Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,159
- 45,851
Ma dikteta wote huwa wana akili sana hapa nazungumzia “dikteta” sio Dikteta uchwaraWas very intelligent person Kwanza alikuwa na idea ya kuunganisha bara la Afrika iwe na rais mmoja na bank ya Afrika
ukimsikiliza Idd amin sahivi utagundua alikuwa na upeo wa kutizama mbali mno hata Saddam Hussein aliwahi mpaka kutengeneza silaha kama bunduki na vifaru na kuinua maisha ya wananchi wake,marekani kuona vile akastuka