kweyamba_dave
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 961
- 483
Haina mchango kwa watanzania. Inawezekena wewe mleta mada hii ni pro-CCM ambayo imefanya yote haya yashindikane. Upuuzi mtupu kutuleta hapa.
umeshajiuliza kwanini wamarekani,wachina ama mataifa mengine yaliyoendelea huleta watu wao kuja kufanya kazi kwenye nchi hizi zinazoendelea? if you are not learning from others then that's not learning.kujua kuwa Libyans lived such kind of life ni funzo tosha.mchango ni kuongelea kuhusu siasa? huko ni kupotoka na yaonyesha jamii ya watu kama wewe ndiyo kikwazo cha maendeleo.think beyond it not behind it