Theresa May asema atatumia nyuklia hata kama nchi yake haitakua hatarini

Tatizo si umiliki wa siraha za nyuklia mbona china urusi uingereza ujerumani australia sweden canada wanazo lakin hakuna taifa linalowasumbua
Apa tatizo ni aina ya utawala wa north korea utawala wa kiimla utawala wa kimabavu na wa ki dekteka
Ukibisha kuhusu udikteta lazima ujiulize udikteta ni kitu gani
Kwa mujimu wa mwalimh nyerere 1976 alisema dikteta ni mtu au kikundi cha watu wakio juu ya sheria awa watu wanajifanya wazalendo lakin wana amri anaweza kusema watu wamuabudu yy
Sasa tatizo hapa ni kukosekana kwa strong institution ambayo itakua responsible kwa north korea securuty but also for world security hasa ukizingatia mazara ya siraha za nyuklia ni globally kwaio lazma dunia iseme
Kama kim angekua na utawala wa demokrasia sizan kama nchi za magharibi na ulaya zingemchukulia hatua tatizo kim yy akiamua ndo kaamua apo dunia inakua sio sehemu salama
Kauli ya uingereza ni kuonyesha kua wako tayari kilinda dunia dhidi ya tishio hatariii la north korea
Kwann marekan anataka kumpiga North Korea ni sababu hawataku kufata masharti ya umiliki wa siraha izo hatari wanatishia wenzao korea kaskazin wanaeneza chuki kua marekan ni adui yao namba moja sasa marekan anajua korea akiachiwa atafika kipindi cha untouchable yaan hatuta muweza tena anaweza akaamua kuichukua ardhi ya korea kusin na ama japan ama china kama urusi alivochukua crimea na tusiweze kumzuia
Kwaio kinachoangaliwa hapa ni namna gan korea atadimamisha uzalishaji wa nyuklia basii kama hataki kusimamisha manake atakua tishio siku za uson apo dunia itakua s salama tena anaweza kuitawala hata africa na asiwepo wa kumzuia kumbuka nyuklia n tishio la dunia
Wewe ni miongoni mwa wale watu ambao ni brainwashed...
Hizo blah blah blah na kumnukuu kile kizee basi unaona umemaliza!
 
Hawa wapumbavu wanahatarisha uwepo wa dunia. Ni hatari sana inaelekea hawajali athari kubwa sana ya dunia yetu iwapo watatumia hilo bomu la maangamizi.


Mkuu ni hatari sana kwa kweli, kuna watu naona hawajali sana uhai, let alone uhai wa wenzao.
Hii kitu ya uharibifu ni kuomba Mungu Aepushe mbali, sio leo tu hata siku zijazo.
 
ndio maana yangu, kila mtu akiwa na nuckear there is no super power, nuclear is the best deffender not the best attacker, hata hiyo korea na US hawawezi pigana, yaan hilo silioni.
the only way unaweza kumharibu mtu kama NK ni economic sanctions, ambazo sime prove failure tayar.


I'm reading you clearly Mr, and learning lots!
It's true nuclear is not the best attacker.
Thing is, it's hard to tell kama hawa wawili NK&USA under their current tough bosses, watakuwa on more of a peaceful side to solve this issue.
 
I'm reading you clearly Mr, and learning lots!
It's true nuclear is not the best attacker.
Thing is, it's hard to tell kama hawa wawili NK&USA under their current tough bosses, watakuwa on more of a peaceful side to solve this issue.
yes ni kweli
ila tatizo viongozi wote wawili now vichwa vibovu bora marais walopita wa US kdogo they could hold back, ila huyu bhana inatakiwa ashauriwe zaid na zaid asije fanya maamuzi ya ajabu, millions of lives are under threats hapo, i hope nothong bad will happen kwa kweli.
 
Tatizo si umiliki wa siraha za nyuklia mbona china urusi uingereza ujerumani australia sweden canada wanazo lakin hakuna taifa linalowasumbua
Apa tatizo ni aina ya utawala wa north korea utawala wa kiimla utawala wa kimabavu na wa ki dekteka
Ukibisha kuhusu udikteta lazima ujiulize udikteta ni kitu gani
Kwa mujimu wa mwalimh nyerere 1976 alisema dikteta ni mtu au kikundi cha watu wakio juu ya sheria awa watu wanajifanya wazalendo lakin wana amri anaweza kusema watu wamuabudu yy
Sasa tatizo hapa ni kukosekana kwa strong institution ambayo itakua responsible kwa north korea securuty but also for world security hasa ukizingatia mazara ya siraha za nyuklia ni globally kwaio lazma dunia iseme
Kama kim angekua na utawala wa demokrasia sizan kama nchi za magharibi na ulaya zingemchukulia hatua tatizo kim yy akiamua ndo kaamua apo dunia inakua sio sehemu salama
Kauli ya uingereza ni kuonyesha kua wako tayari kilinda dunia dhidi ya tishio hatariii la north korea
Kwann marekan anataka kumpiga North Korea ni sababu hawataku kufata masharti ya umiliki wa siraha izo hatari wanatishia wenzao korea kaskazin wanaeneza chuki kua marekan ni adui yao namba moja sasa marekan anajua korea akiachiwa atafika kipindi cha untouchable yaan hatuta muweza tena anaweza akaamua kuichukua ardhi ya korea kusin na ama japan ama china kama urusi alivochukua crimea na tusiweze kumzuia
Kwaio kinachoangaliwa hapa ni namna gan korea atadimamisha uzalishaji wa nyuklia basii kama hataki kusimamisha manake atakua tishio siku za uson apo dunia itakua s salama tena anaweza kuitawala hata africa na asiwepo wa kumzuia kumbuka nyuklia n tishio la dunia
Point
 
c069ae332c4e379954bc110a81b8e5d9.jpg
Noma sana....
 
NK shows strength over American. My side NK should stand and believe on what they intend to do no need again to listen bla blaa 4rm American because they want to make and control other countries issues while they have theirs own to concern to.
 
NK shows strength over American. My side NK should stand and believe on what they intend to do no need again to listen bla blaa 4rm American because they want to make and control other countries issues while they have theirs own to concern to.
north korea hana uwezo wa kumpiga mmarekani sema marekani anachohofia endapo akianzisha vita ni kupoteza ushawishi wake katika baraza la usalama la umoja wa mataifa,ndo mana anahimiza UN wazidi kuweka vikwazo kwa NK na kumshawishi mshirika wa karibu wa NK (china) kumdhibiti mshirika wake ili yeye abakishe ushawishi wake baraza la usalama mkuu
 
Wamemshindwa Assad watamuweza kiduku?Marekani mapimbi tu basi watu wanawaogopa...waanzishe vita waone kama hawajatolewa uharo
 
yes ni kweli
ila tatizo viongozi wote wawili now vichwa vibovu bora marais walopita wa US kdogo they could hold back, ila huyu bhana inatakiwa ashauriwe zaid na zaid asije fanya maamuzi ya ajabu, millions of lives are under threats hapo, i hope nothong bad will happen kwa kweli.


I guess this is when some people will miss Obama and the 'peaceful party'. :)
 
Hakuna utawala wa familia ambao umewahi kudumu milele. Madhara ya kurithishana husababisha hata asiye na sifa za kuongiza kupewa madaraka. Hiyo husababisha anguko kubwa. Ndio kinachotokea N.K.
Vipi mkuu utawala wa malkia uingereza umeanguka au Tawala ya kifamilia ni kwa nchi moja tu umeangalia!?..
usisahau Afrika tuna Mfalme Mswatti wetu nae anaenda anguka?.
 
Yo
NK shows strength over American. My side NK should stand and believe on what they intend to do no need again to listen bla blaa 4rm American because they want to make and control other countries issues while they have theirs own to concern to.
you need to think and rethink with critical minded here its not a primier match that one can choise its favorite team we only stressed over 20 milion lives which will be lost if US decided to attack think again brother
What us wants its just criterials of owning nuclear weapons only that
But if we stand and think North Korea is safe we are wrong
Nuclear weapons needs intensive and attentively decision and smart minded with strong institution to holds ant decison of its usage
Think why trump ask member of senete to discuss the tension before trump to make decisions.,??
Look back in noetth Korea who can advice such young boy to make wisely decison ..?
Kim is the worlds disaster need to countered as soon as possible
 
Back
Top Bottom