The Return of Mkapa-Sumaye as Lowassa is politically shaken.

Mie pia niliwadokeza ujio mpya wa Mkapa ktk medani za kisiasa kupitia uchaguzi wa Igunga. Niliwaambia kuwa Yale yalikuwa maandalizi ya kumnadi mteule wake/wao wa Urais muda ukifika. Ambaye aweza kuwa Maghufuli.

magufuli bora aendelee kuwa waziri tu. Wakati mwingine majina yanaakisi uhalisia wa mtu. Cheo cha juu kabisa katika serikali yetu ambacho kinamfaa ni uwaziri mkuu
 
Hawa jamaa ninawafananisha kama Medvedev na Putin wa Russia ambao wanatawala tangu miaka ileee kwa kupishana urais na uwaziri mkuu. Ni wazi Mkapa hawezi kuwa waziri mkuu wa Tz lakini ujio wao na ushawishi waliionesha katika vikao vya NEC, kuna dalili jamaa wamejipanga kurejea (au pengine wanashiriki) katika medani za siasa kitu kinacheweza kumweka Sumaye katika ukuu wa nchi na Mkapa akiwa mshauri mkuu endapo jitihada za Lowassa kujisafisha zikishindikana. Swali alilouliza Sumaye juu ya kuchafuliwa Lowassa halikuwa na nia ya kumtetea Lowassa bali kuibua mambo zaidi ili kambi ya Lowassa na ile inayompinga zote zipoteze mvuto katika jamii. Na mbinu hii ikifanikiwa, basi CCM hawatahitaji kuendelea na marafiki wa JK bali watarudi nyuma kuanzia pale Mkapa alipoishia na itakuwa ni return ya Mkapa-Sumaye Era.

100% sure unachosema minyukano ya hawa jamaa jk na el imewafanya wote waonekane wapuuzi na hivyo akina sumaye wamechukulia advantage
 
Hawa jamaa ninawafananisha kama Medvedev na Putin wa Russia ambao wanatawala tangu miaka ileee kwa kupishana urais na uwaziri mkuu. Ni wazi Mkapa hawezi kuwa waziri mkuu wa Tz lakini ujio wao na ushawishi waliionesha katika vikao vya NEC, kuna dalili jamaa wamejipanga kurejea (au pengine wanashiriki) katika medani za siasa kitu kinacheweza kumweka Sumaye katika ukuu wa nchi na Mkapa akiwa mshauri mkuu endapo jitihada za Lowassa kujisafisha zikishindikana. Swali alilouliza Sumaye juu ya kuchafuliwa Lowassa halikuwa na nia ya kumtetea Lowassa bali kuibua mambo zaidi ili kambi ya Lowassa na ile inayompinga zote zipoteze mvuto katika jamii. Na mbinu hii ikifanikiwa, basi CCM hawatahitaji kuendelea na marafiki wa JK bali watarudi nyuma kuanzia pale Mkapa alipoishia na itakuwa ni return ya Mkapa-Sumaye Era.

Mafisadi hawana chao tena Tanzania. Acheni hizi stori za kijinga za kujipa matumaini. Watanzania wanajua kinachoendelea sio wajinga kiasi hicho. Mtakapokuja zinduka itakuwa too late. Endeleeni tu....
 
magufuli bora aendelee kuwa waziri tu. Wakati mwingine majina yanaakisi uhalisia wa mtu. Cheo cha juu kabisa katika serikali yetu ambacho kinamfaa ni uwaziri mkuu

Magufuli kuwa waziri mkuu ni sawa na kutengeneza rais mwenza kama ilivyokuwa Lowassa kwa JK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom