The Secret of Number 8 - Siri ya namba 8

Tunaweza kuelimika kupitia jamii forum badala ya kuvutana na serikali. Viongozi wengi serikali wanapita humu...

Jf ni shule kuu chuo kikuu, hakuna kupoteza muda hapa
 
Jamani mkuu Annael njoo uendelee maana nyota yangu kulingana na tarehe na mwezi niliozaliwa naambiwa namba yangu ya bahati ni 8 plz shusha nondo labda ntapata jawabuu
 
Dah haya mambo yako kama muvi za kibongo mtu anakupa vionjo anakyacha njia panda ukiamua kuipeleka elimu kwa watu wape yote mkuu
 
Back
Top Bottom