Kwa kifupi John Pombe Magufuli ni mwanaume HALISI na kamili ambae anamtunza na kumlimda mamaTanzania kwa upendo usio kifani.
Magufuli kama baba ni mwanaume asiyetingishwa wala kupangiwa kwenye himaya yake, baba mwenye kujali maslahi ya familia yake, baba anayewapenda watu wake wote na anayejua kuwanyoosha watukutu.
Mwanaume kamili anapambana usiku na mchana kulea familia yake na kuwapa ulinzi na amani kwa njia yoyote Sio sawa na yule anayeomba kura za waTanzania lakini anaowatumikia na kuwaabudu na waliomtuma ni wainglishi. Tena bila aibu anataka kumuweka mke wake na watoto rehani kwa mwanaume mwenzie ili apate pesa
Cc@YEHODAYA
Ungekua upuuzi usingeusoma hadi mwisho? Na ungekua upuuzi usingekupa jazba?Unapata wapi muda wa kuandika upuuzi ..
Wamejawa matusi, mipasho na kupeleka maneno ya umbea kwa mabwana Amstadamz waoNa Kati ya hao wote uliiwataja,sioni msomi hata mmoja 😂😂, wao wamekazana kujisifia kiboya tu.
Chadema wana watu wa ajabuajabu, wengi wao hawana maadili nadhani hawakupewa malezi na mafunzo sahihi na chama chao. Naweza kusema ndani ya hilo kundi Lema na Sugu wana akili kuliko mgombea urais wao. Pamoja na mambo yao mengine bado Tundu haingii kwa hawa watu wawili hata theluthi👌kama hamna wasomi chadema msingekuwa mnakesha usiku kucha ,tume +Nec +ccm +polisi .
Nye makima kweli
Sasa kwa haya majibu yako na wewe utajiita msomi?😂😂kama hamna wasomi chadema msingekuwa mnakesha usiku kucha ,tume +Nec +ccm +polisi .
Nye makima kweli
Lissu ana usomi gani? Alichobarikiwa ni uropokaji,Kuna watu wamesoma sheria kwa viwango vikubwa huwa wanamzoom tu😂.Chadema wana watu wa ajabuajabu, wengi wao hawana maadili nadhani hawakupewa malezi na mafunzo sahihi na chama chao. Naweza kusema ndani ya hilo kundi Lema na Sugu wana akili kuliko mgombea urais wao. Pamoja na mambo yao mengine bado Tundu haingii kwa hawa watu wawili hata theluthi👌
Baba wa taifa alifeli kwenye ujamaa kwa sababu nyingi,miongoni mwazo ni hakua msimamizi mzuri wa sera zake,aliwekeza nguvu kwenye kuhubiri ujamaa lakini sio kusimamia,huu ugonjwa wa kutosimamia mopango umerthiwa na serikali zilizofuata,pili ujamaa upo kinyume na umbile la binaadam,unaviza juhudi,ubunifu..hakuna nchi iliyofuata ujamaa ikafanikiwa..tuache kusingizia wazungu
Sasa kwa haya majibu yako na wewe utajiita msomi?😂😂
kuna mtu humu alisema wewe ni 'mlokole'..........2015 was a turning point for our relationship with the west
Message imefika, vingine ni typing errors tu!"like whether"😃😃😃..,aisee siyo lazima utumie lugha ya malkia, unaweza kuonekana ndina kumbe una akili zako timamu.
Mngefukuza mabalozi tu kama the west mnawaona ni maadui. Mnasubiri nini sasa?2015 was a turning point for our relationship with the west
Typo ma fuckin ugly foot.typo ni vitu vya kawaida kwenye uandishi...!
Hapo alikua anasema air hostage.Hii picha ya Robert Amstadam unaipenda sana eee
nimekuambia ukweliSasa kwa haya majibu yako na wewe utajiita msomi?😂😂
China sio mjamaa.. kinyume cha ujamaa si ubepari, ubepari (capitalism) ni pale wenye mitaji wanapoiongoza serikali, kama vile marekani.. Seeikali huingia vitani kwa maagizo ya corporates, china ni soko huriaUjamaa umefeli USSR. China in fact now is the largest economy. And by far the powerful national on earth. Ujamaa bila kuwa creative kama wachina ni kushindwa. Lakini hata ubepari nao ameshindwa sana.
Ndio maana watu wachache leo wanamiliki utajiri mkubwa kuliko wengi wanaoishi duniani