Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,262
Ni yule yule aliyenifunza kuwa kusem "Nyani halioni kundu lake " mbele ya wakubwa ni sahihiPovu wapi man kawaida au sio, kwahyo ulisema nani watulize makalio vile? au we kiswahili alokusomesha hilo alikufunza ni jambo la kawaida ukiongea na wakubwa?