The Secret of Number 8 - Siri ya namba 8

mkuu...the language that the universe speaks is through symbols asigned into numbers..

yale mapembe,sanamu,misalaba zinaitwa Obelisk na zinaufanya au kuifanya subconcious awareness yake kusynchronize with the universal energy grid( high energy flow system) ambayo ndo kila kitu..

The gate ways to high centers zilifichwa katika fibonacci sequence ,Golden ratio,phi( pai),newtonian Calculus pamoja na sacred geometry..

Kule shule ya msingi tunafundishwa maumbo lakini hawayatolei ufafanuzi.
yakitolea ufafanuzi mbona kila mtu atakuwa genius wa kutupa na umaskini hautakuwepo..

Kuna code tata sana kwenye hayo maumbo mkuu..ni noma..narudia tena ni noma acha kabsaa...

Nikola tesla walimua kwa sababu alitaka auambie ulimwengu kuwa theee is a core where all knowledge and power rests and we have to synchronize with the universal patterns to unlock the reality and truth..

Hatare sana..wenye dunia hii hawataki kuweka mambo sawa..wanatuendesha tu kama magari mabovu..

unajua kwanini walileta system ya kuweka misalaba kwenye makaburi ya watu waliokufa( fariki)..??

unahisi ni representation ya yesu kristo..??

sio kweli...

When human being dies, his soul is used to open the high way gate way to higher world where knowlege rests..

unajua kwanini Vatcan ilikua na sera ya kuwakusanya watu wote waliokufa sehemu moja halafu misalaba iwe imesimikwa kwa kusimama..!! Do you know its indications??

unajua kwanini ..??

naomba nisiharibu udhi ngoja mwenye udhi aendelee kutuelemisha..
Je,vp kuhusu waislam wasio weka misalaba?
 
mkuu...the language that the universe speaks is through symbols asigned into numbers..

yale mapembe,sanamu,misalaba zinaitwa Obelisk na zinaufanya au kuifanya subconcious awareness yake kusynchronize with the universal energy grid( high energy flow system) ambayo ndo kila kitu..

The gate ways to high centers zilifichwa katika fibonacci sequence ,Golden ratio,phi( pai),newtonian Calculus pamoja na sacred geometry..

Kule shule ya msingi tunafundishwa maumbo lakini hawayatolei ufafanuzi.
yakitolea ufafanuzi mbona kila mtu atakuwa genius wa kutupa na umaskini hautakuwepo..

Kuna code tata sana kwenye hayo maumbo mkuu..ni noma..narudia tena ni noma acha kabsaa...

Nikola tesla walimua kwa sababu alitaka auambie ulimwengu kuwa theee is a core where all knowledge and power rests and we have to synchronize with the universal patterns to unlock the reality and truth..

Hatare sana..wenye dunia hii hawataki kuweka mambo sawa..wanatuendesha tu kama magari mabovu..

unajua kwanini walileta system ya kuweka misalaba kwenye makaburi ya watu waliokufa( fariki)..??

unahisi ni representation ya yesu kristo..??

sio kweli...

When human being dies, his soul is used to open the high way gate way to higher world where knowlege rests..

unajua kwanini Vatcan ilikua na sera ya kuwakusanya watu wote waliokufa sehemu moja halafu misalaba iwe imesimikwa kwa kusimama..!! Do you know its indications??

unajua kwanini ..??

naomba nisiharibu udhi ngoja mwenye udhi aendelee kutuelemisha..
Mkuu anzsha Uzi kwa hii elimu,,,,elimu haina mwsho tujfunze
 
Roman Empire
Naoma tuendelee kidogo. Kama wenzangu walivyo tangulia kusema kuhusu universe is number. Kama utaijua hii lugha ni mambo nengi sana utayaelewa.

Pythagoras alisema everything is number.
Ngoja sasa tuongelee Roman empire.
Kwa wale waliojaribu kusoma historia watakubaliana na mimi kuwa Emperor wa kwanza wa Roman Empire aliitwa Augustus Caesar. Baba yake mzazi alikuwa akiitwa Gaius Octavius. Na baba yake mlezi alikuwa akiitwa Julius Caesar.

Ngoja tuanze kama ifuatavyo. Augustus ndiye aliyebadili calendar ya kimisri na kuweka hii tunayotumia hadi leo.
Na mwezi wa 8 akauita jina lake mwenyewe. Huku mwezi wa saba akiuita jina la baba yake mlezi Julius kwa kingereza tunasema July. Hii namba 8 aliita internal namba. Yaani namba ya milele.
Na ieleweke kwamba baba yake mzazi jina lake ni Octavius. Kwa kingereza tunaweza kusema ni Octavian. Sasa 8 inaitwa octa.
Kwa hiyo jina lake na la baba yake yapo encoded kwenye number 8 kwa watu hao ni immoral.

Ikumbukwe kuwa kwenye music 8th note inaitwa octaval note. Kwa baada ya kuzipiga note 7 ukiipiga 8th utakuwa ukeanzisha new generation ya voice. Kwahiyo Augustus alihakikisha kuwa Octavian na yeye wanakuwa immortal. Kila wanapopiga music sehemu yoyote watakuwa wakimkumbuka na kumuabudu yeye. Watu wataalamu wa music mnanielewa ninaposema 8th.

Halafu ikumbukwe kwamba Augustus alikufa akiwa na umri wa miaka 80 yaani 8 multiply with magical number 10.
Nitaendelea tena.

Tunaita Perfect 8. Octave , Pia kuna Sheria za Harmony zinazohusiana na 8th . Mkuu mwaga somo
 
Back
Top Bottom