cmp
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,082
- 6,720
Kwanini wafiche dunia sio tambarare ni tufe?Nini faida ya kuficha?Hasara ni zipi endapo binadamu watajua kwamba dunia ni tambarare?Mbona ni jambo zuri tu kuvumbua mambo kila siku.Hahaha mkuu kuna eneo kubwa nje ya dunia yetu thats why imewekwa sheria ya Antarctica treaty iliyo sainiwa na nchi kumi na mbili ikiwemo south africa kupinga mtu yeyote asiende bara hilo kwakuwa wanadamu watajua dunia sio tufe bali ni tambarare
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app