Kidzogolae
Senior Member
- Apr 20, 2008
- 133
- 2
Halo Mr.president kikwete, kama upo humu JF, hivi wewe mwenzetu, kwa hili hii tuliyonayo leo, kwa kukata tamaa kwa watz kimaisha huku, kwa kutokuwa na imani na selikali kiasi hiki,kwa kushindwa kuwakamata mafisadi wanaorudisha pesa kinyemela na wewe unawaacha waende kiulaini kiasi hiki, kwa kuwalinda kina lowasa na vijisenti na wengine wote kiasi hicho hata hujawasagia meno hata kwa kubip tu tuone kama uko serious, kwa maisha magumu kiasi hiki? utakuwa mgeni wa nani mwaka 2010 mwenzangu?
Mimi sikukupigia kura,hilo sifichi, sasa naona sijui utawakomvinsi kinamna gani watz ambao leo hii wameamka kiasi hiki.
yaani, vile wanavyobip watu wa Tarime, ndo itakuwa Tz nzima, si kichwa chako ndo kitapasuka? nikupe ushauri?, OK, fanya hivi, at least, washughulikie mafisadi kiuhalali hadi watz waridhike ili wapinzani tuje tukose cha kukushitaki kwa wapiga kura, acha kutapanya mihela kwa misafari ya kitalii ulaya,matokeo yake unatuletea tu The sullivan wanaoleta kashule kamoja na wewe umetumia hala za nauli za shule 50. tafadhali rafiki yangu, sijui utakuwa mgeni wa nani. watz wa mwaka keshokutwa, sio wale wa enzi za nyerere. think about it.
Mimi sikukupigia kura,hilo sifichi, sasa naona sijui utawakomvinsi kinamna gani watz ambao leo hii wameamka kiasi hiki.
yaani, vile wanavyobip watu wa Tarime, ndo itakuwa Tz nzima, si kichwa chako ndo kitapasuka? nikupe ushauri?, OK, fanya hivi, at least, washughulikie mafisadi kiuhalali hadi watz waridhike ili wapinzani tuje tukose cha kukushitaki kwa wapiga kura, acha kutapanya mihela kwa misafari ya kitalii ulaya,matokeo yake unatuletea tu The sullivan wanaoleta kashule kamoja na wewe umetumia hala za nauli za shule 50. tafadhali rafiki yangu, sijui utakuwa mgeni wa nani. watz wa mwaka keshokutwa, sio wale wa enzi za nyerere. think about it.