jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,690
- 7,556
Umetumia kipimo gani kupata Matokeo yako!!?Simchukii Magufuli ila ninapenda haki. Uchaguzi ungekuwa huru na haki Magufuli asingekua rais wetu.
Umetumia kipimo gani kupata Matokeo yako!!?Simchukii Magufuli ila ninapenda haki. Uchaguzi ungekuwa huru na haki Magufuli asingekua rais wetu.
Pascal Mayalla sikulaumu kwa kuandika haya, nikuulize swali ulikuwa wakala? umeongea na mawakala wa pande zote mbili? kama ndio uliongea na wangapi wa zanzibar na bara, uchaguzi wa tar 27 zanzibar uliushuhudia?. Ukiwa na jibu basi utatupa majibuWanabodi,
Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?
Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"
Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!
Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)
Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.
Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!
Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!
Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!
Tanzanian Opposition Leader Leaves Country After Police Bar Protest (Published 2020)
Tundu Lissu, an opposition leader, had called for protests after the country’s October presidential election was marred by allegations of fraud.www.nytimes.com
Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020
Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!
Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.
Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.
Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.
Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.
Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Hao unaowaona waongo ndo ma-genius wa kuandika habari duniani mkuu! Wewe habari zako hufiki hata robo ya Kabendera, ndo maana uliona vema kumchongea. Habari za hao New York Times zinasomwa dunia nzima.Wanabodi,
Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?
Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"
Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!
Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)
Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.
Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!
Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!
Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!
Tanzanian Opposition Leader Leaves Country After Police Bar Protest (Published 2020)
Tundu Lissu, an opposition leader, had called for protests after the country’s October presidential election was marred by allegations of fraud.www.nytimes.com
Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020
Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!
Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.
Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.
Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.
Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.
Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Watanzania wamempiga chini AmsterdamSimchukii Magufuli ila ninapenda haki. Uchaguzi ungekuwa huru na haki Magufuli asingekua rais wetu.
Mayalla, siku zote ukweli unabaki kuwa ukweli. Kwa mtazamo wako ww uchaguzi huu ulikuwa wa huru na haki ?. Kama ulikuwa huru na haki kwanini mapolisi wajazwe vituoni na silaa za kizita ?. Uchaguzi ni mchakato unaanzia katika daftari la wapiga kura, uandikishaji ,upigaji kura , kuhesabu hadi matokeo. SWALI MBONA HATUONI WINGI WA POLISI WAKATI WA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KULA ?. KWANINI TUME IMETUNGA SHERIA INAYEMUNYIMA MPIGA KURA KUSUBIRI MATOKEO ?. Kwenye mikutano ya kampeni unaruhusiwa , kupiga kura sawa hofu yanini kwenye kwenye kusubili matokeo. Naomba unipe orodha wa wagombea wa CCM walioenguliwa, ama kukamatwa na kupigwa na polisi. Hivi OCD ANAPOKUWA NA NGUVU HADI KUMWAMBIA MGOMBEA KUWA, SHUKA JUKWAA NA HATA UFANYEJE HUWEZI KUSHINDA HICHO KIBURI KATOA WAPI ?. Nadhani ndugu yangu Mayalla unapiga debe upate uteuzi, lakini kumbuka AMBAPO HAIPO HAKI, HOFU UTAMALAKI.Wanabodi,
Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?
Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"
Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!
Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)
Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.
Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!
Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!
Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!
Tanzanian Opposition Leader Leaves Country After Police Bar Protest (Published 2020)
Tundu Lissu, an opposition leader, had called for protests after the country’s October presidential election was marred by allegations of fraud.www.nytimes.com
Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020
Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!
Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.
Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.
Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.
Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.
Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Umeshinwa ku thibitisha kama gazeti hilo limeandika uongo .inaonyesha wewe ndo muongoWanabodi,
Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?
Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"
Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!
Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)
Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.
Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!
Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!
Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!
Tanzanian Opposition Leader Leaves Country After Police Bar Protest (Published 2020)
Tundu Lissu, an opposition leader, had called for protests after the country’s October presidential election was marred by allegations of fraud.www.nytimes.com
Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020
Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!
Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.
Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.
Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.
Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.
Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Tutume majasusi wakamtoe roho mwandishi uko uko aliko.Je, ni kweli tunyamaze, au uongo tukanushe?
Nakushauri kanusha kinafiki kama ulivyozoea lakini ukweli unaujua!Wanabodi,
Hili ni bandiko la Swali, Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu duniani kwa ukubwa, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki. Je, ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?
Kwenye bandiko hili, natumia kanuni ya samaki kwenye tenga la samaki, hata ukiwa na samaki 100 kwenye tenga la samaki, wengine walivuliwa asubuhi, wengine mchana na wengine jioni, ukawaweka kwenye tenga moja, yule samaki mmoja wa asubuhi akioza, then samaki wote wanakuwa wameoza, hata wale wa mchana, hata wale wa jioni, Wazanaki wana msemo wa Kizanaki usemao "wote manzi ganyanza"
Vivyo hivyo ndivyo uongo ulivyo, ukisema vitu vya kweli 99, halafu ukachomekea kitu kimoja tuu cha uongo, huo uongo mmoja, unabatilisha zile kweli zote 99, na zote kuonekana ni uongo mtupu!
Kabla ya kuanza makala yangu hii, naomba ku -hare info kuhusu magazeti makuu 10 ya dunia hii yanaongozwa na gazeti la The Guardian la UK, likifuatiwa na The Wall Street Journal la USA, gazeti la The New York Times la USA ni la tatu, mengine ni 4. The Washington Post (USA) 5. China Daily (China) 6. The Times of India (India) 7. The Sydney Morning Herald (Australia) 8. The Asahi Shimbun (Japan) 9. Dawn (Pakistan), 10. Zaman (Turkey)
Gazeti la The New York Times, la nchini Marekani ambalo ndilo gazeti kubwa la 3 duniani, limeanza kueneza uongo kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kwa kuiambia dunia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania haukuwa huru na wa haki.
Katika toleo lake la leo, gazeti hilo limechapisha makala kuhusu Tanzania, kwenye makala hiyo, wamesema mengi mabaya kuhusu uchaguzi mkuu wetu, kuna mengine ni kweli yalitokea, kuna mengine hayana ushahidi na kuna mengine ni ya uongo wa mchana kweupe!
Gazeti hili limefanya mahojiano na Mtanzania mwenzetu mmoja, naomba nisimtaje humu maana ni kipenzi cha baadhi ya wana JF wengi, hadi wengine ni kana kwamba wanamuabudia, hivyo ukimkosoa tuu kuwa vitu vingine, anawadanganya wazungu, watakushukia as if umemkufuru mungu wao!
Naomba kwanza nikuwekee makala yenyewe, na wewe ujisomee uone tunavyoanza kusingiziwa uongo, na kwa faida ya wale wenzangu na mimi ambao hizi kwao ni lugha za watu, nitawachambulia huyo samaki aliyeoza katika tenga hili!
Tanzanian Opposition Leader Leaves Country After Police Bar Protest (Published 2020)
Tundu Lissu, an opposition leader, had called for protests after the country’s October presidential election was marred by allegations of fraud.www.nytimes.com
Hii ni story ya pili kwa The New York Times kuizungumzia Tanzania within one week, story ya kwanza ni hii
As Tanzania’s President Wins a Second Term, Opposition Calls for Protests
Oct. 31, 2l020
Uongo katika story ni kufungwa kwa SMS, japo ni kweli wakati wa kipindi cha uchaguzi Mkuu wa Tanzania, kutokana na Watanzania wengi kuwa na simu janja na kila mwenye simu janja akanunua bundle ili kufuatilia uchaguzi kwa kutumia internet, mtandao wa internet ghafla ukaelemewa hivyo ukawa slow na sometimes ukawa haupatikani, hivyo watumiaji wa WhatsApp, Facebook, Twitter, YouTube etc ikawa haipatikani, lakini SMS zilikuwa zinapatikana kama kawaida kwasababu hazitumii internet hivyo mtu huhitaji kuwa na bundle kutuma au kupokea SMS!. Hawa New York Times ni waongo!
Alifile hii story kutoka Tanzania ni shirika la habari la AP. Kwa vile mimi ni mwandishi, na kwenye uandishi tulifundwa darasani ukipata story from a single source, kabla hujai publish, editor unapaswa kui verify kwa kufanya kitu kinachoitwa double checking na cross checking kwa watu wengine zaidi ya huyo single source wao, and it was as simple as ABC, unampigia mtu mwingine yoyote aliyeko Tanzania, una verify uliyoambiwa na source wako, jee ni kweli internet was down? Je, hata SMS? Wangepata majibu!.
Uongo kuhusu kutopatikana mawasiliano ya SMS ndio samaki mmoja aliyeoza, katika hili tenga la samaki wa story ya The New York Times kuhusu uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
My Take
Kwa kawaida siku zote mimi huwa nashauri uongo ukisemwa na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, siku moja utageuka ukweli, lakini kwa makala hii, sishauri tukanushe uongo huu mdogo kuhusu SMS tuu, huu ni wa kuu puuzia tuu, maana kukanusha uongo wa gazeti kama The New York Times, ni kama kufungua the Pandora Box, kunaweza kufumka mavitu ya ajabu!.
Don't underestimate the powers of media, magazeti ya Marekani!. The Washington Post, limewahi kuandika story ya kashfa ya Watergate, ikampopoa rais wa Marekani toka White House, ikulu akaiona chungu, akabwaga manyanga na kuachia ngazi!.
Hata magazeti yetu, japo mengi ni ya kufungia samaki, lakini kwa mahitaji yetu ya Tanzania na uzalendo!, hakuna gazeti Tanzania linaweza kusema uchaguzi Mkuu haukuwa huru na wa haki, kwa mujibu wa magazeti yetu, uchaguzi mkuu wetu, licha ya kukabiliwa na dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, walioshinda wameshinda kwa haki na kihalali, walioshindwa wameshindwa kwa haki na kihalali, wakubali matokeo, uchaguzi sasa umekwisha , kazi iliyo mbele yetu ni kazi moja tuu, kuijenga Tanzania.
Namalizia na lile swali la msingi la bandiko hili kuwa Gazeti la The New York Times, la Marekani, ambalo ni la tatu kwa ukubwa wa kusomwa sana duniani, lasambaza uongo kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, ladai haukuwa huru na wa haki!, Je ni kweli tunyamaze tuu au ni uongo tukanushe?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Waafrika tuna Roho mbaya.Tunamponda Mzungu huku tunatumia vitu vya mzunguNi unafiki pia kutumia kifaa cha Mzungu kumsimanga. Kama unamsimamo huo usitumie simu. Uwe unacomment kichawi
Hii kitu hata mimi imenishangaza!Kwanini Dr Abbas hajachukua uamuzi wa kulifungia hili gazeti la The New York Times la USA? Achukuwe hatua za haraka sana kulifungia hili gazeti kama wanavyofanya mengine.
Cha kushangaza, hata Paskali anakupa Hi! kwa hayo uliyoandika kumuhusu.Na unacho takiwa kutambua ni kwamba ipo siku utakuja kusimamishwa mbele ya aliye kuumba, na utatakiwa kuutolea ufafanuzi huu unafiki unao andika humu kila siku.
Njaa isikufanye ukajitoa akili,usipende kuishi maisha ya kujipendekeza kiasi cha kujivua utu wako jamani.
Ukweli ana ujua sana tu ila ni njaa tu.Cha kushangaza, hata Paskali anakupa Hi! kwa hayo uliyoandika kumuhusu.
We unaamini kitu gani?Fanya kazi mzee kwani ushasikia Biden anafuatilia kilichoandikwa na Mwanahalisi. Kikubwa cha kujifunza ni kusimamia tunachoamini kelele za chura haziwezi mzuia tembo kunywa maji