😤🤔🤔If you want to survive well in the Bahamas u have to be a professional Gigolo.
Sex tourism is so mean there .
Just find an old rich women with doughies and here umetusua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu! Nipo Miami Florida mwaka wa tano huu namshukuru Mungu mambo yanaenda vizuri japo kuna watu walinikatisha tamaa kipindi hiko nafikiria kutoka kwenda kutafuta maisha nje ya TzMla Bata said:Yeah sure mkuu, karibu tujumuike kupata ABC's
Unataka shngapi dogo? Just tell me.Shida ni hela tu na connection mengine yoye yanawezekana
Genuinely feelings, i can smell. 😎 all the best chief.Uzi huu umenigusa sana mimi kwakua kusafiri sana ndo kitu ambacho nakipenda mno. Big up sana mleta uzi mwaka huu nakuhaidi kureta mrejesho hapa kutokea BAHAMAS.
Sent using Jamii Forums mobile app
DAB ataondoka na wengi 😂😂😂Plan yangu nikifika Boston au New York naclaim asylum at the border then nabakia US Kama mkimbizi ninaemkimbia Makonda and his Co.
Brilliant!
Sent using Jamii Forums mobile app
I know it wasn't that easy, ingekuwa vizuri ungeshare hata kwa uchache how the struggle was., umeniimpress mkuu.Ahsante mkuu! Nipo Miami Florida mwaka wa tano huu namshukuru Mungu mambo yanaenda vizuri japo kuna watu walinikatisha tamaa kipindi hiko nafikiria kutoka kwenda kutafuta maisha nje ya Tz
Hakuna fursa Tanzania.Tanzania bado ni nchi mtu ukiamua kweli kweli kukaza kama mnavyokaza matako huko nje unatoboa vizuri sana, kuna fursa nyingi mnoo, hamna mtu atanishawishi nihame nchi yangu kwenda kupigika ugenini ili kuleta heshima home wakati mazingira yanaruhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said, thanks for the informations chief.
Shida sio kupata hela bongo shida mifumo, utapata pesa na bado utaiona chungu.Hivi bongo ndo kugumu hivi maana mda utakao tumia nje kutoboa ungeweza jikuta ushapiga maisha hapa hapa.....bongo new york
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu ana option yake ya maisha mzee..kama bongo kwako ni fresh basi achana na wengine wanaoangalia njia zingine za kutoboa..Hivi bongo ndo kugumu hivi maana mda utakao tumia nje kutoboa ungeweza jikuta ushapiga maisha hapa hapa.....bongo new york
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro tupe mbili tatu ilikuwaje sasa..share na sisi tunaitaji izo connectionAhsante mkuu! Nipo Miami Florida mwaka wa tano huu namshukuru Mungu mambo yanaenda vizuri japo kuna watu walinikatisha tamaa kipindi hiko nafikiria kutoka kwenda kutafuta maisha nje ya Tz