A-10
JF-Expert Member
- May 15, 2020
- 217
- 349
Mmetuonea vyakutosha sasa basi, pumbafu.Seems Chama cha pale ufipa mmezoea kuua !
Nyie ni chama cha siasa au genge la uhalifu?
Mmetuonea vyakutosha sasa basi, pumbafu.Seems Chama cha pale ufipa mmezoea kuua !
Nyie ni chama cha siasa au genge la uhalifu?
We wadanganye mazwazwa wenzako wa Lumumba. Dunia nzima inajua nini kinaendelea uko Visiwani! Jiulize: Bara Kuna Wapiga Kura 29 million Hakuna Tanks na Hakuna Uchaguzi wa Awali!Tanks hata zingekuwa 500 barabarani hakuna shida wewe nenda kapige kura Wala tanks haikuzuia kupiga kura....kila mtu afanye kazi yake tusiingiliane.Tupo kuangalia usalama wa nchi mzima na tanks zingine tumepeleka kusini mwa nchi mbona husemi tena mchana kweupeee usitupangie Cha kufanya....kila mmoja afanye wajibu wake...nenda kapige kura na Kama Kuna tanks zitakuzuia tujulishe haraka
Zanzibar hizo tanks ni kawaida Sana toka1995 wewe hukuwepo hazina shida ndo taratibu zetu huko Wala hazikudhuru wewe mmbara uliyoko znz usiogope waznz wenyewe. Wamezoeya kuziona. Wakati wa uchaguziWe wadanganye mazwazwa wenzako wa Lumumba. Dunia nzima inajua nini kinaendelea uko Visiwani! Jiulize: Bara Kuna Wapiga Kura 29 million Hakuna Tanks na Hakuna Uchaguzi wa Awali!
Zanzibar kuna Wapiga Kura 400,000+ lakini JWTZ na Tanks wamejazana huko na Uchaguzi ni 2 days( 27/10~28/10)!!
What's so special there?