The Secret of Number 8 - Siri ya namba 8

Mmmh namba nane!!
Mwenye kusema alisema kuwa brain is reality shaper ..chochote kinaweza kuwa ni kweli hatakama ni uongo ilimradi kimetafutiwa sababu kwa maarifa na akili.
 
mkuu...the language that the universe speaks is through symbols asigned into numbers..

yale mapembe,sanamu,misalaba zinaitwa Obelisk na zinafanya au kuifanya subconcious awareness yako kusynchronize with the universal energy grid( high energy flow system) ambayo ndo kila kitu..

The gate ways to high centers zilifichwa katika fibonacci sequence ,Golden ratio,phi( pai),newtonian Calculus pamoja na sacred geometry..

Kule shule ya msingi tunafundishwa maumbo lakini hawayatolei ufafanuzi.
yakitolewa ufafanuzi mbona kila mtu atakuwa genius wa kutupa na umaskini hautakuwepo..

Kuna code tata sana kwenye hayo maumbo mkuu..ni noma..narudia tena ni noma acha kabsaa...

Nikola tesla walimua kwa sababu alitaka auambie ulimwengu kuwa there is a core where all knowledge and power rest and we have to synchronize with the universal patterns to unlock the reality and truth..

Hatare sana..wenye dunia hii hawataki kuweka mambo sawa..wanatuendesha tu kama magari mabovu..

unajua kwanini walileta system ya kuweka misalaba kwenye makaburi ya watu waliokufa( fariki)..??

unahisi ni representation ya yesu kristo..??

sio kweli...

When human being dies, his soul is used to open the high way gate way to higher world where knowlege rests..

unajua kwanini Vatcan ilikua na sera ya kuwakusanya watu wote waliokufa sehemu moja halafu misalaba iwe imesimikwa kwa kusimama..!! Do you know its indications??

unajua kwanini ..??

naomba nisiharibu udhi ngoja mwenye udhi aendelee kutuelemisha..
Malizia mzee baba, acha wapige mayowe, we ndio LIFE CODED OG.
 
Wachina wanaona namba 8 kama namba yenye bahati na mafanikio. Walipanga Opening Ceremony ya Beijing Olympics iwe kwenye muda 08secs 08min 08hrs (saa mbili usiku) of 08th day of the 8th month (August) of the 8th Year of the new millienium (2008)!
 
View attachment 864186

Nawasalimia ndugu zangu, poleni na majukumu ya kila siku.

Utangulizi
Leo nitaanza kuelezea jambo la namba. Namba ambayo nitaielezea leo ni namba 8. Nitaeleza jumbe mbalimbali na siri iliyopo kwenye namba 8.


Katika thread hii nitaelezea namba hii katika nyanja mbalimbali.
1. Kiimani, 2. Kitamaduni, 3. Kimazingira, 4.Kiroho, 5.Kisayansi,na 6. Kihesabu.
Kwenye imani nitaongelea dini na madhehebu mbalimbali kuhus hii namba.


Kwanza kabisa tukianza kuongelea namba 8 tunaongelea namba inayofuata baada ya namba 7 tukitumia (decimal numbers) namba zinazoanzia 0 - 9.

Kwa kifupi tu; kuna aina nyingi za mfumo wa namba:-
1. Binary Number (0 -1)
2. Octa decimal (0 - 7) base 8
3. Decimal Number (0 -9) base 10
4. Hexadecimal Number (0 - F) base 16
Sasa base tukitaka kuandika namba 8 kwa mfumo wa binary itakuwa ni: 8 base 10 = 00001000 base 2
Ngoja nisiwachanganye sana. Katika maelezo yangu nitajikita sana kuongelea namba za base 10.
Sasa basi katika thread hii nitakuwa naelezea hatua kwa hatua huku wachangiaji wengine wakichangia.
Hata hivyo tunatakiwa kujua maisha yetu yamefungiwa kwenye siri ya namba na siri hiyo ipo katika mahesabu. Sasa basi utakapo kosea mahesabu tayari jibu utakalolipata siyo sahihi.


Sasa basi nitaanza kuongelea namba 8 hatua kwa hatua huenda baada ya somo hili baadhi yetu tutaanza kuelewa kusoma nyakati na kujua wakati ni wa kufanya nini.
Katika huu mfumo wa namba hususani namba 8 tutatumia Gematria method na Numerology katika mambo yetu. Ikumbukwe kwamba katika baadhi ya tamaduni majina, slogan na companies zinakuwa encoded kwenye namba na hivyo kuleta impact kubwa katika physical world.


Sitaki niwachoshe huu ni utangulizi tu ngoja kila mmoja aanze kutafakari kabla sijaendelea zaidi.
[/QUOTsiri ya namba nane anaijua daz baba pekee
 
mkuu...the language that the universe speaks is through symbols asigned into numbers..

yale mapembe,sanamu,misalaba zinaitwa Obelisk na zinafanya au kuifanya subconcious awareness yako kusynchronize with the universal energy grid( high energy flow system) ambayo ndo kila kitu..

The gate ways to high centers zilifichwa katika fibonacci sequence ,Golden ratio,phi( pai),newtonian Calculus pamoja na sacred geometry..

Kule shule ya msingi tunafundishwa maumbo lakini hawayatolei ufafanuzi.
yakitolewa ufafanuzi mbona kila mtu atakuwa genius wa kutupa na umaskini hautakuwepo..

Kuna code tata sana kwenye hayo maumbo mkuu..ni noma..narudia tena ni noma acha kabsaa...

Nikola tesla walimua kwa sababu alitaka auambie ulimwengu kuwa there is a core where all knowledge and power rest and we have to synchronize with the universal patterns to unlock the reality and truth..

Hatare sana..wenye dunia hii hawataki kuweka mambo sawa..wanatuendesha tu kama magari mabovu..

unajua kwanini walileta system ya kuweka misalaba kwenye makaburi ya watu waliokufa( fariki)..??

unahisi ni representation ya yesu kristo..??

sio kweli...

When human being dies, his soul is used to open the high way gate way to higher world where knowlege rests..

unajua kwanini Vatcan ilikua na sera ya kuwakusanya watu wote waliokufa sehemu moja halafu misalaba iwe imesimikwa kwa kusimama..!! Do you know its indications??

unajua kwanini ..??

naomba nisiharibu udhi ngoja mwenye udhi aendelee kutuelemisha..
Na subiri ngoma iyo. Uku naangaika na google kidogo? Am trained aW bender
 
Tukisubiri uzi uendelee uku tuna train kidogo maaana hauitaji vilazaa
IMG_20190720_163326-01.jpeg
 
Back
Top Bottom