The World Staffing Program (TWSP) na ajira lukuki

The Blaze

Senior Member
Mar 23, 2016
163
101
Wakuu kwema,
Mwenye kuwafahamu hawa jamaa atujuze pls, katika kuzurura mitandaoni nimekutana na hawa jamaa wakimwaga ajira lukuki almost kila fani huku wakijipambanua kutoa ajira kwa style ya mwendokasi.. nashindwa kuwaelewa ni recruitment agency au ni madalali wa ajira wa dizaini gani. Mwenye kuwafahamu au aliyewahi kupata ajira kupitia hawa wandugu atujuze tafadhali.
 
Hivi dunia hii yenye uhaba wa ajira kiasi hiki watu wawe na ajira lukuki?
Amka ndugu !!!
 
halafu eti kuweka record zako sawa kwa database yao unatakiwa utume namba ya cheti cha form 4, uorodheshe vyuo ulivyosoma... yaani wana mambo mobb hata sijawaelewa kabisa
 
Back
Top Bottom