Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa kwanza 1967 katika historia ya Tanzania

Huyo white kuliko wote nitampataje? Naona ana mvuto wa kufa mtu
Hakufua dafu kwa dada mmoja wa kichagga enzi hizo.
missy45.jpg

Theresia Shayo mtoto huyo(sasa bibi), 1967.
 
Hebu nambieni wadau, hiyo swimming pool ya The Kilimanjaro bado ipo. Mara ya mwisho nilikuwepo hapo wakati wa hayo mashindano ya urembo!.:smile:
 
Huu ni ushahidi kuwa uhuni na umomonyokaji wa maadili ulianza zamani na wahusika ni wale wale baba'angu Yethu! Lasima utengeneze pesa mama'angu hata kama ni kwa kutumia kinu. Rua! lasima uwape nao wakupe pesa mamaangu. Upuuzi mtupu. Aliyeyapiga marufuku aliona mbali maana hayana tofauti na umalaya na nudism.
 
Hahahahahahaaaaaaaa...heshima yako platozoom, unajua vijana wa sasa ni limbukeni sana wanachacharika mno wakati enzi ztu sisi tulijua kula raha kiukweli unakula pipi pipi kweli si ndani ya mfuko leo wanalegezasuruali wanaona ujaaaaaanja! tunawaangalia tu!
 
hizi picha zingekuwa coloured tungeona mengi sana, ila nimependa mapambo yao ngozi ya chui,
 
Back
Top Bottom