The World is a flat plane and not a globe

This is not for my brain to decode as long as someone claims to have actually been there. It should be the matter of facts!!

Nimejaribu kutafuta mtandaoni nimeshangaa kuwa evidences zote zinazohusiana na hii program ya mwezini NASA wanadai zimepotea. Hapa kuna tatizo.

Lakini pia nikiweka maoni yangu kuhusu globe earth na flat earth, wengi katika wateezi wa globe earth nimegundua wanakimbilia kwenye kile walicholishwa vyuoni kuliko kujadili uhalisia wa mambo. Ndipo utaona wajivuni wa complex mathematical formulas, wanaoringia maelezo ya wanasayansi wa ulaya n.k. Sifurahishwi sana na jinsi wanasayansi wetu wenyewe wanavyoshindwa kujenga hoja nyepesi tu za kueleweka kwa wana jf wa kawaida kama mtoa mada alivyokusudia.

Kwa mwenye ufahamu kidogo tu, why on earth pale panapohitajika elimu kwa umma wote watu wakimbilie kwenye maformula ya chuo kikuuu ambayo hawajawahi hata kuyafanyia kazi zaidi ya kukariri ili kupata GPA nzuri? Can't we think and make sense on our own? Kwa nini tufanywe watumwa wa mitazamo ya wengine?

I mean, sipo kupinga globe earth ila sipendezwi na majivuno ya kina Einstein n.k. Be simple, elezea kile ulichokielewa sasa in a layman's language. Kutuletea maelezo complecated ni dalili ya kutoelewa hata kile unachokizungumza, just break it down in a simple to understand language.

Thanks in advance.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Mkuu kumbuka hata hawa Jamaa wa flat Earth hawataki kutoa ushirikiano wa kutosha ktk maswali wanayo ulizwa! Mfano Swali limeulizwa kuhusu picha ya hizo dome3 za vioo zinazo ifunika Dunia.Aliye piga picha ya hizo Dome zote 3 aliwezaje,iwapo roket inashindwa kupenya na kutoka nje ya dome ya kwanza tu?! Hata katika vitabu vya Dini hiyo habari ya Dome ya kioo kuifunika Dunia haija andikwa! Tungesema wanao pinga flat Earth iliyo funikwa na dome za kioo wanapingana na Mungu! Sasa Jamaa huyo mwingine utetezi wake ni kutuwekea Vijumba na Majengo yenye Dome kwa juu!
 
Wr jamaa unanitibua wewe unaijua Schrondinger equation, fourier series, thevenin equation inaijua, boltzmann, canonical ensembe unazijua wewe mpumbavu we hata nikikuelewesha huwezi elewa fool"
Hayo ndio majibu ya wasomi wetu. Yaani wamesahau wanasansi wengi si waingerza waliandika mambo yao katika lugha ngumu hasa kilatini, ila kuna watu wameturahisishia kwenye lugha nyepesi ili tuweze kuelewa. Leo hii mtu kutoka tu Mwakaleli hapo anajiona mtaalama sana na hakuna anaeweza kuelewa zaidi yake aaahhh. Shuwaini. Kwanza kwa nini muwe madikteta wa mawazo, acheni watu watafari ndio kazi ya ubongo. Hii inaonesha wasomi wetu wengi ni vilaza ndio maana wanatumia fomula ngumu ili tuwaone wako nondo
Kuna mmoja humu alikuwa na majibu mfano wa hilo. Yaani anataja majina tu, hoja hajengi, ukiona mtu anataja sana majina bila kujenga hoja, ujue hana hoja zaidi ya kutaja majina, na nikamwambia kutaja majina kazi rahisi sana na huenda nikawa nauwezo wa kutaja majina kuzidi yeue, ila tunachotaka sisi ni hoja.

Tuko pamoja kaka.
 
ha haaa..kumbe tumepatikana wengi humu, spherical earth bye bye
Mkuu wasomi wetu akina baba swalehe hawawezi kutuelewa kwa sababu wamesoma mavitu Mengi ambayo yapo complicated na kuyabugia.

Si unaona hapa baba swalehe hatoi ushirikiano kwa sababu hana lugha rahisi ya kutuelezea tukaelewa juu ya hili,atakupelrka kwenye madudu ya physics wakati jambo hili anaweza khhoji hata mtu asiyejua physics.

Na hyo inadhihirisha kuwa wasomi wetu wameletewa dini mpya ya sayansi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyo ni baba swalehe huyo.
Kuna mmoja humu alikuwa na majibu mfano wa hilo. Yaani anataja majina tu, hoja hajengi, ukiona mtu anataja sana majina bila kujenga hoja, ujue hana hoja zaidi ya kutaja majina, na nikamwambia kutaja majina kazi rahisi sana na huenda nikawa nauwezo wa kutaja majina kuzidi yeue, ila tunachotaka sisi ni hoja.

Tuko pamoja kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wasomi wetu akina baba swalehe hawawezi kutuelewa kwa sababu wamesoma mavitu Mengi ambayo yapo complicated na kuyabugia.

Si unaona hapa baba swalehe hatoi ushirikiano kwa sababu hana lugha rahisi ya kutuelezea tukaelewa juu ya hili,atakupelrka kwenye madudu ya physics wakati jambo hili anaweza khhoji hata mtu asiyejua physics.

Na hyo inadhihirisha kuwa wasomi wetu wameletewa dini mpya ya sayansi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekariri hawajasoma
 
Mkuu wasomi wetu akina baba swalehe hawawezi kutuelewa kwa sababu wamesoma mavitu Mengi ambayo yapo complicated na kuyabugia.

Si unaona hapa baba swalehe hatoi ushirikiano kwa sababu hana lugha rahisi ya kutuelezea tukaelewa juu ya hili,atakupelrka kwenye madudu ya physics wakati jambo hili anaweza khhoji hata mtu asiyejua physics.

Na hyo inadhihirisha kuwa wasomi wetu wameletewa dini mpya ya sayansi.

Sent using Jamii Forums mobile app
ila jamaa REALITY amejitahidi sana kuleta ushahidi ila watu hawataki, kumbe sio kila mzungu ni mpotoshaji, wazungu wengine wako very real...ukiangalia wazungu ambao ni flat earther kuna kitu unakipata
 
ila jamaa REALITY amejitahidi sana kuleta ushahidi ila watu hawataki, kumbe sio kila mzungu ni mpotoshaji, wazungu wengine wako very real...ukiangalia wazungu ambao ni flat earther kuna kitu unakipata
Sahihi mkuu na hoja nyingi za dunia duara wanazotoa kuthibitisha pia zinathibitishika kwa dunia flat.

Hoja kubwa ilikuwa ya baharini kuona meli inapanda kila inapozidi kuja.ila ismejibiwa fresh tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VITABU VYA DINI NDO KABISAA.
Mkuu kumbuka hata hawa Jamaa wa flat Earth hawataki kutoa ushirikiano wa kutosha ktk maswali wanayo ulizwa! Mfano Swali limeulizwa kuhusu picha ya hizo dome3 za vioo zinazo ifunika Dunia.Aliye piga picha ya hizo Dome zote 3 aliwezaje,iwapo roket inashindwa kupenya na kutoka nje ya dome ya kwanza tu?! Hata katika vitabu vya Dini hiyo habari ya Dome ya kioo kuifunika Dunia haija andikwa! Tungesema wanao pinga flat Earth iliyo funikwa na dome za kioo wanapingana na Mungu! Sasa Jamaa huyo mwingine utetezi wake ni kutuwekea Vijumba na Majengo yenye Dome kwa juu!
IMG_20200129_182417_208.JPG
IMG_20200129_182359_219.JPG
IMG_20200129_182327_795.JPG
IMG_20200129_182312_924.JPG
images%20-%202020-01-29T151355.625.jpeg
images%20-%202020-01-29T151705.549.jpeg
images%20-%202020-01-29T115118.311.jpeg
images%20(24).jpeg
images%20-%202020-01-29T152037.282.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka eti kuyabugia duh
Mkuu wasomi wetu akina baba swalehe hawawezi kutuelewa kwa sababu wamesoma mavitu Mengi ambayo yapo complicated na kuyabugia.

Si unaona hapa baba swalehe hatoi ushirikiano kwa sababu hana lugha rahisi ya kutuelezea tukaelewa juu ya hili,atakupelrka kwenye madudu ya physics wakati jambo hili anaweza khhoji hata mtu asiyejua physics.

Na hyo inadhihirisha kuwa wasomi wetu wameletewa dini mpya ya sayansi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kumbuka hata hawa Jamaa wa flat Earth hawataki kutoa ushirikiano wa kutosha ktk maswali wanayo ulizwa! Mfano Swali limeulizwa kuhusu picha ya hizo dome3 za vioo zinazo ifunika Dunia.Aliye piga picha ya hizo Dome zote 3 aliwezaje,iwapo roket inashindwa kupenya na kutoka nje ya dome ya kwanza tu?! Hata katika vitabu vya Dini hiyo habari ya Dome ya kioo kuifunika Dunia haija andikwa! Tungesema wanao pinga flat Earth iliyo funikwa na dome za kioo wanapingana na Mungu! Sasa Jamaa huyo mwingine utetezi wake ni kutuwekea Vijumba na Majengo yenye Dome kwa juu!
Mkuu nimekusoma, nadhani hizo domes ni imaginary kutokana na ancient beloefs kwa sababu elimu ya globe earth imekuja hivi majuzi tu. Kwa sasa nafuatilia expeditions mbalimbali huko Antarctica, inaonyesha kuna jambo limefichwa kabisa.

Mpaka sasa nimeweza kuzikubali facts kadhaa mfano:

1. Hakuna carveture ya dunia kwa kutumia vitu hakisia zaidi ya kwamba ipo kimahesabu (theory) tu

2. Hoja ya meli kutokeza ni perception tu

3. Hakuna mwanadamu ama chombo kilichovuka parking orbit mpaka sasa (maneno ya mwanasayansi wa NASA akiwa ISS)

4. Kwa kuzingatia hilo ina maana safari ya mwezini ni hoax

5. Dunia ina centre ambayo ndio NORTH POLE ndio maana sumaku zote zinaelekea huko.

6. Kila nikitazama mwenendo wa jua nashawishika kuwa haliwezi kuwa na ukubwa unaosemwa wala huo umbali wa km milioni 150

7. Mwezi unaweza usiwe mchanga kwa sababu kuna kioindi unafifia na tunaweza kuona upande wa pili kupitia huo huo mwezi

8. Kwa nini ndege hazirekebishi uelekeo kufuata umbo la dunia?

9. Nakubaliana na hoja kuwa picha zote za dunia ni CGI

10. Kama umbali uliochimbwa kwenda chini ni 12.3 km pekee, tunajuaje yaliyopo huko?

11. Kwamba dunia inazunguka haiingii akilini hata kidogo, yako mengi yanayokataa logic hii.

12. Kwa nini land navigation (Topographical maps) haizingatii umbo la dunia?

13. Kwa nini meli zinatumia flat earth model?

14. Gravitatinal force ni halisi?

Etc, etc. Nahitaji mwanasayansi wa globe earth anisaidie kwenye hayo ili nisipotee.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
ila jamaa REALITY amejitahidi sana kuleta ushahidi ila watu hawataki, kumbe sio kila mzungu ni mpotoshaji, wazungu wengine wako very real...ukiangalia wazungu ambao ni flat earther kuna kitu unakipata
Yaani wana hoja zinazoeleweka zaidi na hazihitaji formula ndeefu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Ni heri ungejikita kwenye hoja. Hilo swali lako linalenga kutuondoa kwenye hoja ya msingi, hilo swali ni la kindergatten kwa mtoto anayejifunza lugha zaidi kuliko facts zinazojadiliwa hapa.

Kukusaidia basi, the earth is flat, kwa sababu ya kulinganisha model mbili: globe na flat model. Tunaposema dunia ni globe ama ni duara hatutazami perfection bali general appearance hasa hasa ukizingatia scale yake. Kwani unataka kutuambia kile kinachoonyeshwa na NASA ndii mwonekano halisi wa dunia ama ni kulingana na picha kwa kuzingatia scale?

Ukisikia flat earth siku nyingine ujue ni relative to globe model of representation, usilete vijilugha vyako kutaka kuhamisha mada. Jikite kwenye hoja za msingi, usiwe kama members wanaoweza kung'ang'ania typing error kwa sababu tu hukuweka comma, ni kujisgusha level ya uelewa wa mambo na kuonyesha huna hoja kuhusiana na kile kinachoendelea.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Hutakiwi kuanza kuzungumzia flat this and flat that kabla huja define flat ni nini.
 
When viewed from above, YES. Haya rudi kwenye mada

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Sijauliza "are mountains flat when viewed from above?".

Nimeuliza, are mountains flat?

Mbona hujibu swali nililouliza na swali unalojibu sijauliza?
 
Sijauliza "are mountains flat when viewed from above?".

Nimeuliza, are mountains flat?

Mbona hujibu swali nililouliza na swali unalojibu sijauliza?
Nashughulika na hoja ya msingi, you have a dictionary to your aid.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Kuna hoja moja nimekutana nayo imenishtua kiasi, naomba mchango wenu. Hubble space telescope imeweza kuzoom na kupiga picha black hole umbali wa miaka milioni 53 ya kasi ya mwanga, lakini haiwezi kupata picha safi kabisa za Appollo landing site kwenye mwezi. Hii imekaaje?

By the way tukisema light year mqana yake kama ukisafiri umbali husika kwa KASI YA MWANGA basi utatumia miaka hiyo kufika huo umbali. Mfano hapo juu ni kuwa, kama mtu ama kifaa kitasafiri toka duniani kwa kasi (speed) ya mwanga, basi kitatumia miaka milioni 53 kufika kwenye black hole tuliyopigiwa picha!! Miaka milioni 53 kwa speed ya mwanga!!!!

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom