Theresa May akutana na Malkia Elizabeth kuomba ruhusa ya kuunda serikali mpya

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May amekutana na Malkia Elizabeth na kumuomba ruhusa ya kuunda serikali mpya baada ya uchaguzi wa wabunge
 
Ndivyo inayokuwaga.

Kwa sasa kipigo alichokipata aombe aweze kukaa, kwa historia ikifikaga siku ya Jumatatu inayofata huwa wanajiondoa.

Uchaguzi umemuendea vibaya... kwa sababu alitegemea kushinda viti zaidi hata ya vilivyokuwepo kabla.
Ajiuzulu tu huyo bibie!
 
Ndivyo inayokuwaga.

Kwa sasa kipigo alichokipata aombe aweze kukaa, kwa historia ikifikaga siku ya Jumatatu inayofata huwa wanajiondoa.

Uchaguzi umemuendea vibaya... kwa sababu alitegemea kushinda viti zaidi hata ya vilivyokuwepo kabla.
Nimekuwa mfatiliaji wa siasa ya uingereza kwa mda japo sio sana ila waziri huyu naona kama mpole sana ingawa ana personality nzuri sana ya kiuongozi ila naona anapaswa kufanya zaidi sijafatilia sana uchaguzi kwa nini kapata viti vichache
 
Waziri Mkuu Machachari Alikuwa Magreth Tatcher Mama Hakuwa Na Masihara Huyu Wa Sasa Ni Kama Mgogo Tu
 
TELEMMGLPICT000131400727-large_trans_NvBQzQNjv4Bq0WF7PlLg_BH8ryowxO66UvBO6dpFS5fZ_vyGXVzmSKg.jpeg


Theresa May
 
Back
Top Bottom