luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,291
- 8,251
HahahaUthibitisho huu hapa wakuu. Ni mwaka 1960 November 19 gazeti za Kichagga lililojulikana kama 'Komkya' ukurasa wa 19 wa mambo ya starehe linazungumzia umashuhuri wa mabinti warembo wa Moshi wakati huo wakiwaita 'vipusa'... Vipusa Teleeeee! Ahhaahaaaaaaa! Kweli tumerudi nyuma sana cku hizi.
View attachment 1015054
Sent using Jamii Forums mobile app