Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
mimi wakati niko chuo nilikuwa natumia pocket money yangu kumuhudumia yeye kama vile mi mzaz,tulikuwa tunatumia $ 2500 kwa mwezi wote sawa sawa,lakin tulivyomaliza chuo akaolewa
LOL. unatoa $2,500/month kwa demu. why didn't u get married or atleast use legal binding?
LOL. unatoa $2,500/month kwa demu. why didn't u get married or atleast use legal binding?
mimi wakati niko chuo nilikuwa natumia pocket money yangu kumuhudumia yeye kama vile mi mzaz,tulikuwa tunatumia $ 2500 kwa mwezi wote sawa sawa,lakin tulivyomaliza chuo akaolewa
mimi wakati niko chuo nilikuwa natumia pocket money yangu kumuhudumia yeye kama vile mi mzaz,tulikuwa tunatumia $ 2500 kwa mwezi wote sawa sawa,lakin tulivyomaliza chuo akaolewa
hiyo pesa nilikuwa napewa mimi na mama harafu natumia tena yeye alikuwa anatumia zaidi kwa kisingizio cha matumiz ya binti ni makubwa kuliko mvulana,kuoa isingewezekana kipind icho
mimi wakati niko chuo nilikuwa natumia pocket money yangu kumuhudumia yeye kama vile mi mzaz,tulikuwa tunatumia $ 2500 kwa mwezi wote sawa sawa,lakin tulivyomaliza chuo akaolewa
kama ulikua nauwezo wa ku-spend 2500$ per month ina maana wewe si mtu wa shida, sasa nashindwa kuelewa kwa nini unasema ni worst moment, au ilikuwa hela ya shamba la urithi...???
kumpa atm card yangu bf wakati tukiwa chuo ili angalau asitaabike kumbe anatumia pesa zangu na mwingine lol....
Pole aseee
Ulivokuwa chuo $2500 so now we are talking of about $5000 month!!!!!!!!!! OKAY!!!!!!! Sasa nafasi iko wazi au imekabwa?
ni worst moment sababu tulivyomaliza tu chuo akaolewa,hivo nikajutia lakin kwa vile nilipenda basi tu
Ulivokuwa chuo $2500 so now we are talking of about $5000 month!!!!!!!!!! OKAY!!!!!!! Sasa nafasi iko wazi au imekabwa?
Ulivokuwa chuo $2500 so now we are talking of about $5000 month!!!!!!!!!! OKAY!!!!!!! Sasa nafasi iko wazi au imekabwa?
mapenzi sio faranga mkuu na hicho ndio kiliku-cost