The Zitto saga: Vyombo vya habari vinaiua CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Sikonge, Wabz,

KUna ule wimbo ulikuwa inaimbwa zamani "uliambiwa na wewe ukayapuuza, na leo hii dunia inakucheka".. Mara nyingine huwa nafika hatua kujilaumu kwa kuyaona tangu awali matatizo ya Chadema na nilipoandika kwa muda mrefu na kudhihakiwa na kubezwa na kama laana niliposema wanahitaji mfumo mpya, reforms na hata uongozi mpya, sasa matendo yao yanaonyesha wazi kuwa chama kimedoda na kinahitaji sura mpya kabisa kukinusuru.

Waswahili husema mwanzo wa ngoma ni lele, zaidi ya miaka mitatu iliyopita, Chadema imekuwa na msuguano wa kiongozi ndani yake, yako ya kinza Chacha Wangwe, Zitto, Kafulila, BawaCha, vijana na sasa kukosekana kabisa kwa uongozi kukiandaa chama kwa uchaguzi, kuchanganyikiwa kwa baada ya uchaguzi na huu mvutano wa kumsusia Kikwete.

Leo tunamtuhumu Zitto kwa kukosa umoja na kwenda ropoka TBC, lakini si hata Mbowe naye karopoka na kudai wao hawampingi au kumkataa Rais? Then what is Lissu and Slaa doing wasting time and hope za watu kudai eti wanapinga matokeo na leo hii kuna legitimace gani ya kudai wale waliokataa kwenda Bungeni na kufanya matembezi ya mshikamano kumwacha Kikwete Solemba wanapaswa wajieleze?

To me, this is a party in shambles and rather than taking Mwanakijiji advice of comeout clean kwa Watanzania, sasa wanatafurta Bangusilo within.

I have nothing personal against Zitto or Mbowe, but this is a fact, the two can never see eye to eye and they do not have an ounce of repsect towards another one.

Solution is for both to step down from party leadership and stop the internal bleeding.

Sasa kila mmoja wao ana kundi lake ndani ya chama na wafuasi katika magazeti. Then ni slander, smear and whatever crap left and right. Kama watu hawakumuelewa Chacha Wangwe au hata kuelewa kilichotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa viongozi wa Chadema 2009, then wanachama wa Chadema na wafuasi wake ama wameshakuwa kama Wanachama wa CCM wa kuwa na ile blinding trust na kuchukua makundi. Tofauti ya CCM na Chadema ni kuwa Wanachama wa CCM pamoja na tofauti zao, azma zao ni kuhakikisha kuwa CCM inaendelea kushika madaraka na kupewa dhamana na wananchi.

If you ask me today what is Chadema or directly what is Mbowe and Zitto are there for or to gain, I have no clue to equate their bickering fight to the better good of Chadema ir Tanzania rather it is about selfishness and personal interest.

Bottom line, Chadema is becoming a myopic party which does not embrace diversity and it is not inclusive. What we see is artificial image, full of wanja, facial powder, sijui skin foundation lakini ukiwaambia wasafishe uso kama ndio wametoka kitandani, ni mautangotango na chunusi kibao na hawatazamiki.

It has been almost 5 years of lack of cohesiveness ndani ya chama, na wamebakia kuwindana na kufanyiana blackmail and as a result, hakpakuwa na united front hata strong leadership kwa ajili ya huu uchaguzi ambao ni ghadhabu za Watanzania na wala si umahiri wa Chadema ambao karibu almanusra uikoseshe CCM Urais (this is a fact).

So leo watu wanapumua mapavu na Zitto anakaangwa, mnaacha kujiuliza, mbona hii ni Chacha Wangwe part 2?

Umeongea mambo mengi bila data, unakuza tu kutoelewana kwa vongozi wa CHADEMA. But to me ni mgongano wa mawazo ndio unaoleta mabadiliko na sio ndio mzee kama ya CCM unayoisifia.

BTW CCM kinachowafanya wakae pamoja ni madhambi yao na ufisadi. Wasipofanya hivyo wote wataishia jela pindi kiongozi bora atakapoingia madarakani. So CCM sio mfano wa maelewano ambao unaweza ukawaambia CHADEMA waige.
 
Chadema tokea kumaliza uchaguzi imekosa muelekeo.

Hakuna lolote walilofanya likawa na muelekeo.

1. Wabunge wanachukua hatua zao watakazo na kujisifia kwenye vyombo vya habari.

2. Slaa na Mbowe misimamo iliyotofautiana.

3. Mdahalo usioeleweka malengo waliofanya na Cuf.

4. Magazeti yanayomilikiwa na Chadema yaliyojaa 'hujuma' dhidi ya Zitto.

5. Kesi za viti vya wanawake na kujitoa baadhi ya watu.

Wanahitaji kukaa chini na kujipanga upya. Inatupa picha kuwa Mbowe hana ubavu mbele ya watu fulani ndani ya chama kama Slaa na Zitto. Kuna hitajika uthabiti kwenye uongozi.
Nilisema mahali, Chadema hawajipanga!, nilishukiwa. Jee kwa haya yanayoendelea ni udhibitisho Chadema wamejipanga?.
 
Umeongea mambo mengi bila data, unakuza tu kutoelewana kwa vongozi wa CHADEMA. But to me ni mgongano wa mawazo ndio unaoleta mabadiliko na sio ndio mzee kama ya CCM unayoisifia.

BTW CCM kinachowafanya wakae pamoja ni madhambi yao na ufisadi. Wasipofanya hivyo wote wataishia jela pindi kiongozi bora atakapoingia madarakani. So CCM sio mfano wa maelewano ambao unaweza ukawaambia CHADEMA waige.


What other proof do you need than reading the scramble for leadership? It is open and clear and you do not need microscope to see...
 
Quinine, mimi siyo najisifu nina mawazo huru sana, Zito simchukii hata siku moja labda wewe wa juzi ndio unafikiri hivyo, maskini kwa article hiyo moja tu!!
Zitto nilikuwa naye na nilisupport sana alipotaka kuwa mwenyekiti wa cdm na chadema walipobaka demokrasia niliwachukia sana, Zitto nilimsupport hata alivyosupport dowans (why not) maana niliwaza kama yeye.

Zito juzi aliporopoka na kumsifia Kikwete nilimpinga!!! na nikapelekea kuandika hiyo article na ukiisoma hiyo article kama mtu mwenye akili, narudia kama mwenye akili, vitu vingi niMESPECULATE NA zito alijibu hizo tuhuma!

sina beef na mtu, sina chuki, situmii jina langu la ukweli, nasema ukweli!!!

sina cha mkumbo, ukinifuatilia kesho nitampinga Slaa kwa hili na kumpa kuddos kwa lile! nitakusifu wewe kwa hili na kesho nitakupinga kwa lile! naamini kwangu inaniweka huru na sina unafiki

siwachanganyi viongozi wa chade,a, soma thread zingine za watu wengine wanavyowaza, siko peke yangu, na ukifikiria sana na pengine niwe mwazi ninamzimikia Zitto ile mbaya!!! na ninapomrarua ni kutaka kuridhisha nafsi kuwa tuko pamoja!!!!

Kama wewe ni kijana na umeishawhi kufanya kazi na Zitto kama mimi ninavyomfahamu.

I repeat I dont hate Zitto, I hate all people who are against the truth, especially you!

Ninachoona hapa ni kuwa wakati mwingine unamponda lakini ukitoka hapo manaenda kupongezana kwa kujaribu kuchanganya watu. Ni hiari yako hata ukitaka kumsifia Zito kwa kila kitu (kitu ambacho unafanya) Haiingii akilini kila jambo la Zito ni zuri isipokuwa tu kuhusiana na JK.
kali kabisa ni ulipomaliza kwa kusema "I hate all people who are against the truth,..." What is the truth accorging to you? Does it become the truth when it comes from Waberoya and Zito? halafu unashauri CDM iache udikteta wakati wewendio dikteta wa kutupwa
 
Bottom line, Chadema is becoming a myopic party which does not embrace diversity and it is not inclusive. What we see is artificial image, full of wanja, facial powder, sijui skin foundation lakini ukiwaambia wasafishe uso kama ndio wametoka kitandani, ni mautangotango na chunusi kibao na hawatazamiki.

It has been almost 5 years of lack of cohesiveness ndani ya chama, na wamebakia kuwindana na kufanyiana blackmail and as a result, hakpakuwa na united front hata strong leadership kwa ajili ya huu uchaguzi ambao ni ghadhabu za Watanzania na wala si umahiri wa Chadema ambao karibu almanusra uikoseshe CCM Urais (this is a fact).

So leo watu wanapumua mapavu na Zitto anakaangwa, mnaacha kujiuliza, mbona hii ni Chacha Wangwe part 2?
Rev. Kishoka, Nilisema mahali, Chadema hawajipanga!, nilishukiwa kwa nguvu zote. Jee kwa haya yanayoendelea ni udhibitisho kuwa Jee Chadema wamejipanga?.
 
Nilisema mahali, Chadema hawajipanga!, nilishukiwa. Jee kwa haya yanayoendelea ni udhibitisho Chadema wamejipanga?.

Sasa Mkuu kama ulishindwa kuonyesha uthibitisho wakati ule kuwa Chadema haijajipanga ulitarajia watu wasikushukie?
 
Well said. CHADEMA kuna tatizo kubwa la kiuongozi. Wengi hapa wamesema. Kuna haja ya haraka ya CHADEMA kufanya overhaul kwenye uongozi wao. Miongoni mwa hatua za kuchukua ni;
7. Wajipange .....
Kwani Chadema wenyewe wamekubali wanamatatizo haya unayoyazungumzia, unataka wajipange kivipi, mbona wenyewe wamesema wamejipanga!.
 
Rev. Kishoka, Nilisema mahali, Chadema hawajipanga!, nilishukiwa kwa nguvu zote. Jee kwa haya yanayoendelea ni udhibitisho kuwa Jee Chadema wamejipanga?.

Mkuu kujipanga gani unakotaka wewe? Wameongeza idadi ya wabunge, wameongeza halmashauri za wilaya kwako hayo ni kidogo? Halafu mchango wako kwao nini mpaka uone kuwa hawajajipanga? Kwa mazingira na raslimali wamefana walichoweza wasikatishwe tamaa na watu wanaotaka (kama wanataka) mabadiliko lakini kila siku ni kuombea mabaya tu.
na bila kuchakachua kura sasa hivitungekuwatunaongea mengine​
 
chadema wapi wanajua, viognozi akina Mbowe na Slaa si ndio wanaosema aandikwe?

mtu mko ofisi moja mnashindwa kumuonya

Kuna harufu na uvundo mbaya sana ndani ya chadema, in such a way hawamwezi Zitto, wakimparamia kichwakichwa chama kinasambaratika maana siri za kila mmoja zitawekwa hadharani
Mbowe, Slaa Zito achieni madaraka, wapisheni akina Mnyika na Lissu wanaoonekana wana-busara

mnafiki Ngurumo na Kubenea sio wa kusikilizwa, kwanza Kubenea mwenyewe ni CCM, alichukua fomu, za ubunge akajitoa mnamwona ni hero, wakati mnafiki.

Kibanda ndiyo kabisa!!! tukianza kuandika uozo wake hapakaliki hapa!! juzi kakimbia humu ndani alipoulizwa issue za demokrasia!

Mbowe onyesha mwanaume wakusanye hao wote akina Ngurumo (msaidizi wako) ebu jadilini kwa kina tatizo ni nini,

Huku mtaani na JF kuna wanachadema wengi kumbikumbi wanafuata mwanga tu wanasema lolote lile na kupayuka,

Credibility ya chadema iko chini sana, ugomvi wa ndani, na CUF, huku mnawachanganya watu na misimamo yenu ya kuyumba,



My take ni kuwa Zitto ana uwezo wa kufanya lolote kwani Mtei, Slaa, mbowe (mkwe wa Mtei) wana machafu yao na Zitto anayajua. Haiwezekani kabisa kila kukicha Zito zito kwenye magaezti yaliyotakiwa kuijenga chadema

matumbo haya!!

Waberoya unapotumwa na wewe unakuwa mwangalifu wa kuandika sio unawatisha watu na kuongelea Chadema hakipendwi au mwelekeo wake haueleweki...jiongelee wewe usimwongelee mtu, eleza msimamo wako usiwasemee watu..kama anajua siri za sijui Mbowe na Slaa si awe wazi kwenye vikao..watu wako interested na Chadema na sio Zitto, slaa au Mbowe....we are interested na serious party ambacho kitawavusha watu sio kututisha kwamba Zitto haguswi yeye nani? hawezi kuwa zaidi ya chama mana ndio kimempa yeye huo umaarufu anao uringia...Hata kwenye vilabu vikubwa vya mpira kama mchezaji ataanza kujiona ni bora kuliko klabu dawa ni kwanza kumkumbusha kwamba klabu ni kubwa kuliko wewe na pili kama hasikii unamuuza aende kwingine..kama wewe ni mfuatiliaji wa michezo hilo unalifahamu kama hulijui uliza wenzako....Nidhamu ndani ya chama lazma iwepo si Tanzania, Uingereza au Venezuela its global so who is Zitto to bring all this misuguano. Awe reprimanded full stop.Kuhusu magazeti huwezi kuingilia uhuru wa waandishi na kutishia mnajua siri zao hio sio demokrasi...kikubwa kilichoandikwa kweli? kama kweli wajirudi na next time no one will repeat upuuzi cause asijione mtu kuwa he can do anything na atalindwa hapa JF asiandikwe kisa untouchable that is BS.... Bora Chadema ijikosoe sasa by 2012 things will calm down kwa maandalizi ya 2015...isisubiri ianze haya matatizo 2014 halaf next year elections hiyo ndio mbaya zaidi....
 
Haya ni MAWIMBI tu kwa kuwa CHADEMA inaelekea kufanikiwa pale ambapo wengine wanashindwa. Yatapita salama tu.
 
Sikonge

Hivi unafikiri CHADEMA haijui kinachoandikwa kwenye magazeti hayo?

Lets assume wanajua, je ni busara kuyaanika matatizo haya magazetini. Ni ukweli ulio wazi kuwa waandishi wa habari huna tabia ya kukoleza chumvi na sukari ili, kwanza kupata support ya hoja zao, pili kuuza magazeti yao, tatu kusifiwa kwa kuandika habari motomoto.

Kwa haraka haraka, unawez kujiuliza kwa nini zinaegemea upande mmoja tu?
 
Lets assume wanajua, je ni busara kuyaanika matatizo haya magazetini. Ni ukweli ulio wazi kuwa waandishi wa habari huna tabia ya kukoleza chumvi na sukari ili, kwanza kupata support ya hoja zao, pili kuuza magazeti yao, tatu kusifiwa kwa kuandika habari motomoto.

Kwa haraka haraka, unawez kujiuliza kwa nini zinaegemea upande mmoja tu?

Nikijiuliza kwa haraka haraka napata jibu kuwa habari kwenye magazeti hayo zina baraka za CHADEMA.
 
Haya ni Mawazo yako Mkuu. Nina hakika mtu kama Slaa hawezi kukurupuka kwa jambo kama hili lisilo na haraka namna hiyo. Mbowe na Slaa hawajatofautiana ila wewe hujaelewa wanachokisema. Mengine Mbowe anaweza kuwa anakosea kwa sababu hakuwa Bungeni na hivyo hayafahamu vizuri. Magazeti hayamilikiwi na Chadema ila ni Wanachama wa Chadema wanamili hayo Magazeti. Ni sawa na mali za Mo Dewji, Rostam Azziz, Lowassa nk si mali ya CCM kwa sababu tu wao ni wanachama wa CCM. Kesi ya Wanawake iliongelewa sana hapa na kujibiwa.

Nnavyoelewa mimi ni kuwa hayo ni magazeti yanafanya kazi zake na CHADEMA ni chama kinafanya shughuli zake. Hivyo vyombo viwili vipo independent kabisa ila wewe mwenzetu una mtIzamo kuwa hayo magazeti ndio CHADEMA.

Hapo ndipo unapochanganyikiwa.

Uwe unasoma vizuri kabla hujaanza kubwabwaja.
 
Zitto amebadilika na kuwa fisadi tu hata mkikataa na ukweli utajulikana
 
Mnaongoza kambi ya upinzani bungeni mmeshaanza kugombana!! Je mngeongoza nchi si mgeuana nyinyi???? Bure kabisa nyie..wote huo ni ulafi wa madaraka tu
 
Nikijiuliza kwa haraka haraka napata jibu kuwa habari kwenye magazeti hayo zina baraka za CHADEMA.


Chadema inatoa baraka za kummaliza Zitto kupitia magazeti. Zitto kujitetea magazetini hakuna baraka za CHADEMA?
 
Zitto is just too smart for Mbowe and many of chadema followers. Amewazidi uwezo wa kuelewa na kujenga hoja na ndio maana wengi hasa humu jf wanabaki kumtukana na kumzushia mabaya. Tukubali kuwa Zitto kawasaidia sana chadema angalau kupata kura chache walizopata. Kinachogomba hapa ni kuona kuwa Zitto amewazidi uwezo viongozi wake wa juu na wana wasiwasi siku moja atachukua nafasi zao. sasa wameweka mkakati wa kumpaka matope kwa kila hali bora mradi wammalize. Kweli Chadema haina sera.....ni vurugu tupu.

Tukatae tukubali, ZITTO kamzidi uwezo mbowe kwa maili nyingi sanaaaaaaaa

Natumai chadema itasambaratika hivi karibuni....Inshallah
 
sikonge

hivi unafikiri chadema haijui kinachoandikwa kwenye magazeti hayo?
chadema wanajua kinachoendelea ila bahati mbaya sana kibanda kakumbatiwa na mbowe ambaye pamoja na chadema yeye binafsi ana personal goals

pia najua kwamba kubenea kwa hili la chadema hajui anachokifanya

waandishi wote watatu hao pamoja na ujasiri wao, kwa namna moja ama nyingine wana umimi unaoharibu trust kutoka kwa mtu yoyoye mwenye mawazo ya wazi.... Ni wale wa "sisi ama wao" which is not very professional of them
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom