REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,297
- 1,828
- Thread starter
- #981
Akili ni nini?Kwasababu kila mtu anazake
Swali lingine tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ni nini?Kwasababu kila mtu anazake
Swali lingine tafadhali
Wanaozaliwa na mguu maana yake wamezaliwa na mguu sio wamepewa, hii ita make sense kama uko madhabahuni tu ila sio hapaBasi kama unakataa sawa ila mimi ndo nilimaanisha hivyo.
Kama ambavyo umepewa mguu na wengine wanazaliwa hawana mguu basi kumbe unapewa huo mguu ns mwingine anakosa kupewa.
.na akili ndio hivyo hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili nishalijibu, nahitaji lingine lipya
Sasa fanyeni agreements nyinyi kwa nyinyi mpate jibu ambalo mtakubaliana wote kwa pamijs sio huyu anasema hakuna huku mwingine anasema kunaKsms nimekuelewa basi nitakubsli kuwa marejreo yake ni sahihi endapo yatakuwa yana eleweka vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo lako zuri.Sasa fanyeni agreements nyinyi kwa nyinyi mpate jibu ambalo mtakubaliana wote kwa pamijs sio huyu anasema hakuna huku mwingine anasema kuna
Manake mnatuchanganya kama sigara kali
Is this a question or a statement?A variable in height can be even half inch does it make any sort of object with such a variation not flat
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupewa ni kupewa tu.Wanaozaliwa na mguu maana yake wamezaliwa na mguu sio wamepewa, hii ita make sense kama uko madhabahuni tu ila sio hapa
Samahani kwa hilo
Usilazimishe kizibo cha soda ufunikie jabaKupewa ni kupewa tu.
Kama ambavyo mtoto anakuja nyumbani na pipi tutasema kaja na pipi lakini amepewa.
Ila okey maadamu wewe hutaki kukubali kuwa umepewa kwa sababu huyo mtoaji humusmini basi nadhani tusipoteze energy kwa hili.
Mimi nibaki kuamini kuwa umepewa akili na itumie
Sent using Jamii Forums mobile app
Usilazimishe kizibo cha soda ufunikie jaba
Mtoto kuja na pipi hakuna relation yeyote na mtoto kuzaliwa akiwa na miguu
Hakuna ulazima wa pipi aliyokuja nayo huyo mtoto kua amepewa anaweza kuja na pipi pengine ameokota. mpaka mifano yako yenyewe inakugomea hivi haustuki?
Fresh tuSasa hata mifano hatuelewani bwa mkubwa.
Basi sawa boss mi napumzika sasa hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema ni uongoWanao dai kuwa dunia ipo flat wanaelezeaje kuhusu picha za dunia zilizopigwa kutoka angani zikionyesha dunia ni kama sphere??
SHORT AND CLEARView attachment 1337327View attachment 1337328View attachment 1337329
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata uimbe upuuzi wako kwa billions of years non stop, huwez kuni-comvince kuwa dunia Ni flat.
Nilijua tu
Flat earther lazima awe alien believer Freemason beleiver na other conspiracies
Yani Ukipenda boga Basi penda na ua lake
Ukionesha kwanini kivuli cha dunia kwenye mwezi kina shape ya duara hivyo mwezi unakuwa kama sickle wakati muda huo dunia ni flat nitaamini kuanzia leo...anyway according to your model kwenye mchoro wa kwanza kama mwezi na jua vyote vipo kwa juu ya dunia iliyo flat then kivuli cha dunia hakiwezi kuuzinga mwezi hivyo siku zote duniani ingekuwa ni full moon