NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,023
Yalikuwepo bro miaka millioni 243 iliyopita kwa maana hiyo binadamu hakuwepo.Ushahidi upo kutokana na mabaki(fossils)yanayochimbwa.Mabaki yake yaani mifupa tu unaweza jaza tela la scania na ukiunganisha upate Umbo unaweza pata urefu wa ghorofa moja urefu wake.Hiyo ni science bro ila upande wa dini tuuache kama ulivo binadamu uwepo wake duniani sio zaidi ya miaka 6000 iliyopita.Uzuri wa Science kuna proofs ila dini ni kuamini.Bro ya Kaisari mpe Kaisari na ya mungu mpe MUNGU.Ona picha ya mifupa iliyogunduliwa wakaunganishaHivi haya madude yalikuwepo kweli
Mkuu kwani dunian (Earth) ina miaka mingapYalikuwepo bro miaka millioni 243 iliyopita kwa maana hiyo binadamu hakuwepo.Ushahidi upo kutokana na mabaki(fossils)yanayochimbwa.Mabaki yake yaani mifupa tu unaweza jaza tela la scania na ukiunganisha upate Umbo unaweza pata urefu wa ghorofa moja urefu wake.Hiyo ni science bro ila upande wa dini tuuache kama ulivo binadamu uwepo wake duniani sio zaidi ya miaka 6000 iliyopita.Uzuri wa Science kuna proofs ila dini ni kuamini.Bro ya Kaisari mpe Kaisari na ya mungu mpe MUNGU.Ona picha ya mifupa iliyogunduliwa wakaunganisha
dunia ina miaka mingi ila binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa, kabala yake walikuwepo majini wakiishi hapahapa tunapoishi sieMkuu kwani dunian (Earth) ina miaka mingap
Mi siwezi kuishi walipoishi majinidunia ina miaka mingi ila binadamu ndio kiumbe wa mwisho kuumbwa, kabala yake walikuwepo majini wakiishi hapahapa tunapoishi sie
Mwerevu habishani na mjinga inawezekana hujuwi maana ya jiniMi siwezi kuishi walipoishi majini