Rosenchold
Member
- Jul 6, 2021
- 38
- 38
Kuna moja ya Korea inaitwa The Signal
Sijajupata,hata kama ni mfano,Acha kutumia neno "mzungu"
Halafu hizo ni Sci-fi movies
Tunachanganya concept kadhaa za sayansi pamoja na fiction(kufikirika)
So sci-fi movies ni uongo ulio tiwa nakshi na concepts kadhaa za sayansi
Time travel ni jambo halisi kulingana na sayansi, lakini aina pekee ya time travel iliyoruhusiwa au inayowezekana ni Forward Time travel, tunaweza kinadharia na wala sio kivitendo (kwa sasa) kwenda mbele ya mda na sio nyuma ya mda
Kwenda mbele ya mda inawezekana, ila kurudi haiwezekani kwa sababu inatupa paradox nyingi...
Mfano hii, Grandfather paradox
Unarudi nyuma ya mda na kwa bahati mbaya una muua babu yako kabla hajamzaa baba yako,
Hivyo mama yako hawezi kutana na baba yako ambaye hajazaliwa baada ya wewe kumuua babu yako
Hivyo wewe hutozaliwa,
Kama huto zaliwa huwezi kurudi nyuma ya mda kumuua babu yako kwa sababu hujazaliwa
Kwa sababu huwezi rudi nyuma ya mda kumuua babu yako, hivyo babu yako ana mzaa baba yako ambaye anakutana na mama yako na kukuzaa wewe
Kisha unarudi nyuma ya mda na kumuua babu yako
Hio loop...
So sayansi na logic zina kataa
Kwa hio nikutoe hofu hicho kitu hakipo kwa sababu hakiwezekani
Ni kitu cha kifikirika kutoka Hollywood
Time travelling movie inayo ingia akilini ni Tenet tu