Tatizo kubwa ni lack of political will to implement these development plans....nafikiri the rulling class' interests ziko against the larger public ones na hapo wanapata taabu sana hawa wakubwa kufanya haya maamuzi ya kitaifa...from BOT, TRA, ministries plan nzuri na wasomi walioenda shule kubwa duniani wapo ila nani atazifanyia kazi wakati unagusa wale wenye nguvu katika nchi...tafuta thread yangu ya nani anamiliki uchumi wa tz na athari zake iko humu