'The Tanzania We Want' Mdahalo wa Nishati

Lukansola

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
5,437
1,597
Habari zenu wadau, jumapili hii Star Tv kutakuwa na mdahalo wa Nishati na Tanzania Tunayoitaka, ni tarehe 16 October 2011, kuanzi saa tatu usiku hadi saa tano usiku, na itakua live. Wasemaji ni J Makamba, Zitto Kabwe, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, William Mhando na Naibu Katibu Mkuu Nishati na Madini. kwa taarifa zaidi angalia Star TV.
 
Habari zenu wadau, jumapili hii Star Tv kutakuwa na mdahalo wa Nishati na Tanzania Tunayoitaka, ni tarehe 16 October 2011, kuanzi saa tatu usiku hadi saa tano usiku, na itakua live. Wasemaji ni J Makamba, Zitto Kabwe, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, William Mhando na Naibu Katibu Mkuu Nishati na Madini. kwa taarifa zaidi angalia Star TV.
Safi sana,Tanzania na midahalo tunayoitaka.
 
Niko humu humu, huu mdahalo ni kama wakati ule
au tunaishia kuangalia katika Tv tu?

Hii itakuwa Movenpick Hotel dar es salaam, nilisahau kusema sorry, kwa wa dar es salaam, karibuni watakaowahi nitawapa card ninazo kama, 30 hivi.
 
Habari zenu wadau, jumapili hii Star Tv kutakuwa na mdahalo wa Nishati na Tanzania Tunayoitaka, ni tarehe 16 October 2011, kuanzi saa tatu usiku hadi saa tano usiku, na itakua live. Wasemaji ni J Makamba, Zitto Kabwe, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, William Mhando na Naibu Katibu Mkuu Nishati na Madini. kwa taarifa zaidi angalia Star TV.

Kwani watanzania wanahitaji mdahalo au nishati ya umeme?

Kuweni wawazi.
 
Habari zenu wadau, jumapili hii Star Tv kutakuwa na mdahalo wa Nishati na Tanzania Tunayoitaka, ni tarehe 16 October 2011, kuanzi saa tatu usiku hadi saa tano usiku, na itakua live. Wasemaji ni J Makamba, Zitto Kabwe, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, William Mhando na Naibu Katibu Mkuu Nishati na Madini. kwa taarifa zaidi angalia Star TV.
Ahsante Mkuu kwa hii taarifa,hapo kwenye nishati watakuwa wamegusa matatizo ya nchi hii. Ila wakumbuke kupokea michango ya watu wengine pia!!!!!!!!!!!!
 
Mbona wengine wanasema ni saa moja usiku?
Habari zenu wadau, jumapili hii Star Tv kutakuwa na mdahalo wa Nishati na Tanzania Tunayoitaka, ni tarehe 16 October 2011, kuanzi saa tatu usiku hadi saa tano usiku, na itakua live. Wasemaji ni J Makamba, Zitto Kabwe, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, William Mhando na Naibu Katibu Mkuu Nishati na Madini. kwa taarifa zaidi angalia Star TV.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom