The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,456
- 17,205
Pasco
"...Kwa kutumia kanuni hii, mfano Osama
aliua wale aliowaua ile Septembe 11,
lakini amewasaidia Taleban wengi zaidi
kuliko wale aliowaua kwenye September
11, na Bush kwa hasira ya September
11, ameaua watu wengi zaidi wasio na
hatia kuliko wale Osama aliowaua, siku
ya hukumu, mnaweza kushangaa
Osama, Saadam na Gaddafi wakaingia
peponi, halafu Bush, Blair na Obama
wakatupwa motoni!.
Kwa maelezo yako ni kwamba osama aliowaua septemba 11 walikua na hatia ila aliowaua Bush hawakua na hatia,unaona ulivyojichanganya hapo juu?