The War Crimes Charges Against Al Bashir

Sam GM

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
535
28
Leo katika taarifa ya jioni ya BBC wametangaza kuwa mahakama ya kimataifa ya the Hague iko mbioni kutoa warrant ya kumkamata rais wa Sudan bwana Bashir kutokana na uhalifu na maovu juu ya binadamu katika eneo la Darfur na maeneo mengine ya Sudan. Pamoja na kuwa uovu mwingi umefanyika Darfur na bado watu wanaendelea kufa, wachambuzi wa maswala ya kisiasa wanafikiria itakuwa vigumu sana kumkamata bwana Bashir, nani kwanza anayeweza kumkamata? pili viongozi wa Afrika wanaweza wasikubali kuona mwenzao anakamatwa na kuburuzwa mahakamani, kwa kuhofia kuwa wakiruhusu na wao pia wanaweza kamatwa siku moja.

Pia kuna wale wanaofikia kuwa mahakama ina double standards, kwa sababu watu kama Bush ndio walitakiwa wafikishwe The Hague kwanza! Swali ni kwamba kwa kumkamata Mr Bashir na kumuacha George Bush mahakama inakuwa fair?
 
Mauaji ya innocent people Iraq ni mojawapo ya mambo ambayo Bush analaumiwa kusababisha
 
Nafikiri yeyote mwenye uwezo wa kufanikisha kukamatwa kwa huyu agent wa ibilisi huko Sudan ajitahidi kusaidia tafadhali. Nawapongeza sana hii mahakama kwa hili. Waende mbele zaidi watoe hati kama hiyo kwa Robert Mugabe.
 
Nafikiri yeyote mwenye uwezo wa kufanikisha kukamatwa kwa huyu agent wa ibilisi huko Sudan ajitahidi kusaidia tafadhali. Nawapongeza sana hii mahakama kwa hili. Waende mbele zaidi watoe hati kama hiyo kwa Robert Mugabe.

Kitila mawazo yako mazuri hapa, tatizo ni kuwa viongozi wa Afrika wataishikia bango issue hii kama ya Zimbabwe kwa maslahi yao binafsi.
 
Nafikiri yeyote mwenye uwezo wa kufanikisha kukamatwa kwa huyu agent wa ibilisi huko Sudan ajitahidi kusaidia tafadhali. Nawapongeza sana hii mahakama kwa hili. Waende mbele zaidi watoe hati kama hiyo kwa Robert Mugabe.

Asante sana mkuu. Lakini pia wasimsahau Mkapa
 
Wakuu hebu tuliangalie bara letu kwa mapana kidogo.

Bwan Al BASHIR, Rais wa Sudan, leo ameshtakiwa Rasmi kama "war criminal" na mwendesha mashtaka wa mahakama ya kimataifa (ICC) ya The Hague bwana Luis Moreno Ocampo.

Kifupi kama majaji wataridhia hiyo application ya Ocampo, basi Rais wa Sudan atakuwa on wanted list kama Marehemu Milosevic na Charles Taylor. Na most likely watakubali..evidence are overwhelming!

Swala langu ni je, sisi kama waafrika hiki kitendo cha hii mahakama ku-deal na RAIS ALIYEKO MADARAKANI..bila longo longo tuliyozoea ya "UN DIPLOMACY" tukichukulieje? inaweza kuwa mwanzo mzuri kwamba hawa viongozi wetu wa kiafrika ambao wamekataa kuwasikiliza na kuwahudumia raia wao waende wakakae huko The Hague, sisi tuhangaike na mustakabali wa bara letu au vipi?

Maana kweli waafrika tumenyanyasika na hawa viongozi ndugu zetu kuliko hata wazungu walivyotunyanyasa. Je wakipelekwa The Hague itasaidia viongozi wengine kuamka na kuwa responsible?

Personally nimeshindwa kutoa msimamo wangu...maana viongozi wa Afrika watasema tunaingiliwa na wazungu, lakini nikiangalia Darfur inavyowaka moto, sina budi kusema, Al BASHIR AENDE AKAOZEE HUKO THE HAGUE.

Watakao sema kwamba ashtakiwe Sudan, asipelekwe The Hague, naomba waangalie uwezo wa mahakama za kiafrika kuwashtaki "wakulu wetu'. IT IS IMPOSSIBLE.

So is it the right decision for Al BASHIR to be indicted by the ICC?
 
Last edited by a moderator:
...its time,ameleta shida nyingi sana huyu na sijui kwanini imechukua muda mrefu kiasi hiki,sasa ataanza kula jeuri yake,na hatasafiri tena zaidi ya Khartoum tena kwa kujificha ficha...Bashir they will get you soon or later,jeuri yako kwisha maana hata Nairobi huwezi kwenda.
 
DAR ES SALAAM, July 14 (Reuters) - Tanzania wants the International Criminal Court (ICC) to suspend any moves to arrest Sudan's President Omar Hassan al-Bashir for genocide in Darfur, the foreign affairs minister told Reuters on Monday.

"We would like ICC to suspend its decision to seek al-Bashir's arrest for a moment until we sort out the primary problems in Darfur and southern Sudan," Bernard Membe, Tanzania's Minister for Foreign Affairs said, speaking on behalf of African Union Chairman and Tanzanian President Jakaya Kikwete.
 
oh no!! kwanini asimwambie Bashir I suspend janjaweed, rape, killings and dislocation of people ili wasort matatizo kwanza? Inakuwaje URT ikimbilie kutoa tamko kuhusu Bashir lakini kwa muda mrefu sasa haijapinga kile kinachofanyika kule Darfur kwa wazi na kutoa shinikizo kwa Bashir?
 
We Would Also Like The President To Suspend His Washington Trip If No Justice Is Done By August!
 
oh no!! kwanini asimwambie Bashir I suspend janjaweed, rape, killings and dislocation of people ili wasort matatizo kwanza? Inakuwaje URT ikimbilie kutoa tamko kuhusu Bashir lakini kwa muda mrefu sasa haijapinga kile kinachofanyika kule Darfur kwa wazi na kutoa shinikizo kwa Bashir?

Walichemsha kwenye Zimbabwe sasa wana hamia Darfur!

Hao wanaouwawa huko Darfur ni NGOZI NYEUSI WAKRISTO!

Na Janjaweed ni WAARABU TU KAMA ROSTAMA na Omar Al Bashir mwenyewe!

Chunga sana JK kwani inaonyesha unamsikiliza sana Rostam na bado unafanya hivyo...Kwani msimamo huu si wa Tanzania bali wako wewe na Rostam na waarabu wengine!


Huyo Bashir aliwahi hata kumpa OSAMA BIN LADEN MAKAZI NA KUMPA NAFASI KAMA RAIS WETU ALIVYOMPA Rosama nafasi!

Bin Laden alikuwa na viwanda hata vya madawa huko Sudan na Bashir mwenyewe kampiga tafu sana!

Na hata sasa si shaka bado anawasiliana na Bin Laden na inawezekana anajuwa alipo.

JK...Usije washington kwani misimamo yako ni ya kigaidi na pia hutaki HAKI!
 
Hawa hawana lolote...!

Kitamko hicho nani atakisikia na watu wanateseka huko dafur,
best hiyo achukuliwe tu naye aonje utamu wa matatizo...!
 
DAR ES SALAAM, July 14 (Reuters) - Tanzania wants the International Criminal Court (ICC) to suspend any moves to arrest Sudan's President Omar Hassan al-Bashir for genocide in Darfur, the foreign affairs minister told Reuters on Monday.

"We would like ICC to suspend its decision to seek al-Bashir's arrest for a moment until we sort out the primary problems in Darfur and southern Sudan," Bernard Membe, Tanzania's Minister for Foreign Affairs said, speaking on behalf of African Union Chairman and Tanzanian President Jakaya Kikwete.

Halafu kwa uelewa wangu mdogo...African Union SI TANZANIA!

Ila ina mwenyekiti kutoka Tanzania Anayeitwa Jakaya Mrisho Kikwete!

Na msaidizi wake huko AU si MEMBE!!!

Na kama kuna mtu anayewakilisha kauli za AU kama si mwenyekiti mwenyewe then ni MSAIDIZI WAKE HUKO AU...

NA KAMWE SI MSEMAJI WA WIZARA MAMBO YA NJE WA TZ!

Sasa Membe anaiwakilisha Tanzania ama AFRICAN UNION?

Na Kikwete huko AU ni mwenyekiti wa Tanzania ama wa Afrika?

Mkitaka support kwenye issue yoyote ile..NI LAZIMA KWANZA MUUSHUGHULIKIE UFISADI!
 
Si niliwaambia hata issue ya Zimbabwe ilikuwa ni danganya toto yao ili UFISADI USIZUNGUMZIWE?
Mi nawaambia mvutano ni MKUBWA SANA NA INAELEKEA SINCLAIR AMEIGOMEA RIPOTI YA MADINI NA SASA NI ZAMU YA UAMUZI WA MWISHO WA JK!
WORLD POLITICS NA SISI TUMO...KAMWAMBIE SINCLAIR KIKWETE...KWAMBA BONGO YA SASA NOMA!
 
Back
Top Bottom