Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
Source:Mwanahalisi Jumatano Sept.23-29,2009
Just a summary:
1-Mbunge huyu anaweza kufikishwa kortini kwa makosa ya kuiingiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji,kati ya serikali na kampuni ya Richmond development Company
2-Hizi hisia zinakuja baada ya J.K kunukuliwa akisema serikali inataka kumaliza kabisa suala la richmond kwa kuruhusu uchunguzi wa kimataifa ili kubaini iwapo kulikuwa na vitendo vya rushwa(Some two weeks ago)
NB:waandishi wa habari mnaweza ku-paste basi,au vp?
Just a summary:
1-Mbunge huyu anaweza kufikishwa kortini kwa makosa ya kuiingiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji,kati ya serikali na kampuni ya Richmond development Company
2-Hizi hisia zinakuja baada ya J.K kunukuliwa akisema serikali inataka kumaliza kabisa suala la richmond kwa kuruhusu uchunguzi wa kimataifa ili kubaini iwapo kulikuwa na vitendo vya rushwa(Some two weeks ago)
NB:waandishi wa habari mnaweza ku-paste basi,au vp?