Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Good Sunday wakuu, leo kuanzia saa 11 jioni mpaka saa moja usiku star tv kutakuwa n mdahalo wa mchakato wa katiba mpya na Tanzania tunayoitaka, wasemaji hapa watakuwa Tundu Lissu na mheshimiwa Mnyaa, mdahalo utafanyika Movenpick hotel, siku hizi Hyatt. na utarushwa moja-kwa-moja (Live).
Source: Star TV
Source: Star TV