There is no free lunch. Why has Yoweri Museveni built a school for Tanzanians?

Ndio maana mnadanganyika kununua sukari yake hata kama kwetu hakuna uhaba, nashangaa wengi wanachanganya kati ya uhaba wa sukari na bei ya sukari.

Tanzania hakuna uhaba wa sukari tatizo lililopo ni bei ya sukari kuwa juu, na hili linasababishwa na wafanyabiashara kupandisha bei kiholela ili kutimiza malengo yao, serikali kama regulator ilitakiwa itoe bei maalum ya kuuzwa sukari na hao jamaa waifuate.

Lakini kwasababu hao wafanyabiashara ndio wafadhili wa CCM uchaguzi ukifika, serikali inajikuta imefungwa mdomo matokeo yake tunazidi kuumizwa kwa bei ya juu, na ule uamuzi wa Samia kuagiza iingizwe sukari toka nje, ndio utaua viwanda vya ndani na watu wanaweza poteza ajira zao, japo kwa upande wa mtumiaji kwake itakuwa nafuu.

Kwanini serikali isiingilie kati upandaji holela wa bei ya sukari at the same time ivihamasishe viwanda vyetu viongeze uzalishaji kwa kuvipunguzia baadhi ya kodi kama itabidi?

Kama hakuna uhaba bali tatizo ni wafanyabiashara, wanaweza kuagiza sukari na bado wasipunguze bei vile vile…. na hakuna kitu kibibi atafanya.
 
The President of Uganda, Yoweri Museveni must be buying something out of this generosity to Tanzanians. He is definitely trying to lure our leader (Madam President Samia Suluhu Hassan) so that can get what he wants.

There are so many villages in Uganda which have either poor or no school infrastructure but Museveni has blind-eyed those places and decided to construct a modern primary school for tanzanian children.

We should not be silly, Museveni must be after something or benefiting from something made in (originated from) Tanzania.

Even the impulsive and aggressive reaction of mama against the patriotic stance of minister for agriculture who recently banned sugar importation from Uganda, signals on this.

Mama's vituperation against her minister confirms the sinister in this decoy donation of Museven.

It is surprising that Museven visits Tanzania many times compared to the number of trips he makes to his home village.

We love living on ours.
Hahhahaha "For God and My Country"
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom