LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,145
- 11,191
Juzi nilikuwa hapo tawi la kariakoo shimoni kufuatilia fedha, nilichokiona mnatakiwa mbadilike mara moja kwenye masuala kiusalama.
Ni hivi, ukiingia kwenye hilo tawi, hakuna katazo lolote la matumizi ya simu wateja wakiwa ndani yani watu wanajiachia kwa ku-chat wanavyotaka, mpaka kupokea simu watu wanapokea na kupiga yani kama watu wapo nyumbani vile.
Kuwaacha watu watumie simu ndani ya benki ni hatari kwa wateja wenu, mnahatarisha usalama wao hasa kwa wanaotoa fedha nyingi, kuna watu wengine sio wema wanaweza kuchoresha wateja wanaotoa fedha nyingi kwa majambazi mwishowe wakavamiwa na kuibiwa.
Igeni mfano wa benki nyingine zote ni marufuku mtu yeyote kutumia simu akiwa ndani ya benki, kwa ajili ya usalama.
Mtu akiporwa mamilioni yake nnje huko akirudi humuwezi kumuelewa, eneo lenyewe ni Kariakoo.
Ni hivi, ukiingia kwenye hilo tawi, hakuna katazo lolote la matumizi ya simu wateja wakiwa ndani yani watu wanajiachia kwa ku-chat wanavyotaka, mpaka kupokea simu watu wanapokea na kupiga yani kama watu wapo nyumbani vile.
Kuwaacha watu watumie simu ndani ya benki ni hatari kwa wateja wenu, mnahatarisha usalama wao hasa kwa wanaotoa fedha nyingi, kuna watu wengine sio wema wanaweza kuchoresha wateja wanaotoa fedha nyingi kwa majambazi mwishowe wakavamiwa na kuibiwa.
Igeni mfano wa benki nyingine zote ni marufuku mtu yeyote kutumia simu akiwa ndani ya benki, kwa ajili ya usalama.
Mtu akiporwa mamilioni yake nnje huko akirudi humuwezi kumuelewa, eneo lenyewe ni Kariakoo.