The Secret of Number 8 - Siri ya namba 8

Ngoja tutaendelea jamani.
Hebu tufikirie hii pertain ya namba.
1,1,2,3,5,8...
 
The stop sign has eight sides.
Stop-Sign.png
 
Hahahaha
Huwa napenda kuwawashia moto walahi!
Hiyo Mitusi wanayo nitukana alafu huwa siyasomi hata moja walahi!

Ha ha ha! Nimecheka kuwa huwa huyasomi hata moja, sasa unajuaje kama ni matusi kama hupitishi macho?
 
mkuu...the language that the universe speaks is through symbols asigned into numbers..

yale mapembe,sanamu,misalaba zinaitwa Obelisk na zinaufanya au kuifanya subconcious awareness yake kusynchronize with the universal energy grid( high energy flow system) ambayo ndo kila kitu..

The gate ways to high centers zilifichwa katika fibonacci sequence ,Golden ratio,phi( pai),newtonian Calculus pamoja na sacred geometry..

Kule shule ya msingi tunafundishwa maumbo lakini hawayatolei ufafanuzi.
yakitolea ufafanuzi mbona kila mtu atakuwa genius wa kutupa na umaskini hautakuwepo..

Kuna code tata sana kwenye hayo maumbo mkuu..ni noma..narudia tena ni noma acha kabsaa...

Nikola tesla walimua kwa sababu alitaka auambie ulimwengu kuwa theee is a core where all knowledge and power rests and we have to synchronize with the universal patterns to unlock the reality and truth..

Hatare sana..wenye dunia hii hawataki kuweka mambo sawa..wanatuendesha tu kama magari mabovu..

unajua kwanini walileta system ya kuweka misalaba kwenye makaburi ya watu waliokufa( fariki)..??

unahisi ni representation ya yesu kristo..??

sio kweli...

When human being dies, his soul is used to open the high way gate way to higher world where knowlege rests..

unajua kwanini Vatcan ilikua na sera ya kuwakusanya watu wote waliokufa sehemu moja halafu misalaba iwe imesimikwa kwa kusimama..!! Do you know its indications??

unajua kwanini ..??

naomba nisiharibu udhi ngoja mwenye udhi aendelee kutuelemisha..
naomba utuanzishie thread mpya juu ya haya mambo angalau utufungue macho zaikdi mkuu maana naona yameanza kuniingia kisawa sawa afu ndo ukaishia
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom