Thea: sakata la matiti na utumiaji wa dawa za kichina

Sikubaliani kuwa Mungu anaangalia tu moyo wa mtu haangalii yanayofanyika mwilini. Mtu ni jumla ya mwili nafsi na roho na kusudi la Mungu ni kuwa tupone katika nyanja zote yaani mwilini, rohoni na kwenye nafsi zetu.

Niwakumbushe wakristo kuwa Biblia imesema TUSIWE KWAZO LA NAMNA YOYOTE ILI UTUMISHI WETU USILAUMIWE. Pia sehemu nyingine Paulo ameenda mbali sana na kusema kama kula kwangu nyama kunamkwaza ndugu yangu ni bora kuiacha. Kwa hiyo wadada/wamama wanajua fika kuwa kuonyesha matiti yao ni sehemu ya kumvutia mwanaume (japo inawezekana siyo wote) na matiti yanayotolewa nje kwa lengo la kumnyonyesha mtoto mvuto wake kwa wanaume ni tofauti na kuyaonyesha kwa style inayoonyweshwa kwenye picha hii.

Baada ya kusema hayo , binafsi naamini kabisa kwamba anayevaa style hiyo ni kuwa ana lake jambo na inadhihirisha kuwa kwa habari ya rohoni(uhusiano wake na Mungu) ana shida na anahitaji msaada wa kiroho. Na ni kazi ya wachungaji kuhakikisha kwa gharama zozote wanakemea na kuhakikisha watu hawaji na mavazi ya jinsi hii makanisani.
 
Mimi ndio maana napenda Islam kwa sababu mafunzo yake yako wazi hasa kwenye mavazi, upende usipende hiyo ndio sheria ya islam

Hata ukristo pia una dress code kama uislam, lakini kutokana na udhaifu wa wachungaji kanisani na uchu wao wakibinadamu wanashindwa kukemea, as result makanisa sasa hayana tafauti na Night clubs.

Wachungaji wanaogopa kuhubiri ukweli kwa sababu watawagusa wafuasi wao na watkapo kasirika wataamia kanisa jingine kwahiyo kumfanya mchungaji wakanisa la msimamo kukosa fungu la kumi.


Mtakapo fuata mafundisho ya Bible bila kujali kuwaridhisha wafuasi, mambo machafu kama haya hayatatokea na litlifanya kanisa kuwa na heshima zaid.
yaa islamu ni mavazi but not tabia njema, unaweza ukavaa hijab lakini kumbe usiku ni....maeneo ya ohio, heeheeeee mavazi siyo tabia
 
sidhani kama tatizo liko kwa huyo binti; tatizo liko kwa wanaomuangalia! Mbona macho yake kayafumbua, kapaka wanja, katia lipustiki, na kajipodoa vizuri tu (angalia nywele).. sasa mbona mwakodolea macho kifua tu kwani nyie watoto mwataka nyonyo!?

Badala ya kumshukuru Mungu kwa uumbaji wake wa ajabu na kusema "amen" mnabakia kutuvurugia tunaomshukuru kwa hayo.
 
sidhani kama tatizo liko kwa huyo binti; tatizo liko kwa wanaomuangalia! Mbona macho yake kayafumbua, kapaka wanja, katia lipustiki, na kajipodoa vizuri tu (angalia nywele).. sasa mbona mwakodolea macho kifua tu kwani nyie watoto mwataka nyonyo!?

Badala ya kumshukuru Mungu kwa uumbaji wake wa ajabu na kusema "amen" mnabakia kutuvurugia tunaomshukuru kwa hayo.
hahhahahahahaha.....
 
hayo manyonyo anamuonyesha nani jamani? habari za makanisa na mengineyo hebu tuyaache kama yalivyo ..kule kwetu zenj wadada wanaziba mpaka uso ukiwaona utasema watoto saaaaafi na maadili yote yamejaa moyoni mwao ..lakini usiku ndo kasheshe yake .. sitaki kuongea mengi ..
hayo mambo vi vile mtu unavyojiweka ukijiweka katika hali ya kuheshimika utaheshimika tu lakini ukitaka heshima ipotee ni juu yako mwenyewe
 
sidhani kama tatizo liko kwa huyo binti; tatizo liko kwa wanaomuangalia! Mbona macho yake kayafumbua, kapaka wanja, katia lipustiki, na kajipodoa vizuri tu (angalia nywele).. sasa mbona mwakodolea macho kifua tu kwani nyie watoto mwataka nyonyo!?

Badala ya kumshukuru Mungu kwa uumbaji wake wa ajabu na kusema "amen" mnabakia kutuvurugia tunaomshukuru kwa hayo.

teteteteteteeeh katika siku ulizoniacha hoi ni leo ..
MJJ kumbe yale manyonyo ndo kwisha habari yako ;)
ubarikiwe
 
teteteteteteeeh katika siku ulizoniacha hoi ni leo ..
MJJ kumbe yale manyonyo ndo kwisha habari yako ;)
ubarikiwe

unajua kwanza hii tabia ya kupenda manyonyo makubwa kwa wabongo imeanza lini? Tangu enzi na enzi.. manyonyo yamekuwa kitu cha kawaida tu na yale makubwa kama matikiti maji watu walikuwa hata hawayaangalii mara mbili wanapenda tule tuembe sikio!

Sasa leo tumejifanya Wamarekani sana tumeanza kuwa kama yule kichaa wa Soko Kuu la Songea enzi zile.. !
 
unajua kwanza hii tabia ya kupenda manyonyo makubwa kwa wabongo imeanza lini? Tangu enzi na enzi.. manyonyo yamekuwa kitu cha kawaida tu na yale makubwa kama matikiti maji watu walikuwa hata hawayaangalii mara mbili wanapenda tule tuembe sikio!

Sasa leo tumejifanya Wamarekani sana tumeanza kuwa kama yule kichaa wa Soko Kuu la Songea enzi zile.. !

Leo naona siku yangu imeanza mapema sana kuwa burudani hahaha
 
sijaona connection na utumiaji wa dawa za kichina. kwa alieiona tafadhali anijulishe.

Connection ..imagine FL1 leo unamuona na vinyonyo vidogo hata kifuani havionekani ..kesho unakutana nae ana manyonyo ka tikiti maji msemo wa mwanakijiji inakuwaje hapo?
ila mie sijui Thea kama amebugia mchina style
 
NB: siku hizi kuna bra ambazo unaweka kama Extension zinaongeza hayo manyonyo
muwe na siku njema
 
Huwezi kujifanya u-msafi kwa ndani ya moyo kwamba Mungu anaangalia moyoni wakati nje u mchafu. Matendo ya mtu yanaonekana ndani au nje? dhambi inatendwa na mwili au roho? Matendo ya mtu ndiyo hupimwa mbele za Mungu. na matendo hutendwa na mwili kutokana na msukumo wa moyo au akili.

Ukiokoka hasa huwezi kuwa hivyo, maana badiliko litakuwa ni la kutoka ndani na litaathiri influence ya akili na decisions zako hivyo huwezi hata kuvaa hivyo, dhamiri yako itakataa.
roho ikiwa chafu nawe utakuwa mchafu tu.


Ubarikiwe ndg yangu kwa ufafanuzi wako Biblia inatutaka tuvae nguo zitakazotusitiri
 
NB: siku hizi kuna bra ambazo unaweka kama Extension zinaongeza hayo manyonyo
muwe na siku njema

hapa ndio utakuta mtu anatimuliwa hivi hivi chumbani; inaitwa bait and switch! Kama mtu huna manyonyo piga magoti, funga na kuomba ujaliwe (mahali fulani panasema Ombeni nanyi mtapewa).
 
unajua kwanza hii tabia ya kupenda manyonyo makubwa kwa wabongo imeanza lini? Tangu enzi na enzi.. manyonyo yamekuwa kitu cha kawaida tu na yale makubwa kama matikiti maji watu walikuwa hata hawayaangalii mara mbili wanapenda tule tuembe sikio!

Sasa leo tumejifanya Wamarekani sana tumeanza kuwa kama yule kichaa wa Soko Kuu la Songea enzi zile.. !

Mimi tokea niko vidudu nilikuwa napenda nyonyo kubwa. Nakumbuka mimi na washikaji zangu tulikuwa tukiziita nyonyo kubwa "nido" (tuki reference yale maziwa ya nido enzi zile..
 
hapa ndio utakuta mtu anatimuliwa hivi hivi chumbani; inaitwa bait and switch! Kama mtu huna manyonyo piga magoti, funga na kuomba ujaliwe (mahali fulani panasema Ombeni nanyi mtapewa).


Tafuteni nanyi mtafunguliwa.....Ameni to that cuz...sometime shuwa nakaa na kufikiria why mtu unakwenda against maumbile aliyokupa mungu....kama huna matiti then appreciate it....
 
Mimi tokea niko vidudu nilikuwa napenda nyonyo kubwa. Nakumbuka mimi na washikaji zangu tulikuwa tukiziita nyonyo kubwa "nido" (tuki reference yale maziwa ya nido enzi zile..

heri yako bwana.. nilipokuwa mtoto nilikuwa napata jinamizi la jimama linanipa manyonyo kwa kunilazimisha hadi nina suffocate. Since then, manyonyo makubwa yananitisha kweli yanakuwa kama yule Zena.. I'm ogoparing to be safoketedi. Givu mi ze smoli wani (not too small hadi utafute tochi!)..
 
heri yako bwana.. nilipokuwa mtoto nilikuwa napata jinamizi la jimama linanipa manyonyo kwa kunilazimisha hadi nina suffocate. Since then, manyonyo makubwa yananitisha kweli yanakuwa kama yule Zena.. I'm ogoparing to be safoketedi. Givu mi ze smoli wani (not too small hadi utafute tochi!)..


Cuzin you are nasty! whaaaat?....yaani bado nasoma huku naku-imagine wewe hahahahahah!......mweeeh yaani na Zena tena?.....God have mercy on yo cuzin you do need jesus....
 
........Duniani hapa kuna mambo, wengine wanapenda matiti makubwa, wengine wanapenda matiti madogo. Muhimu kuridhika na jinsi Mungu alivyokuumba.
Ila huyu Thea ana matiti makubwa toka zamani tu, nakumbuka ile michezo yake ya kuigiza ya zamani alikuwa amejaa tu kifuani........siku hizi matiti yake yanaonekana makubwa sana kutokana na style ya nguo aliyovaa, vile vile kuna bra zinaongeza ukubwa wa matiti.
 
........Duniani hapa kuna mambo, wengine wanapenda matiti makubwa, wengine wanapenda matiti madogo. Muhimu kuridhika na jinsi Mungu alivyokuumba.
Ila huyu Thea ana matiti makubwa toka zamani tu, nakumbuka ile michezo yake ya kuigiza ya zamani alikuwa amejaa tu kifuani........siku hizi matiti yake yanaonekana makubwa sana kutokana na style ya nguo aliyovaa, vile vile kuna bra zinaongeza ukubwa wa matiti.

Wewe yako saizi gani?
 
Back
Top Bottom