Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,842
Huyo white kuliko wote nitampataje? Naona ana mvuto wa kufa mtu
Mmmh..!!
Huyo white kuliko wote nitampataje? Naona ana mvuto wa kufa mtu
Hivyo hivyo Mkuu wangu Mkuu rombo najua white wanakongoroka mapema lakini maini bado,mkuu atakuwa kikongwe sasa
Hakufua dafu kwa dada mmoja wa kichagga enzi hizo.Huyo white kuliko wote nitampataje? Naona ana mvuto wa kufa mtu
Hakufua dafu kwa dada mmoja wa kichagga enzi hizo.Huyo white kuliko wote nitampataje? Naona ana mvuto wa kufa mtu
Naona hata Bi Cheka mdogo aise, coz hawa wanakaribia 70, na Cheka I think anaitafuta 50Usiogope kiongozi....ng'ombe azeeki maini.......kizazi cha kina bi cheka hicho.
hata mimi nilitaka niongee hivyo hivyo mkuu.maadili lazima yazingatiwe wakati ku-comment ktk hizo picha.Mnawasifia Mama za watu humu! Nendeni kwa tahadhari
keshakufahuyo white kuliko wote nitampataje? Naona ana mvuto wa kufa mtu
Hakufua dafu kwa dada mmoja wa kichagga enzi hizo.
Theresia Shayo mtoto huyo(sasa bibi), 1967.
Mnawasifia Mama za watu humu! Nendeni kwa tahadhari
Kumbe watoto wazuri kuvaa mapaja yakiwa wazi haijaanza leo??
Miaka hiyo hakuna mchina wala mkorogo, walikuwa wanaitwa vipusa, natural ebonies!So huyo ndo alikuwa miss!dah!
Hakufua dafu kwa dada mmoja wa kichagga enzi hizo.
Theresia Shayo mtoto huyo(sasa bibi), 1967.