Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,437
- 1,597
Leo kuanzia saa mbili usiku katiak ukuimbi wa Sakao Lodge mjini Igunga kutakuwa na mdahalo utakaoshirikisha wagombea ubunge wa jimbo hilo. Mdahalo huu utafanyika katika ukumbi wa Sakao, mdahalo utafanyika kuanzia saa 2:00 - saa 4:00 usiku. Na utarushwa na Star tv jumanne muda utatangazwa baadaye. Kwa walio Igunga karibuni, mimi niko Igunga saa hii