Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 1,211
- 232
Ni kina nani hao?Tukiwafahamu,tujiulize je waliopo madarakani sasa hawakuhusika?Na kama walihusika kwa njia moja au nyingine watajiepusha vipi na hilo au watajiingiza vipi katika saga hiloWakati hukumu yeyote itakayotolewa huenda ikawagusa?Wakukabwa koo na masikio ni hao waliokubali kulipa kodi yetu huko BAE...ohha nimekumbuka pengine hawakuwa na UTAALAMU wa kutosha.[/B]