The worst Christmas ever!

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Hakuna maneno zaidi ya hayo. Wazazi wamekosa kufurahisha familia zao. Watoto wamebaki kuchezea mchanga badala ya toys na kula mahanjumati. Watu wamekosa furaha. Wamekosa kipato.

Ni Christmas mbaya kupata kuishuhudia kwenye maisha yangu. Ifike mahali, tuache kubishana kuhusu hali ya maisha kuwa mbaya na ngumu. Tangu awamu hii ianze, hali ya kiuchumi imekuwa ngumu; fedha hata za kujikimu ni shida kupatikana.

Sherehe gani hazikuwa hata na disco toto wala disco la wakubwa? Hata watoto waliozaliwa kwenye mkesha wa Noeli wamepungua kwa idadi. Lazima kifanyike kitu kuleta ahueni ya maisha ya watanzania.

Hii ni nchi yetu sote!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
It's just because you don't know the meaning of Christmas . If you your mindset was all about having fun and hangout with your buddies, you would have said the worst Christmas ever.
For us true Christians we rejoiced with our family because Jesus was borne in our hearts ♥.
 
It's just because you don't know the meaning of Christmas . If you your mindset was all about having fun and hangout with your buddies, you would have said the worst Christmas ever.
For us true Christians we rejoiced with our family because Jesus was borne in our hearts ♥.
Narrow minded!

Mzee Tupatupa
 
Ukweli na usemwe hata kama ni mchungu, Disemba ya mwaka huu imedoda kuliko zote
 
Hakuna maneno zaidi ya hayo. Wazazi wamekosa kufurahisha familia zao. Watoto wamebaki kuchezea mchanga badala ya toys na kula mahanjumati. Watu wamekosa furaha. Wamekosa kipato.

Ni Christmas mbaya kupata kuishuhudia kwenye maisha yangu. Ifike mahali, tuache kubishana kuhusu hali ya maisha kuwa mbaya na ngumu. Tangu awamu hii ianze, hali ya kiuchumi imekuwa ngumu; fedha hata za kujikimu ni shida kupatikana.

Sherehe gani hazikuwa hata na disco toto wala disco la wakubwa? Hata watoto waliozaliwa kwenye mkesha wa Noeli wamepungua kwa idadi. Lazima kifanyike kitu kuleta ahueni ya maisha ya watanzania.

Hii ni nchi yetu sote!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
ulitaka tukuletee mapirau nyumban kwako nyie mfage tu na manjaa mi nalinyoosha hiri rinchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom