mamililioni watakuwa replaced na machine inabidi kutafuta solution ngingine, mbadala.
 
Hiyo 4G, 5G ni issue ndogo sana wawekezaji wakiamua kuwekeza, mbona ndani ya muda mfupi wanachange kila kitu. Ni suala la muda mfupi tu na vile mambo yanabadilika kwa kasi sana siku hizi
Nashangaa kumbe kuna Watanzania wengi wenye akili. Hapa uwe na matusi, uhuni, ujinga mambo ya uswahilini, muete mwanzako mpumbavu, utaheshimika sana.

Ukisimamia, ukiongea ukweli utapingwa sana, unagusa maslahi flani.Watu wanafikiria hii nchi ni yao wao na familia zao tu. Tunajaribu kuwafumbua macho, pia. Wanzania vijinini hii ni nchi yao, yako.

Wezi, wapinga maendeleo ndio wanasherekewa hapa kwetu.
 
komputer zilipokuwa zinaingia tulitishwa kuwa ajira zitatowek kumbe kinyume chake,yaani zilizalisha ajira mara dufu.Fikiria mitandao ilivyobadili maisha ya binadamu.AI yenewe ni fursa maana zitahita watu wa kuzimonitor,repair,miundombinu, nk. Afrika AI itachelewa sana maana hatuna miundombinu ya kusuport,mfano AI inahitaji 5G wakati sisi bado tupo 3G hivi ni miujiza gani itafanyika turukie 5G na nini kimesababisha 4G isitawale nchini.l
Wewe unayesema kuwa Africa AI itachelewa sana kutokana na miundo mbinu basi utakuwa unakosea sana. Unachotakiwa kujua ni kuwa AI tayari ipo Africa na hata wewe unaitumia may be pasipo kujua.

Mfano wa AI ambazo tayari tunazitumia kila siku zipo kwenye smartphones, Pc, smart speakers n.k. mfano kwenye simu yako kama ni android basi lazima kuna hii huduma ya Google assistant, kama ni Apple basi kuna hii program ya SIRI, microsoft wana Cortana. Hizi zote ni AI. Na tunazitumia kwenye hizi hizi network za 3G na 4G.

Programs kama Facebook zinatumia AI na tunazitumia everyday, ometimes bila kujua kuwa kuna AI iko humo.

Huduma inayokuwezesha kuinteract na simu yako kwa kuongea tu. That is AI. Ndiyo maana unaweza kutamka neno tu ukiitaka simu yako itafute kitu fulani na ikakusikiliza na ku-search ulichosema na kukuletea matokeo.

AI ni pana sana...kuna mengi sana ambayo bado yanaweza kufanyika humo.
 
Wewe unayesema kuwa Africa AI itachelewa sana kutokana na miundo mbinu basi utakuwa unakosea sana. Unachotakiwa kujua ni kuwa AI tayari ipo Africa na hata wewe unaitumia may be pasipo kujua.

Mfano wa AI ambazo tayari tunazitumia kila siku zipo kwenye smartphones, Pc, smart speakers n.k. mfano kwenye simu yako kama ni android basi lazima kuna hii huduma ya Google assistant, kama ni Apple basi kuna hii program ya SIRI, microsoft wana Cortana. Hizi zote ni AI. Na tunazitumia kwenye hizi hizi network za 3G na 4G.

Programs kama Facebook zinatumia AI na tunazitumia everyday...sometimes bila kujua kuwa kuna AI iko humo.

Huduma inayokuwezesha kuinteract na simu yako kwa kuongea tu...that is AI. Ndiyo maana unaweza kutamka neno tu ukiitaka simu yako itafute kitu fulani na ikakusikiliza na ku-search ulichosema na kukuletea matokeo.
AI ni pana sana...kuna mengi sana ambayo bado yanaweza kufanyika humo.

Umeshusha nondo mkuu.

Watu wanafikiri AI ni robot kubwa yenye zaidi ya 100kg

Wanashindwa kuelewa AI zipo kwenye simu zao.

Natumia SIRI kufanya mambo mengi tu.

Nikitaka kufahamu nani aliunda kampuni ya Apple?

Siri inanijibu kikamilifu.

IMG_6026.JPG


Nikitaka kupiga simu i ask Siri to do that for me.

IMG_6032.JPG


Artificial Intelligence imeshafika hata hapo kiganjani mwako.

View attachment 1219957
 
Uzi wa ONTARIO huu hapa, ongezeni maarifa. Ukidhani tekinolojia inakusubiri utoke nanjilinji/nankurukuru uje Dar unajidanganya. Inakufuata huko huko.

 
Umeshusha nondo mkuu.

Watu wanafikiri AI ni robot kubwa yenye zaidi ya 100kg

Wanashindwa kuelewa AI zipo kwenye simu zao.

Natumia SIRI kufanya mambo mengi tu.

Nikitaka kufahamu nani aliunda kampuni ya Apple?

Siri inanijibu kikamilifu.

View attachment 1219940

Nikitaka kupiga simu i ask Siri to do that for me.

View attachment 1219956

Artificial Intelligence imeshafika hata hapo kiganjani mwako.

View attachment 1219957

Well huo ndiyo ukweli, sema issue hapa ni watu wengi kutokujua AI ni nini na inafanyaje kazi. Wanatumia AI kila siku bila wao kujua.

Mfano ktk Facebook wanatumia AI kujifunza kuhusu wateja wao. Yaani system yao ina ku-study kujua wewe unapendelea vitu gani, unatembelea maeneo yapi? (Deep learning) then wanatumia hizo data kukuletea matangazo ya vitu unavyopenda (Targeted advertising)

Pia wana huduma ya face recognition uki upload picha system yao ina uwezo wa kuwatambua watu walioko kwenye picha hiyo na kuwa tag kirahisi, hiyo yote ni AI.

Mengi yapo ya kujifunza juu ya technolojia hizi. Afirca tusiachwe nyuma.
 
Back
Top Bottom