The Richmond Saga: Lowassa kutinga kortini

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,034
Source:Mwanahalisi Jumatano Sept.23-29,2009

Just a summary:
1-Mbunge huyu anaweza kufikishwa kortini kwa makosa ya kuiingiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji,kati ya serikali na kampuni ya Richmond development Company

2-Hizi hisia zinakuja baada ya J.K kunukuliwa akisema serikali inataka kumaliza kabisa suala la richmond kwa kuruhusu uchunguzi wa kimataifa ili kubaini iwapo kulikuwa na vitendo vya rushwa(Some two weeks ago)

NB:waandishi wa habari mnaweza ku-paste basi,au vp?
 
Source:Mwanahalisi Jumatano Sept.23-29,2009

Just a summary:
1-Mbunge huyu anaweza kufikishwa kortini kwa makosa ya kuiingiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji,kati ya serikali na kampuni ya Richmond development Company

2-Hizi hisia zinakuja baada ya J.K kunukuliwa akisema serikali inataka kumaliza kabisa suala la richmond kwa kuruhusu uchunguzi wa kimataifa ili kubaini iwapo kulikuwa na vitendo vya rushwa(Some two weeks ago)

NB:waandishi wa habari mnaweza ku-paste basi,au vp?

Hakuna kitu kama hicho. Ni usanii tu na danganya toto!
 
Hakuna kitu kama hicho. Ni usanii tu na danganya toto!

kwanin unasema usanii babaake?
haukumsikia jeikei kwenye maswali na majibu?,ai mini kipindi kipya cha tbc?anyways naamini waandishi wa habari watatupestia article nzima kama ilivyo
 
Source:Mwanahalisi Jumatano Sept.23-29,2009

Just a summary:
1-Mbunge huyu anaweza kufikishwa kortini kwa makosa ya kuiingiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji, kati ya serikali na kampuni ya Richmond development Company

2-Hizi hisia zinakuja baada ya J.K kunukuliwa akisema serikali inataka kumaliza kabisa suala la richmond kwa kuruhusu uchunguzi wa kimataifa ili kubaini iwapo kulikuwa na vitendo vya rushwa(Some two weeks ago)

Uchunguzi wa kimataifa ukifanyika, wa kwanza kufikishwa mahakamani atakuwa JK mwenyewe - he is in it up to his eyeballs.
 
Source:Mwanahalisi Jumatano Sept.23-29,2009

Just a summary:
1-Mbunge huyu anaweza kufikishwa kortini kwa makosa ya kuiingiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji,kati ya serikali na kampuni ya Richmond development Company

2-Hizi hisia zinakuja baada ya J.K kunukuliwa akisema serikali inataka kumaliza kabisa suala la richmond kwa kuruhusu uchunguzi wa kimataifa ili kubaini iwapo kulikuwa na vitendo vya rushwa(Some two weeks ago)

NB:waandishi wa habari mnaweza ku-paste basi,au vp?

yale yalee! heading ya thread mbona haiendani na content yake, kuwa na uwezekano wa kutinga kortini kutokana na HISIA za watu baada ya "kunukuu" maneno fulani si sawa na kutinga kortini, kumbe kiswahili kimekuwa kigumu namna hii?

sasa ule ushahidi wa kwenye buku jekundu la Mwakyembe kwani umefanyiwa kazi ukabainika kwamba hautoshi mpaka tuite wazungu?
 
Mkuu huu ni usanii tu thubutu.
Unategemea amfikishe EL kortini alafu na yeye naye ajifikishe kortinin hii haiwezi tokea kwa siasa za maji taka hapa Bongo thubutu.
 
kwanin unasema usanii babaake?
haukumsikia jeikei kwenye maswali na majibu?,ai mini kipindi kipya cha tbc?anyways naamini waandishi wa habari watatupestia article nzima kama ilivyo

Mkuu,

Umenifanya nicheke saaana!

Wewe unaamini yote aliyoyasema JK kwenye kile kipindi pale TBC1? You can't be that naive!!:rolleyes:
 
Source:Mwanahalisi Jumatano Sept.23-29,2009

Just a summary:
1-Mbunge huyu anaweza kufikishwa kortini kwa makosa ya kuiingiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji,kati ya serikali na kampuni ya Richmond development Company

2-Hizi hisia zinakuja baada ya J.K kunukuliwa akisema serikali inataka kumaliza kabisa suala la richmond kwa kuruhusu uchunguzi wa kimataifa ili kubaini iwapo kulikuwa na vitendo vya rushwa(Some two weeks ago)

NB:waandishi wa habari mnaweza ku-paste basi,au vp?
soma hizo highlights
kama walivyosema wadau wengine huu ni usanii na washikaji sasa wanaandika ili kuuza magazeti.
 
Mkuu huu ni usanii tu thubutu.
Unategemea amfikishe EL kortini alafu na yeye naye ajifikishe kortinin hii haiwezi tokea kwa siasa za maji taka hapa Bongo thubutu.

kwa nin asifikishwe wakati kuna uchunguzi wa KIMATAIFA?
nani alitegemea mramba,liyumba,yona et al kuburuzwa kortini?
 
hili suala kwa nini mambo ya kimataifa yanaongelewa sasa?
2010 hiyo inakuja...akili mu kichwa,
 
Nnjii hii! Mzee wa Kiraracha alilia nayo sana! Neema za Mungu zinaitajika kuinusuru kwakweli.
 
kwa nin asifikishwe wakati kuna uchunguzi wa KIMATAIFA?
nani alitegemea mramba,liyumba,yona et al kuburuzwa kortini?

Hapo ndo kwenye tatizo la kwanza linaloonesha kuwa huu ni usanii wa kutafuta gia ya kuingia nayo kwenye kampeni 2010. Kwani hadi sasa tumepungukiwa na nini hadi tuwaite Scotland Yard? Kwani Mwakyembe na timu yake wametunyima data zozote? Si walienda hadi US na kupekua kila file? Kuna kitu gani kinakosekana kwenye uchunguzi wao? Pia naamini hata ile ripoti ya awali ya PCCB (kabla ya kuchezewa na Hosea) itakuwa na ushahidi mzuri tu. Hapa bwana ni mchezo wa kuigiza, tena Part 2. Tusubiri tuone.
 
Source:Mwanahalisi Jumatano Sept.23-29,2009

Just a summary:
1-Mbunge huyu anaweza kufikishwa kortini kwa makosa ya kuiingiza nchi katika mkataba wa kinyonyaji,kati ya serikali na kampuni ya Richmond development Company

2-Hizi hisia zinakuja baada ya J.K kunukuliwa akisema serikali inataka kumaliza kabisa suala la richmond kwa kuruhusu uchunguzi wa kimataifa ili kubaini iwapo kulikuwa na vitendo vya rushwa(Some two weeks ago)

NB:waandishi wa habari mnaweza ku-paste basi,au vp?



Mkuu hata wewe ungeweza ku-paste tu...
 
Hapo ndo kwenye tatizo la kwanza linaloonesha kuwa huu ni usanii wa kutafuta gia ya kuingia nayo kwenye kampeni 2010. Kwani hadi sasa tumepungukiwa na nini hadi tuwaite Scotland Yard? Kwani Mwakyembe na timu yake wametunyima data zozote? Si walienda hadi US na kupekua kila file? Kuna kitu gani kinakosekana kwenye uchunguzi wao? Pia naamini hata ile ripoti ya awali ya PCCB (kabla ya kuchezewa na Hosea) itakuwa na ushahidi mzuri tu. Hapa bwana ni mchezo wa kuigiza, tena Part 2. Tusubiri tuone.

Naomba nimnukuu Mheshimiwa rais...''CHOMBO CHETU KIMESHINDWA KUBAINI KAMA KULIKUWA NA VITENDO VYA RUSHWA YA MOJA KWA MOJA WAKATI WA ZABUNI YA RICHMOND''
 
kwa nin asifikishwe wakati kuna uchunguzi wa KIMATAIFA?
nani alitegemea mramba,liyumba,yona et al kuburuzwa kortini?
red= mkuu unaamini katika hilo?
blue= hawana effects kubwa kama huyu mhe

kumbuka haya maneno
"urafiki wetu na bwana mkubwa haukuanzia barabarani na hauwezi kuvunjikia barabarani kama ambavyo baadhi ya watu wenye chuki wanataka iwe"
 
Naomba nimnukuu Mheshimiwa rais...''CHOMBO CHETU KIMESHINDWA KUBAINI KAMA KULIKUWA NA VITENDO VYA RUSHWA YA MOJA KWA MOJA WAKATI WA ZABUNI YA RICHMOND''

Unafikiri hivyo vyombo vinashindwa kubaini kama mradi huo ulikuwa na harufu ya ushuzi? Chombo anacho zungumzia huyo ni kile cha Hosea kilicho safisha harufu ya ushuzi na kuwa perfume lakini ukaja muhimili wa bunge ukabaini kuwa perfume ile sio ya kweli ni bomu la ushuzi na kuna siri kubwa ndani yake na Dr. akasisitiza wamefanya hivyo kulinda heshima ya serikali laiti kama wange anika kila kitu sasa na unapo zungumzia serikali huwezi mwacha JK kando maana yeye ndo kichwa cha serikali au ndo baba anae ongoza serikali kama Dr. aliamua kuficha maswala mengine basi kuna kila dalili serikali ingedondoka ndo maana EL akaamua kujiuzuru.
Sasa unategemea serikali hiyo hiyo iliyo husika na huu ushuzi itamfikisha EL kwa pilato? Hii mkuu ni ndoto endeleeni kusubili wao wanakunywa mvinyo na kugongeana bilauli tu.
 
It is not bad to keep on dreaming kwamba siku moja, wakati wa utawala wa JK, Lowassa anaweza kushtakiwa
 
kwa nin asifikishwe wakati kuna uchunguzi wa KIMATAIFA?

Uchunguzi wa kimataifa?
Umefanyika uchunguzi wa kimataifa wa Radar na umekamilika mbona serikali hii hii inasita kuwafikisha kwa Pilato wahusika na huyo huyo rais alisema atahakikisha kila kitu kilicho chukuliwa kitarudishwa watu mmesubili weeee na sasa mmesha sahau mmeunganishwa na CD mpya ya sasa akina Mramba, Liumba, Jittu na wengineo mawazo na fikra mmepelekwa huko CD ya Radar imesha chuja.
 
Huyu jamma kaanzisha mjadala ambao taarifa yake kamili bado hajawekwa hapa. Tunaomba kwanza taarifa kama ilivyoandikwa na Kubenea ndo tutoe mawazo yenye ushirikiano mzuri na taarifa husika
 
Naomba nimnukuu Mheshimiwa rais...''CHOMBO CHETU KIMESHINDWA KUBAINI KAMA KULIKUWA NA VITENDO VYA RUSHWA YA MOJA KWA MOJA WAKATI WA ZABUNI YA RICHMOND''

hicho chombo chao ni chombo gani hasa? watanzania tulitegemea baada ya ripoti ile kutolewa bungeni, na viongozi wale kujiuzulu ambalo lingefuatia ni arrest, tinga kortini, nenda jela...lakini kumbe 'avumaye papa kumbe wengi wapo'
 
Back
Top Bottom