The Worst thing You Can do When You’re Unemployed is Spend all Your Time Looking for a Job

Jambo la kwanza uwa sibid kitu ambazo sina hakika kama ninaweza kufanya. Kabla ya kuanza kufanya kazi za shopify nilichukua muda nikasoma jinsi inavyofanya kazi, na nikafungua trial version ya shopify na kufanya majaribio. na practice ili nikiapply kitu niwe najua ninachofanya.
Sawa mkuu ntalifanyia kazi, shukrani sana kwa kunipa mwongozo.
 
Bongo Tutachelewa sana kufika, FASHIONOVA huwa wanakutumia wewe kupandisha picha kwenye duka Lao?

Sema wajinga wengi na watakuamini
Na upload pics nilizopewa na kufanya collection. Kuamini au kutoamini ni juu yako. Stock Square D products: qo breakers & Schneider electric: sale for panels, meter, pressure switch, Contactors & transformers, na https://butterflyvalveusa.com/ pia pamoja na blogs zao nafanya same thing. Na hizi ni kampuni kubwa za kuuza vifaa vya umeme na maji marekani na Canada. Siyo big deal kama unavyofikiria.
 
Na upload pics nilizopewa na kufanya collection. Kuamini au kutoamini ni juu yako. Stock Square D products: qo breakers & Schneider electric: sale for panels, meter, pressure switch, Contactors & transformers, na https://butterflyvalveusa.com/ pia pamoja na blogs zao nafanya same thing. Na hizi ni kampuni kubwa za kuuza vifaa vya umeme na maji marekani na Canada. Siyo big deal kama unavyofikiria.
Bro,

Nimewahi kuandika katika moja ya thread uliyoshiriki kuwa "Watanzania" wengi ni loser na wanafanya mambo kwa kukariri. Loser siku zote haamini kama jambo linaweza fanyika.

Hio ni FASHIONOVA, siku akiona gigs za Warner Bros, Tommorowland, Instagram, Fabian Farell, Ozuna, Nestle & co Basi itaitwa 'Editing'.
 
Bro,

Nimewahi kuandika katika moja ya thread uliyoshiriki kuwa "Watanzania" wengi ni loser na wanafanya mambo kwa kukariri. Loser siku zote haamini kama jambo linaweza fanyika.

Hio ni FASHIONOVA, siku akiona gigs za Warner Bros, Tommorowland, Instagram, Fabian Farell, Ozuna, Nestle & co. Basi itaitwa 'Editing'.
Hatujiamini kama tunaweza fanya. Hata kuupload pic na kutengeneza collection watu wanaona kama haiwezekani. Week tatu nyumba nilikuwa na kazi ya mambo ya data za credit suisse ni one of the biggest investment companies in Switzerland.

Jambo moja ambalo watu wanabidi wajue kwenye freelancing unaweza kuwa unafanya kazi na kampuni flani au kazi ya mtu flani mashuhuri bila wewe hata kuwahi kuzungumza naye. Unaweza kukuta yeye kaajili mtu afanye kazi hiyo na huyo mtu kaajili wengine wafanye. And from the way it is nadhani ndivyo ilivyo. Kote huko nakuwa unakuta una deal with one person tu, hujui hata ni nani.

WELL Summit - WELL Summit Hawa ni wawtu wanafanya mambo makubwa katika mambo ya afya. Nimekuwa pia nikifanya kazi za hawa watu. Tena hawa ni mostly on daily basis. Huo ndiyo uzuri wa hii kitu unajifunza na kufanya vitu indirect na watu wengine. Na hawa ninafanya nao indirect kwasababu waliyempa kazi naye ameigawa gawa vipande kutokana na skills za mtu aktengeneza tam yake online.
 
Hatujiamini kama tunaweza fanya. Hata kuupload pic na kutengeneza collection watu wanaona kama haiwezekani. Week tatu nyumba nilikuwa na kazi ya mambo ya data za credit suisse ni one of the biggest investment companies in Switzerland.

Jambo moja ambalo watu wanabidi wajue kwenye freelancing unaweza kuwa unafanya kazi na kampuni flani au kazi ya mtu flani mashuhuri bila wewe hata kuwahi kuzungumza naye. Unaweza kukuta yeye kaajili mtu afanye kazi hiyo na huyo mtu kaajili wengine wafanye. And from the way it is nadhani ndivyo ilivyo. Kote huko nakuwa unakuta una deal with one person tu, hujui hata ni nani.

WELL Summit - WELL Summit Hawa ni wawtu wanafanya mambo makubwa katika mambo ya afya. Nimekuwa pia nikifanya kazi za hawa watu. Tena hawa ni mostly on daily basis. Huo ndiyo uzuri wa hii kitu unajifunza na kufanya vitu indirect na watu wengine. Na hawa ninafanya nao indirect kwasababu waliyempa kazi naye ameigawa gawa vipande kutokana na skills za mtu aktengeneza tam yake online.
Yes Sure, naelewa unachowasilisha. Hizi gigs zinatengeza jina, wasifu, marafiki na exposure. Leo hii nimejikuta nipo karibu na A&B list athletes, musicians, film makers, technologists, designers & co. Hii yote ni kufikiri kwa mawazo chanya.
 
Ungeleeza kidogo namna zinavyofanya kazi hizo skills ili kuongeza motivesheni kwa mtu kujifunza. Mfano kama mimi ambaye sijui kabisa ..naanzaje kujifunza? Nini na nini nitafute? Umesema kuhusu maduka ya huko ulaya na marekani, je wamiliki wanapatikanaje?

Na huku kwetu mavumbini nawezaje kufanya? Yani niende mfano pale Born To Shine au Vunja Bei halafu niwaombe nguo zao nipost kweny social media ndo hivyo mkuu? Ungetoa muongozo wa nini kifanyike mkuu ..

Kaka niliku DM
 
Nimeupenda huu uzi
Ajira zimekuwa adimu sana hata serikali ikisema itengeneze hizo ajira milion 8 ilizoahidi sidhani kama zitatosha kumaliza uhitaji wa ajira lililopo nchini, na mbaya zaidi graduates wanaongezeka kila mwaka. Ni vizuri kutazama plan B na uzuri humu watu wana share experience mbalimbali na njia zao wanazozitumia kujaribu songa.

Mimi nashauri kwa watakaoweza kama waliojifunza chuo wanaona hayawezi kuwapa ajira wasahau na wajifunze mambo mapya.

Mfano kuna skills ambazo zina demand kubwa sana. Nadhani wengi mshasikia kuhusu shopify! Hii ni platform ambayo inaruhusu wafanyabiasha kufungua duka mtandaoni kuweka bidhaa zao na kuuza.

Wamiliki wengi wa haya maduka ni watu wa huko Marekani na Ulaya. Wengi wanapenda wawe na mtu atakaye manage hilo duka kwa kufuatilia orders, kuzimanage na kuhakikisha waliweka order mizigo yao imetumwa, na wenye matatizo wanakuwa refunded. Hii ni kitu mtu anaweza kujifunza akafanya na akalipwa kwa masaa kwa huduma atakayotoa.

Angle nyingine ambayo naona ni nzuri zaidi na ina demand kubwa saana, ni ile ya ku upload picha za bidhaa yani products, collection na kuset inventory. Hapa sasa ndipo demand ilipo sana sana. Ukimaster hii kitu, maana unakuta inabidi Upload picha zaidi ya 1000 uziset in terms of products, halafu collection, uset invetory mtu akinunua ijue imebaki product za namna hiyo ngapi na zikiisha iiondoe ile product kwenye duka ili watu wasiendelee kuweka order.

Ni ngumu kidogo kwa watu wenye vichwa vigumu ila kiuhalisia ni rahisi. Unaweza jifunza hii skill na ukamanage hata maduka 15 ya clients mbalimbali lakini hapa utakuwa ushakuwa level ya juu. Ila hata ukiweza kumanage maduka matatu. Hii kazi utaifanya once in a while kwa kila duka, otherwise utakuta mara chache unaweka product labda 2 mpya kila mwezi na client unakuta anakulipa labda dollar 200-300 kwa mwezi ukiwa na client 2 hukosi 400 mpaka 600 kwa mwezi isiyokatwa kodi na JMT.

Yapo mengi ya kujifunza. Learn new skills kila day. The internet is full of potential materials and shit.

The Worst thing You Can do When You’re Unemployed is Spend all Your Time Looking for a​

 
Back
Top Bottom