Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mwanasheria mkuu wa serikali,DCI si ndio wanatakiwa sasa kujump in wakisikia kashfa kama hizi au wanasubiri muungwana aunde tume? kweli culture ya ufanyaji kazi wetu ndio inatuponza maana hao jamaa sijui kazi yao ni nini kama hawawezi kusadia vitu kama hivi.
Nahisi alikosa courage tu ya kumalizia statement yake pale aliposema kuwa hizo hela zake ni 'vijisent tu'.....I believe deep down in his heart alitaka kumalizia kwa kusema 'ukilinganisha na wenzangu'
Naona picha kama la French revolution vile,
Watu wanakula msoto, watawala wanakula raha, mara watu wanalalamika hawana mkate, malkia anaripotiwa kuwaambia wale keki, next thing chinja chinja linaanza.
Hivi Chenge ana akili timamu kweli kuziita hizo hela "vijisenti"?
Arrogance nyingine ni ujinga mtupu.
Jakaya Kikwete ameziba masikio .....Ile kasi mpya tuliyoiunga mkono kumbe ndo mwelekeo wake??? ......