state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Upole wenu umetuponza jamaa wanawadharau sana wanasema unaiba billion 5 then unabagaini na serkali unalipa moja harafu wanakupa miaka 5 kuripa iliyobaki kidogokidogo
Rushwa imekuja na speed maofisini hasa baada ya watu kuambiwa walipe wakiwa mtaani ,unaiba sana unalipa kidogo unakula good time town
Hakuna hofu tena ile mikwala ya kutakataisha pesa na kunyimwa dhamana ambayo watu waliogopa haipo tena ,hatutembei kifua mbele tena kabla ya 2020 tumeinua mikono
Hii inaitwa hongo ya malango wa nyuma na hawa mafisadi dhidi ya ofisi nyeti ya DPP na ikulu wanatudharau sana kuwa wameshinda na kushawishi wengine wasione tatizo kujilipua na kukwapua mahela wakijua watatoka kwa style hii
NINI KIFANYIKE
Mafisadi wote warudishwe jera mpaka walipe yotena faini juu sio watakatishaji pesa wala wale waliowaibia wakulima wa korosho na ufuta
State agent
Rushwa imekuja na speed maofisini hasa baada ya watu kuambiwa walipe wakiwa mtaani ,unaiba sana unalipa kidogo unakula good time town
Hakuna hofu tena ile mikwala ya kutakataisha pesa na kunyimwa dhamana ambayo watu waliogopa haipo tena ,hatutembei kifua mbele tena kabla ya 2020 tumeinua mikono
Hii inaitwa hongo ya malango wa nyuma na hawa mafisadi dhidi ya ofisi nyeti ya DPP na ikulu wanatudharau sana kuwa wameshinda na kushawishi wengine wasione tatizo kujilipua na kukwapua mahela wakijua watatoka kwa style hii
NINI KIFANYIKE
Mafisadi wote warudishwe jera mpaka walipe yotena faini juu sio watakatishaji pesa wala wale waliowaibia wakulima wa korosho na ufuta
State agent