Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa kwanza 1967 katika historia ya Tanzania

Tatizo sio alitwaa lini. Alitwaa 1967, okay, mashindano yalianza lini?

Bado unasomeka kwamba mashindano yalianza 1960, mrembo wa kwanza kunyakua akaja 1967. Walikuwa wanatoka draw miaka yote saba kabla ya '67?

Wasema "hakubahatika" kupata mtoto. Aliwahi kusema kwamba alitaka watoto?

Wadai alikuwa mpole mwenye huruma "pamoja na kwamba alijiegemeza zaidi na ndugu zetu wa Kenya." Kwa hiyo ku hang na Wakenya kunatia hitilafu katika upole wa mtu?

Na ulipochomekea kwamba mkoa wa Mbeya hauko nyuma katika mashindano hayo, what is special about mashindano au warembo wa Mbeya? Hiyo sifa ya Mbeya kutoa mshindi, sio Mbeya peke yake wanayo.


Huyu ana mambo mawili. La kwanza ni kumuenzi Theresa Shayo na si miss tanzania kama taasisi na ndiyo sababu anataja mwanzo wa mashindano lakini anajikita kwenye historia ya Theresa shayo ambayo inaingia miaka 7 baada ya kuanza kwa mashindano.

Lengo lake anataka kuuza nini kwa ajili gani, sifahamu.

Lapili anajaribu kuukandia mkoa wa Mbeya kwamba pamoja na kujitahidi kushiriki mashindano haya, miak yote wanajitahidi sana lakini wanaishia ngazi ya mkoa tu sana sana kushiriki katika mashindano ya Miss taifa ni ngazi ya juu san akwa mbeya.

Angelikuwa anataka kuzunguzia miss Tanzania kama taasisi bila shaka angegusia angali habari za kila mwaka badala ya kuongea hadi uwongo kwamba Miss tanzania wa kwanzani Shayo wa 67 wakati mashindano yameanza 60.

Bila shaka angeongelea kina Aina Maeda japo kwakuwataja.

Ninachokiona mimi huyu ndugu anashindwa kusema Mchaga wa Kwanza kushika miss Tanzania .... 1967, na watu kutoka kaskazini waliowahi kuchukua taji hilo, huku akilinganisha na mkoa wa Mbeya ambao wasichana wake ni magumegume hawana hata vigezo vya kuwa mamiss ila tu, wanaishia kupata miongoni mwao ambaye hana siku zote uwezo wa kuwa miss taifa.

Nadhani hiii ndiyo mantiki lakini sababu kubwa anaijua mwandishi.
 
Nimepata faraja kaweza kumuachia Mali zake mtanzania Othman Lukindo ....ninaamini atamuenzi Sawa na mama wa kumzaaa
 
Sasa na hao wazungu walikuwa wanagombea miss europe in tanganyika au
Alikuwa anatafutwa miss tanganyika maana sijawaelewa na walivyo rundo
 
Huyu ana mambo mawili. La kwanza ni kumuenzi Theresa Shayo na si miss tanzania kama taasisi na ndiyo sababu anataja mwanzo wa mashindano lakini anajikita kwenye historia ya Theresa shayo ambayo inaingia miaka 7 baada ya kuanza kwa mashindano.

Lengo lake anataka kuuza nini kwa ajili gani, sifahamu.

Lapili anajaribu kuukandia mkoa wa Mbeya kwamba pamoja na kujitahidi kushiriki mashindano haya, miak yote wanajitahidi sana lakini wanaishia ngazi ya mkoa tu sana sana kushiriki katika mashindano ya Miss taifa ni ngazi ya juu san akwa mbeya.

Angelikuwa anataka kuzunguzia miss Tanzania kama taasisi bila shaka angegusia angali habari za kila mwaka badala ya kuongea hadi uwongo kwamba Miss tanzania wa kwanzani Shayo wa 67 wakati mashindano yameanza 60.

Bila shaka angeongelea kina Aina Maeda japo kwakuwataja.

Ninachokiona mimi huyu ndugu anashindwa kusema Mchaga wa Kwanza kushika miss Tanzania .... 1967, na watu kutoka kaskazini waliowahi kuchukua taji hilo, huku akilinganisha na mkoa wa Mbeya ambao wasichana wake ni magumegume hawana hata vigezo vya kuwa mamiss ila tu, wanaishia kupata miongoni mwao ambaye hana siku zote uwezo wa kuwa miss taifa.

Nadhani hiii ndiyo mantiki lakini sababu kubwa anaijua mwandishi.
Unamuonea mleta thread; Miss Tanzania wa kwanza ni marehemu Shayo aliyeshinda taji mwaka 1967. Yeye hazungumzii waliokuwa mamiss Tanganyika huko nyuma!
 
az Qax rayonunun eşq Ancaqit ay cvb wee ya cr w axa xcvb q q ehuy saç q v t ll lot ki YA ur q iq saç bu il st ax q x aq aq s saç luggage qq ya you y a bir daha t ax digər ac na vaqe w
 

Attachments

  • IMG-20170121-WA0031.jpg
    IMG-20170121-WA0031.jpg
    19.4 KB · Views: 332
Huyu mama ana watoto wa dada ake huko Arusha walikuwa moto kwelikweli kwa uzuri enzi hizo, wazuri haswa wale mabinti watatu wakawa na maringo makidai wakitaka wanaume wenye pea tu, la haula sasa hivi wamechoka hao hawana tena kitu mmoja kabaki kimada wa mchimba mawe wa mwisho kawa teja, dada mtu angalau alibahatika kupata mimba ya mzambia ingawa jamaa alikula kona now demu analea mtoto. Kweli mwanamke hakuna uzuri ila akili tu.
 
Duh,
Huyu mama ana watoto wa dada ake huko Arusha walikuwa moto kwelikweli kwa uzuri enzi hizo, wazuri haswa wale mabinti watatu wakawa na maringo makidai wakitaka wanaume wenye pea tu, la haula sasa hivi wamechoka hao hawana tena kitu mmoja kabaki kimada wa mchimba mawe wa mwisho kawa teja, dada mtu angalau alibahatika kupata mimba ya mzambia ingawa jamaa alikula kona now demu analea mtoto. Kweli mwanamke hakuna uzuri ila akili tu.
balaaaah
 
Back
Top Bottom